Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
I know in this threadNaona jiwe la gizani limekugusa. Hamna sehemu ambayo jamaa amesema kwamba timu isifiwe tu, bali ameongelea 'pumba' - Kuongea vitu ambavyo havina mantiki. Kukosoa haimaanishi kusema pumba, lah! Bali unachoongea basi kiwe na mantiki na si tu kubwabwaja maana una simu na bundle.
I know in this thread
Ukisifia liverpool -hiyo point inamantiki kama inavosema
But if you go against liverpool -hiyo point inakuwa pumba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mechi 3 zinazokuja kazi tunayo,, kama Adrian hatatulia haki ya nani twafa! Jana kuna moja ameitema almanusura aisukumizie wavuni! Najua mechi hizo pressure itakuwa juu sana kwetu mashabiki!
Wametumika sana ,ni haki yao kuchoka aiseeehKweli kabisa mkuu, yaani Salah, Mane inafika mahali wanatoka bila kutikisa wavu? Kweli wamechoka!
Najikuta namtetea Adrian kama jamaa humu wanaometetea Henderson.
For God's sake, hatujawahi kupoteza wala kutoa draw mechi aliyodaka Adrian.
Na msimu huu tuna cleansheet 2 tu na zote ni za Adrian.
Najikuta namtetea Adrian kama jamaa humu wanaometetea Henderson.
For God's sake, hatujawahi kupoteza wala kutoa draw mechi aliyodaka Adrian.
Na msimu huu tuna cleansheet 2 tu na zote ni za Adrian.
Aiseeh mimi nawatetea wote Hendo na Adrian wapo gud sanaaa
Watu wanasahau kama Adrian alitokea bench without warm up
Hata lile goli ukiangalia kwa makini it's just like karma (Barca corner) ... Adrian is good one
Najikuta namtetea Adrian kama jamaa humu wanaometetea Henderson.
For God's sake, hatujawahi kupoteza wala kutoa draw mechi aliyodaka Adrian.
Na msimu huu tuna cleansheet 2 tu na zote ni za Adrian.
Wametumika sana ,ni haki yao kuchoka aiseeeh
Na huyu Salah anahitajika huko Misri u23 katika Olimpic
Dah! Brother unavyomtetea Adrian nahisi kama unatania hivi!!!!
Sio siri nipo tayari golini akae Juma Kaseja kuliko Adrian.
Lakini kwavile Adrian ndiye Kipa pekee tuliyenae kwasasa basi ninamsupport kwa 100%.
Kama mimi nilivyokuwa namtetea UnaiAiseeh mimi nawatetea wote Hendo na Adrian wapo gud sanaaa
Hivyo Dully kumbe ni Sabato masalia? Mimi nikawa nafikri najibizana na shabiki mwenzangu wa Liverpool? Ha ha haaaa,, bora umelifurumusha!Kama mimi nilivyokuwa namtetea Unai
[emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51][emoji51]Hivyo Dully kumbe ni Sabato masalia? Mimi nikawa nafikri najibizana na shabiki mwenzangu wa Liverpool? Ha ha haaaa,, bora umelifurumusha!
Lile kosa ni la kushtukizwa, golikipa yeyote anafungwa.
Hatujapoteza game kwenye ligi ambayo Adrian amedaka, na kama sijakosea ana clean sheet pia.
Adrian no golikipa mzuri kwa kikosi chetu.
Isitoshe mara nyingi wachezaji ndo huhakikisha mpira haupigwi mpaka wa hakiki goli kipa kakaa kwenye nafasi yake.tumezoea kukariri majina ila kiukweli Alson hajiamini na ile kadi anastahili adhabu ya kukaa benchi mechi hata tano.
Ule utokaji ule angetoka Adriani mitusi ingekua mingi sana humu.
Tukipata robo tatu ya pwent sie mabingwaSasa tunaingia December
December
Wednesday 4
Liverpool – Everton
Saturday 7
Bournemouth - Liverpool
Saturday 14
Liverpool – Watford
Saturday 21
West Ham United - Liverpool (Postponed)
Thursday 26
Leicester City - Liverpool
Saturday 28
Liverpool – Wolverhampton Wanderers