Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Watu wengine bhana!!! Ndiyomana haishangazi kuona kila siku wanajaza Pumba tu hapa wakati hata H2H hajaui kama ipo au haipo kwenye Group stage.
Wew kiazi wa ikwiriri usinipangie,

Vilaza kama nyie hapa bongo ndio mnasababisha hadi maisha yanakuwa magumu
 
aisee hii fixture schedule hii ni hatari sana aisee!!

1574948462087.png
 
Mbna napoli anakutoa jasho mzee....
Tulihitaji goli nne ili barca ya messi na Suarez watoke na walitoka sasa hao Salzburg ndio watapona? Timu yetu ni hatari kuliko hicho kigenge mnachokopigia upatu humu
 
Bayern kuna timu pale sasa saiv... bayern zama zake zilishapita

Mkuu unaonekana unaumia sana Liverpool ikishinda ?

Unazungumzia Bayern gani wewe ,me nazungumzia iliyochukua ubingwa wa bundasliga msimu wa 2018/2019.

Yote hiyo kwakuwa Bayern alifungwa na Liverpool,kwa mtazamo wako Bayern hawako vizuri unashindwa hata kuangalia na mpinzani aliyemfunga.

Mara nyingi hivi Karibuni timu zitakazo mtoa Bayern ndio zinakwenda kuchukua ubingwa.

Wewe timu gani bora kwa sasa tuambie uko kuipinga tu Liverpool.
 
Mbna napoli anakutoa jasho mzee....

Mkuu ata msimu ulipita alitutoa kijasho ila ndio hivyo tukawa mabingwa wa ulaya. Unachokizungumza wewe kwetu sio kigeni ,msimu uliopita mlipiga kelele sana hivyo hivyo,mwisho wa siku mkawa kimya mkaufyata. Naona mmerudi tena.
 
Nmeanza kuangalia UEFA toka enzi hizo kukiwa na group stage mbili then baada ya hapo mnaingia robo final

GD ninayoizungumzia mimi ni in case kama Salzburg atashinda....

Mkuu Liverpool lazima isonge mbele,salzburg hawana uwezo wa kututoa kwenye hayo mashindano .

Mkuu utaumia sana kwa kuiombea mabaya Liverpool ya klopp.unachokisema sasa hivi akina utofauti na cha msimu uliopita ila ndio hivyo tukawa mabingwa.
 
Wala sikubishii.... Ila kaa ukijua huu msimu hakuna game ambayo salzburg wamecheza bila kuscore hata goal moja. So hiyo game yenu itakuwa ni minus sum game...

Mkuu ataiweje hao salzburg hawana uwezo wa kututoa ,tena ukizingumzia uefa ,unajifariji tu, kama msimu uliopita kwa napoli,mwisho wa siku tukawatoa.
 
Wewe kwa Timu yako ilivyo hata si wa kukaa ukajadili mwenendo wa Liverpool.

Enewey sisi kwa Arsenal hatuna cha kujadili coz hayupo kwenye Level za kuweza kujadiliwa na sisi.
Kwani nimekwambia ujadili tu?na nani kakwambia mapito ya timu yangu ndio yatayoweza nifunga mdomo nisipitepite humu kutia njaa ikibidi????
Mimi hata nishuke daraja shombo kumwaga ni π
 
Ila klopp Jana katufanyia kitu cha ajabu Sana Milner + Henderson unlucky Fabinho akaumia akaingia Wiljnadum no creativity at all. Bad thing our very own talented kid Trent yupo bench wings zikawa hazifanyi kazi, basi zikawa back pass aaaaaah ndio yashapita sasa. Salzbarg must win game.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom