Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

VAR haiwezi kukataa goli lilofungwo 'kihalali' case kama ya Manu vs us at Trafford...

Japo refa wa uwanjani anaweza kuambiwa kama ile foul ya Origi bado VAR hawawezi kumwambia asimamishe mpira mbali yeye refa baada ya kuambiwa anaweza kusimamisha mpira...

Inahitaji uvumilivu na kwa vile ni msimu Wa kwanza inatumika EPL bado watazidi kuiboresha zaidi
 
Naamini mkuu.
 
Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kusema kwel sijaona kikos liverpool cha kuchukua epl, naona var imeletwa kwa sababu yenu kutoa gundu la miaka 29 without title
Sisi Liverpool ni club bingwa wa soka barani ulaya. Sasa unaposema uwaite mabingwa sijajua unamaanisha nini?
 
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....

UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13

Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1

Ugumu uko kwenye idadi ya mechi au unacheza na nani?

Uefa unacheza na mabigwa tu,kila timu iko vizuri kiuchumi.

Hivi ligi ikiwa na mechi nyingi ndio ngumu,ligi yetu tulivyokuwa na mechi 38 kwa kila timu ilikuwa ngumu kulinganisha na uefa ?

Uefa hakuna bahati wala kubahatisha,yaani kwenye hizo mechi 38 mabingwa wapatikani wacheze wenyewe kwa wenyewe ndio useme rahisi,utakuwa aufatilii mpira vizuri.

Me hi 13 ni nyingi ingekuwa mechi na unakuwa bingwa sawa mechi 13 nyingi sana.
 

Mimi nakataa kuwa tulikosa EPL kwa kutokuwa na Bahati!!!

Ni mipango mibovu ya Makocha ndiyo iliyotukosesha EPL kwa miaka yote hiyo.

Mfano:
Mipango mibovu ya Benitez ndiyo iliyotukosesha EPL 2008/09

Mipango mibovu ya Rodgers (Against Chelsea) ndiyo iliyotukosesha EPL 2013/14

Mipango mibovu ya Klopp ndiyo iliyotukosesha EPL 2018/19 (last season)
Klopp na Washabiki wengi ilipofika January msimu uliopita walijijengea dhana potofu ya kuwa "Kila Timu itadondosha points" kauli ambayo ilikuwa ni sumu kwa Liverpool.

Tulioipinga kauli hii tukaambiwa hatujui mpira.
Lakini hatimae ni sisi pekee ndiyo tukaishia kudondosha points wakati Man City hakudondosha hata moja.

Hatimae Klopp na Wale watarajia wa kudondosha points Wamejifunza kuwa sikuzote 'Chukua Chako Mapema (CCM)' usitarajie mwengine adondoshe ili upate wewe.

Hata Siku moja hawatozungumzia tena habari za kudondosha points bali kila mechi watapigania washinde.

Kwahiyo hapana cha kukosa Bahati wala nini bali ni mipango mibovu na uzembe wa Makocha ndiyo uliotukosesha ubingwa.
 
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....

UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13

Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1

Sasa kama UCL ni simple na ni bahati kubeba kwanini kwenye miaka karibia 70 tokea CL ianzishwe Arsenal hajabeba hata mara 1? Au huo usimple Arsenal hauoni?
Au ndiyo Kwenye bahati 6 alizopata Liverpool kubeba yeye habahatiki hata 1?

Simple???
Bahati???
 
Kwahiyo unaibeza EPL???
hivi salzburg ni mabingwa wa nini?
Valencia,salzburg,lille,n.k wana tofauti gani na timu za midtable hapo EPL kama si kuachwa mbali kabisa????
Mwambie Samatta leo hii Kucheza Genk ambayo ni bingwa Bergium na kucheza burnley,newcastle au brighton uone atachagua wapi????wewe unafikiri Genk utaifananisha na Sheffield utd????kubali kataa ukweli ni kwamba kuna vitoga vingi tu UCL ambavyo huwezi kuvifananisha na timu kama Wolvers,Leicester,hata Bournamouth.......
 
Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....

Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......

Simple....& clear
 
Kwahiyo kwa maono yako 13 ni nyingi kuliko 38 safi sana.....
 
Ligi ya nchi haiwezi kuwa ngumu zaidi ligi ya Kimataifa..

Kushinda UEFA ndio lengo kubwa kuliko yote la timu za ULAYA
 
Kwa argument yako mbona Arsenal kwa miaka 100 hawana hata UEFA 1
 
Ligi ya nchi haiwezi kuwa ngumu zaidi ligi ya Kimataifa..

Kushinda UEFA ndio lengo kubwa kuliko yote la timu za ULAYA
Tetea hoja yako,kwa unavyoona Genk na Leicester ipi ni timu ngumu????ukimkurupusha JKLOPP saa hizi achague kati ya kukutana na Genk ambao ni mabingwa wa Ligi au Leicester au Wolvers unafikiri atachagua ipi?
 
Na jibu la swali ni kuwa kama epl ni ngumu kuliko UCL kwann Man city hajabeba na arsenal na hao wote walikuwa/wamekuwa wababe wa epl Kwa vipind tofauti!?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…