Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,464
- 32,909
VAR haiwezi kukataa goli lilofungwo 'kihalali' case kama ya Manu vs us at Trafford...Ntakupa mfano hai,unakumbuka mechi ya man untd na Liverpool!!?origi aliangushwa na mpira ukaendelea Hadi goli likaingia VAR iliporudia iliona lile kosa so pale yalikuwa yanatakiwa MAAMUZI ya refa tu maana video assistant referee ilishaonesha ambacho refa hakukioona lkn refa akakaza akakubali goli.nachoamini kuna mawasiliano ambayo Yule head wa VAR anafanya na referee na referee anao uwezo was kuchukua huo ushauri au kutochukua...MWENYE KUELEWA ZAIDI ATANIREKEBISHA
Hahahaha ndugu Chugga ebu kutana na kisiki cha Citizen aafu ujue Foxes limewaka hivyo niangalie...Hii Liverpool inavyochechemea ivi ..mpka desemb tutakuwa tumewaacha mbali sana...
Naamini mkuu.Muda mwingine bahati nayo inahusika ...maana man city mbona walikuwa vizuri tu kwa ubora na ukubwa wa kikosi kuliko liverpool katika misimu miwili iliyopita????
Wewe unafikiri liver hawakuwa na kikosi cha kubeba EPL toka enzi za kina SG???au walikuwa hawalitaki?????au hakikuwa kipaumbele chao???? Nakumbuka kuna kipindi walizidiwa point 1 tu......
unafikiri nini kiliwakwamisha????amini hawakuwa na bahati nalo,bahati yao ilikuwa upande mwingine wa shilingi,
Chelsea na Arsenal miaka yao yooote duniani kwa pamoja wamechukua UCL 1 (ya chelsea hiyo), na hapo tunaambiwa UCL ni rahisi mno.[emoji23][emoji23][emoji23] haya maisha bhana shabiki wa arsenal nae anadiriki kusema UCL n rahisi[emoji28][emoji28]
Sisi Liverpool ni club bingwa wa soka barani ulaya. Sasa unaposema uwaite mabingwa sijajua unamaanisha nini?Hii liverpool inayoandaliwa ubigwa ndio niwaite bingwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kusema kwel sijaona kikos liverpool cha kuchukua epl, naona var imeletwa kwa sababu yenu kutoa gundu la miaka 29 without title
[emoji23][emoji23]wacha nicheke kwa sauti mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] haya maisha bhana shabiki wa arsenal nae anadiriki kusema UCL n rahisi[emoji28][emoji28]
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....
UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13
Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1
Mkuu habariKuna nzi zinazagaa humu... Moja inajiita dawa ya maumivu inaongea pumba balaa
Nyingine mnaijua
Muda mwingine bahati nayo inahusika ...maana man city mbona walikuwa vizuri tu kwa ubora na ukubwa wa kikosi kuliko liverpool katika misimu miwili iliyopita????
Wewe unafikiri liver hawakuwa na kikosi cha kubeba EPL toka enzi za kina SG???au walikuwa hawalitaki?????au hakikuwa kipaumbele chao???? Nakumbuka kuna kipindi walizidiwa point 1 tu......
unafikiri nini kiliwakwamisha????amini hawakuwa na bahati nalo,bahati yao ilikuwa upande mwingine wa shilingi,
EPL ni ngumu kwa sababu kuna mechi nyingi sana ili uje kuwa bingwa ....mechi 38....
UCL ni simple kuliko EPL sababu kuna game chache sana mpaka uwe bingwa, bahati ikikalia upande wako tu basi...mechi 13
Makundi 6
16 bora 2
Robo 2
Nusu 2
Fainali 1
Kwahiyo unaibeza EPL???Ugumu uko kwenye idadi ya mechi au unacheza na nani?
Uefa unacheza na mabigwa tu,kila timu iko vizuri kiuchumi.
Hivi ligi ikiwa na mechi nyingi ndio ngumu,ligi yetu tulivyokuwa na mechi 38 kwa kila timu ilikuwa ngumu kulinganisha na uefa ?
Uefa hakuna bahati wala kubahatisha,yaani kwenye hizo mechi 38 mabingwa wapatikani wacheze wenyewe kwa wenyewe ndio useme rahisi,utakuwa aufatilii mpira vizuri.
Me hi 13 ni nyingi ingekuwa mechi na unakuwa bingwa sawa mechi 13 nyingi sana.
Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???Sasa kama UCL ni simple na ni bahati kubeba kwanini kwenye miaka karibia 70 tokea CL ianzishwe Arsenal hajabeba hata mara 1? Au huo usimple Arsenal hauoni?
Au ndiyo Kwenye bahati 6 alizopata Liverpool kubeba yeye habahatiki hata 1?
Simple???
Bahati???
Kwahiyo kwa maono yako 13 ni nyingi kuliko 38 safi sana.....Ugumu uko kwenye idadi ya mechi au unacheza na nani?
Uefa unacheza na mabigwa tu,kila timu iko vizuri kiuchumi.
Hivi ligi ikiwa na mechi nyingi ndio ngumu,ligi yetu tulivyokuwa na mechi 38 kwa kila timu ilikuwa ngumu kulinganisha na uefa ?
Uefa hakuna bahati wala kubahatisha,yaani kwenye hizo mechi 38 mabingwa wapatikani wacheze wenyewe kwa wenyewe ndio useme rahisi,utakuwa aufatilii mpira vizuri.
Me hi 13 ni nyingi ingekuwa mechi na unakuwa bingwa sawa mechi 13 nyingi sana.
Mkuu habari
This is football
Ligi ya nchi haiwezi kuwa ngumu zaidi ligi ya Kimataifa..Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....
Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......
Simple....& clear
Kwa argument yako mbona Arsenal kwa miaka 100 hawana hata UEFA 1Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....
Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......
Simple....& clear
Kwani lazima utetee upande uliopo mkuu????angalia ukweli tu,duh ...hebu rudia kukisoma nilichoandika kwanzaKwa argument yako mbona Arsenal kwa miaka 100 hawana hata UEFA 1
Tetea hoja yako,kwa unavyoona Genk na Leicester ipi ni timu ngumu????ukimkurupusha JKLOPP saa hizi achague kati ya kukutana na Genk ambao ni mabingwa wa Ligi au Leicester au Wolvers unafikiri atachagua ipi?Ligi ya nchi haiwezi kuwa ngumu zaidi ligi ya Kimataifa..
Kushinda UEFA ndio lengo kubwa kuliko yote la timu za ULAYA
Kama UEFA ni ngumu kuliko EPL katika miaka 29 yote mbona LIVERPOOL wanatoka kapa???
Ina maana Liverpool anapenda vitu vigumu ila virahisi haviwezi????inashangaza....
Sijasema kubeba UEFA ni rahisi,ila nimesema ni rahisi kubeba UEFA kuliko EPL na sababu nimetoa......
Simple....& clear