Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aiyaaaaa kwa hiyo unaenda kuwaona live UK???
 
Upendeleo kutoka kwa referees unakuja baada ya timu kuwa bora.

Ni kweli kwamba msimu huu tunapata upendeleo kupita timu zote EPL, lakini pia sisi ni bora kupita teams zote Duniani, I mean we are World's Best.

So tunatakiwa kutokasirika tukiitwa Mbeleko FC, ni kawaida.

Pia tunaposhindana anayeshindwa lazima atafute sababu za kujifariji nazo.
 

This was 25 September 2019, the lads are still on good course.

I believe.

YNWA.
 
πŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ€“πŸ€“πŸ€“πŸ€“

Watahamisha Sana magoli...
 
Watanzania mbona umnafuta comment zangu, kama mmezidiwa hoja tulien tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
N
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…