Aiyaaaaa kwa hiyo unaenda kuwaona live UK???Yo! will be going to our LFC vs Brighton game, this month, tarehe 30.
Ndiyo games zetu hizi walalahoi, tickets zinapatikana kwa urahisi sana!
Nilipata bahati ya kuwashuhudia peak SG na Torres, pamoja na kina Alonso etc, and as much as i wanted to, sikuweza kupata nafasi ya kuwashuhudia kina Suarez/Coutinho etc, but now i thank God, napata nafasi ya kuwashuhudia kina Faby/VVD/Firmino & Mane/Salah kwenye uzi wa LFC, though it will be against the mighty Brighton, lol. but i thank GOD.
I thank GOD, for everything.
Na mimi nitakuwepo siku hiyo
Naweza kwenda hilo game au linalofuata mkuu... Kama nikipata mudaAhahah utakuwa wapi mkuu au unataka na leo kunichekesha
aAhahah utakuwa wapi mkuu au unataka na leo kunichekesha
Naweza kwenda hilo game au linalofuata mkuu... Kama nikipata muda
Nitapiga picha na mosdef chief
a
Naweza kwenda hilo game au linalofuata mkuu... Kama nikipata muda
Nitapiga picha na mosdef chief
a
Sasa wamehamia kwenye historia na VAR.
Turudi uwanjani
who is next
MWANAUME UKIWA MMBEA, BASI AMA UTAKUA SHOGA AMA MCHAWI.Mbeleko Fc mpo naona baada ya kumpongeza Refa mnajifanya kumpongeza Fabinho
Juzi wakati naangalia tuzo za Fifa, nilifurahi sana Klopp na Allison kupata tuzo. I could have been so happy kama VVD angefunga hesabu but it was all good.
And then nikajifanyia tafakuri kwa ku-base mafanikio anayoyapata Liverpool FC, niko so so proud this time around kuvaa jezi ya Liverpool popote pale, nina jezi za rangi 4 na ninazivaa anytime anywhere bossing like there is only me and my Liverpool FC in this world.
Now, as a Liverpool fan, I want to find a way in which my achievements progress in the Liverpool's way. Change the way of thinking, acting and making targets that need a bit of stretching.
If Allison, Klopp and Liverpool have made it to the top, why can't I go to the top?
So Kops, let's put challenges to ourselves, let's believe that it is possible to be the best at anything that we are doing. Kama uko mahali wanapotoa zawadi kwa mfanyakazi bora, kwa nini usiwe? Kama unafanya biashara, kwa nini biashara isikuwe? Let's use this happy moments we getting from our beloved team to motivate and inspire ourselves. If you made a plan to get 2, fight for 3, and if 3 was a plan fight for 1+ more.
By May when Liverpool will be lifting an EPL cup, we will be lifting ours as well.
Best of luck guys, let's strive for greatness.
All the best to those who will join course
ukiona mwanaume kitu kidgo tu ana usisha maswala ya ushoga bas juu yeye ni shogaMWANAUME UKIWA MMBEA, BASI AMA UTAKUA SHOGA AMA MCHAWI.
unajua sifa ya pweza ni hamna jike wala dume anaemuwahi mwenzake anampandaMWANAUME UKIWA MMBEA, BASI AMA UTAKUA SHOGA AMA MCHAWI.
Citi were beaten 'fairly' they had 90+ minutes kutupiga walichemka hayo ya VAR yapo kote kote...Sasa wamehamia kwenye historia na VAR.
Turudi uwanjani
who is next
ππππππ€π€π€π€Upendeleo kutoka kwa referees unakuja baada ya timu kuwa bora.
Ni kweli kwamba msimu huu tunapata upendeleo kupita timu zote EPL, lakini pia sisi ni bora kupita teams zote Duniani, I mean we are World's Best.
So tunatakiwa kutokasirika tukiitwa Mbeleko FC, ni kawaida.
Pia tunaposhindana anayeshindwa lazima atafute sababu za kujifariji nazo.
All the best fellow Kop...I am inspired, nafungua account ya kwenda Anfield. I hope in 2 years Mungu akipenda nitafika.
Best lively stadium It's worth ua time and every Β£ spent...Naweza kwenda hilo game au linalofuata mkuu... Kama nikipata muda
Nitapiga picha na mosdef chief
a
All the best fellow Kop...