gilberto de rico
Senior Member
- Feb 7, 2019
- 164
- 121
TIM KUBEBWA MSIPO CHUKUA KOMBE MSIMU HUU BAC TENA MAANA FA WANAWAANDALIA MAZINGILA YA KUBEBA NDOO. mwendo ni uleule kila Tim ishinde mechi zake ila kwa mbeleko hizo du BT asante mlinipa hela.HONGERA! Umeshinda Tzs1525600 kwenye bet nyingi (namba ya bet 8474). Kodi Tzs285100. Baada kodi unapata Tzs1240500.
MWAKA WA LIVER HUU KABISA .SINA KINYONGO NA LIVER AS LONG AS HAJAWAHI KUNICHANIA MIKEKAMpira hamuwezi mnataka penalty [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi tufanye mmepewa hiyo penalt kimazobezobe maana benardo silver nae alishika[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua alichukua vikombe vingapi msimu wake wa kwanza?
Hilo pengo la Etoo uliliona?
Ndio maana tunasema kazi ni kubwa. Ila tutapambana nasi hatuenda kinyonge kuruhusu aibu aliyotupa msimu uliopita ijirudieKazi tuliyowapa ni Ngumu na sidhani kama mutaiweza?
Kumdondosha points City ndani ya Etihad?
Kumfanya Pep adrop points back to back?
[emoji108][emoji108][emoji108][emoji108]Kazi iendelee....
Kwa sasa Foxes wanaogopeka kuliko Citizens...
Liverpool against Big Teams so
vs Arsenal W[emoji736]
vs Chelsea W[emoji736]
vs Leceister W[emoji736]
vs Manchester United D🤝
vs Tottenham Hotspur W[emoji736]
vs Manchester city W[emoji736]
City against Big Teams...
vs Tottenham Hotspur D🤝
vs Liverpool L[emoji777]
vs Chelsea 🤷♂
vs Arsenal 🤷♂
vs Leceister 🤷♂
vs Manchester United
Tumemalizana na hawa wakubwa pasipo kupoteza, ngoja tuone City atatokaje humo.
Hamjamalizana nao bado raundi ya piliLiverpool against Big Teams so
vs Arsenal W[emoji736]
vs Chelsea W[emoji736]
vs Leceister W[emoji736]
vs Manchester United D[emoji1666]
vs Tottenham Hotspur W[emoji736]
vs Manchester city W[emoji736]
City against Big Teams...
vs Tottenham Hotspur D[emoji1666]
vs Liverpool L[emoji777]
vs Chelsea [emoji2986]
vs Arsenal [emoji2986]
vs Leceister [emoji2986]
vs Manchester United
Tumemalizana na hawa wakubwa pasipo kupoteza, ngoja tuone City atatokaje humo.
Mwanaume hatishiwi panya,hata wao city waliona mziki wetu jmosi,USITUTISHE!Umeona Mziki wa City Jana? Jipange kisaikolojia jinsi atakavyokujia na Moto wa kujeruhiwa
Kabisa ndugu hawa jamaa wako vizuri Sana aisee dawa ni kuwapeleka mchakachaka na kutumia nafasi mtakazopata chap..Nilichogundua Man City ni kumpa pressure mwanzo na kuhakikisha unapata goli mapema sana bila ivyo atakupelekesha. Sasa nyie kilichowasaidia mlimpa moto ndani ya dakika 10 za mwanzo akachanganyikiwa na ndipo ikawa ushindi wenu