Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
He is whining mara VAR mara refa should have given a foul for Origi bla bla... Utadhani hio imetoka dakika 94...
Botton line we had loads of minutes to win the game but nothing matured...
Came to change the system when time was no longer in our side...
The win at OT conitunues to wait..
Even with Manu fielding youngesters we can't find a way to win.. Man that is serious shows something is not right...
Utamsikia akisema its not the end of the world kutoshinda OT but we as fans don't see its that way.. If we can't beat them twice when they are this poor then ipo tatizo..
[emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Hakuna kitu kingine zaidi ya kuchukua point 3 OT kesho.
Mzoga umekupa point 1 ugenini.Unatoa Henderson unaingiza Lallana
Yani unatoa Mzoga unaingiza Mzoga
Huo ndo ukweli jn katepweta sn km uliangalia mpiraBeki makini unampima kwa kigezo gani?
Mlicheza mind game
Vipi mkuu? Naona huamini kama unashangilia draw.[emoji23]
Huyu jamaa na Ox waliwafanya man u zile dk 10 za mwisho uwanja uiname ,13 minutes onlyView attachment 1239839
Mlicheza mind game
Degea martial ndan
Ila sion mkitoka mkiani
Hahaha, mkuu huu ndio mpira na maajabu yake. |
Mngecheza bila degea aisee niliziona 2+
Hahaha, mkuu huu ndio mpira na maajabu yake.
Nilimuona Ox kijana wangu Akiwa Amezaliwa Upya.13 minutes onlyView attachment 1239839
TOTAL failure kutowafunga jana au mechi yoyote dhidi ya Manu wakiwa katika hali waliyo nayo hawana identity just a bunch of kids and some seniors...Not only OT even ndani ya Anfield tunapataga Wakati Mgumu sana Kumfunga Manure.. Ukiangalia tokea Klopp ajiunge na Liverpool tulibabatiza Magoli last season tu lakini misimu yote iliyobakia either alitufunga au kudraw ndani ya Anfield.
Kiukweli Klopp bado hajapata Mbinu haliisi ya Kumfunga Manure.
Bado anaendelea kufeli
Sipati picha hawa jamaa wawili Keita na Ox wakiwa bench hujisikia vipi wakimuangalia Hendo uwanjani running like headless chicken..Nilimuona Ox kijana wangu Akiwa Amezaliwa Upya.
Naby Deco K8ita Yule Wa Leipzig akiwa Na Udabwi dabwi.
[emoji2956][emoji2956][emoji2956] Dakika Kumi_Zamoto* [emoji440]
Mngecheza bila degea aisee niliziona 2+
Sasa ni kwanini tucheze bila De Gea mkuu? Mbona unachekesha tena?😂😂 |
VAN DJIK NI BEKI SHOGA
GUADIORAVan djik anawaumiza roho sana,na msimu huu mtaumia roho sana tu.na timu yenu mbovu hiyo.bado point mbili tu mshuke daraja yaani tofauti ya point 2 tu wewe na Newcastle anayeshika nafasi ya 18 nakukumbusha tu.
Si kulikuwa na hati hati ya kutokucheza ,
Sasa ni kwanini tucheze bila De Gea mkuu? Mbona unachekesha tena?[emoji23][emoji23]
Mzoga umekupa point 1 ugenini.
Lalana usimfananishe Hendo mzee yule amekosa mechi tu kwa majeruhi.Bado haijaondosha Facts Kuwa Lallana ni Mzoga
Sijakataa nilikua nakukumbushaBado haijaondosha Facts Kuwa Lallana ni Mzoga
Na bado, mnakumbuka ilivomnyima man city point tatu wakat yupo na spurs?Var haina maana bado bado eplView attachment 1240328