muhogo_kiks
JF-Expert Member
- Dec 4, 2018
- 1,759
- 4,854
Huu sio uzi wa kubishana, huu ni uzi wa washabiki wa Liverpool kubadilishana mawazo. Wewe nenda katafute uzi wa timu yako ukaweke hizi comments zako hukoHii Liverpool haikatizi December, itakuwa ipo nafasi ya tatu kugombania na spurs uko au arsenal..
Si busara kulinganisha watu wawili wanaocheza aina tofaut za mpira
Pili wote naona ni walewale tu
Tatu, watanzania wengi wanaendeshwa na passionate na sio akili, hii humfanya mtu aamini mtu anaeona anaifurahisha moyo wake, ndo maana kuna makundi na kila kundi lina mtu aliesifiwa sana na wanakundi hilo, huwez mtoa muhuni sugu anaependwa na wahuni kutokana na kuwazidi uhuni wenzake katika kundi la wanadini na asifiwe vilevile kwa wanadini, na hivyohvyo viceversa
Ko haimaanishi mtu anachoongea yuko sahihi au lah, ila katika kundi hili ukigundua mtu kakushinda mapenzi na timu utamuamini sana maanda ndo jinsi binadam walivyokuwa programmed,
Najua anauchungu na timu ila hiyo haimaanishi anachokiongea ni sahihi
Hivi inakuaje TAA anakosa namba kwenye timu ya taifa ya England??
Hii Liverpool haikatizi December, itakuwa ipo nafasi ya tatu kugombania na spurs uko au arsenal..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah Ila mbona mi naona unaj Yuko tu ila naona tatizo liko kwa mfumo wengerOngezea UNAI EMERY hapo mkuu....mzee wa hizi kazi
Mi nabet asiporithi SG8 atakuja Anceloti ...LFC next manager, is Steven Gerrard.
Lol, its written in the stars.
and, as much as i love SG, its going to be Ole GS 2.0
so we need to enjoy hii moment ya Klopp kwa kila drop ya pumzi.
Let me differ a wee bitKwasababu Tokea walipoondoka ALONSO, GERRARD na MASCERANO Liverpool haijawahi kusajili Midfield ya Maana yenye kieleweka ndiyomana Henderson na Ubovu wake bado anaendelea kupeta.
Na sioni Dalili ya Klopp kusajili Midfield kwahiyo Hendo ataendelea kutesa misimu mengine 5 mbeleni.
Mido zilizotegemewa ambazo zingempoteza Hendo ni KEITA na OX lakini ndiyo injuries zimewapoteza na wao.
Kama sio injuries basi Mido ingekuwa
KEITA - FABINHO - OX na huyo Henderson angelikwisha rudi Sunderland na Ucaptain wake.
Kwahiyo sio kwamba Makocha wanampenda kwasababu ana kitu cha ziada cha kuoffer! Bali anacheza kwasababu Liverpool hatuna mwengine tu wa kucheza na kikosi chetu cha wachezaji 12.
Tunhekuwa na watu kama MASCERANO-ALONSO-GERRARD huyo Hendo hata kuokota mipira asingeliokota.
Let me differ a wee bit
Kwanza Henderson might not be as technical as some of the flashy midfielders you guys here may mention but he is a hard working man who gives his all for the team..It is always my belief that hard work beats talent. What I see here people always scrutinise Henderson for every bad performance we put largely because he is our captain.He had to take over captaincy from our biggest player and hero SG8 ..the pressure on him is too huge due to that fact..
But assuredly I tell you players like Henderson are very rare ,he is a hard worker,plays for the badge and a great leader in the dressing room.
Look at united they have pogba,matic, Fred,Pereira who technically we can all say they are better than hendo but if I ask you today would you exchange pogba for Henderson ??? Personally a big NO .
United lack leadership in the dressing room same as arsenal ( I believe arsenal is a good team at individual level they have great players but they don't have leaders in their team that is their greatest Achilles)
Henderson is a very popular figure in the dressing room, kama kocha unataka kumaintain umoja na upiganaji kwenye kikosi lazima use na watu kama Henderson who care about the team more than their individual gloru.
Post yangu uliyoniquote kuhusu GINI ilikuwa hii ↓↓
View attachment 1233585
Nioneshe ni sehemu gani hapo nilipomponda GINI?
Nilizungumzia tu Kuwa Yule wa Timu ya Taifa ni Tofauti wa Liverpool ikiwa ni indirect message Kuwa anakuwa Misused ndani ya Liverpool.
Sasa hizo habari za kuponda hapa umezitoa wapi?
Au ulikuwa Jukwaa la Mapishi ukahadithiwa Kuwa King Ngwaba anaponda Wachezaji Wabovu ukaamua Kuingia Kwenye uzi wa Liverpool ukakurupuka kujibu tu kwenye post yangu?
Zipo njia nyingi za Kuwa Mchambuzi mzuri wa Mpira kwenye huu Uzi bila ya Kiquote kwa kukurupuka.
Kwanza soma kwa Makini na uelewe ndiyo uanze kuquote watu.
Mimi ninaowaponda hapa Wanajuilikana hebu uliza members wengine humu watakwambia. Sijawahi Kumponda GINI hata kwa bahati mbaya.
Narudia tena acha Unafiki
Hii ni mara yangu ya kwanza hapa. I'm impressed!!
Liverpool is my life and it's good to see like minded people here. And it's good to see that most people here have almost similar thoughts for Liverpool as mine.
Hii mambo ubingwa, it's too early ila haimaanishi kwamba we should not focus, last season we lost by only one point!!! How can a team not even draw in 14 games!!! [emoji34]
In the current team and next match. We can still beat Manchester United with hando in even though he is our weakest link. Hando can be so rubbish at times, look at the game with Chelsea, look at England loosing with Czech Republic!!! It all him, look at the Red Bull game, it's all him.
Klop should also learn to sub Salah sometimes!!! I don't know what powerful dua he is using [emoji23]
The Manchester game is must win, they denied us the trophy last season by clinging on a draw at OT. How pathetic that Manchester United would be delighted with a draw verses Liverpool at home!!!
We need to win to make a proper statement this season, that we really want that cup!!!!
YOU WILL NEVER WALK ALONE!!
If you ever coach or lead an army, Henderson ni bora Mara 1000 ya watu talented aina ya Neymar.
Henderson ni medium performer but high trust.
High performer but low trust ni sumu kwenye timu. Man U inashida Kwa sababu ina vijana Kama Hawa kwenye timu yao.
Ukiaangalia kikosi cha Liverpool kina players ambao ni High disciplined na hardworkers, husikii wana scandals nje ya uwanja au hata Aina za nywele si za Akina Pogba au Neymar. Nadhani huu ndio msingi wa ufundishaji wa Klop.
Umeandika Mambo mengi lakini remember that, Research inapingwa kwa Research right?
Let's talk about stats! Hardworking kwenye Masomo without success au tuseme kusoma sana bila ya kufaulu yani ukaishia kuzungusha ni meaningless! Agree?
The same kwa Henderson ana Hardworking but ana-offer nothing good jambo ambalo halina Afya njema kwa Timu.
Stats za Henderson:
√ 12 games played:
√ 0 assists
√ 0 gol
√ 186 passes complete in 8 EPL games
Kumbuka huyu ni attacking Midfielder ambaye anatakiwa awe na at least 3 goals and 6 assists.
Mkuu naomba Stats zitakazoprove Kuwa Henderson ni bora kama ulivyomuelezea! Lakini kwa kuniambia tu Kuwa He's Hardworking Man bila ya Stats zikazoprove unachoongea basi itakuwa umeandika tu kama Magazeti ya Uengereza yanavyoandika.
Kwa hiyo wewe Henderson unamuona bonge la mchezaji
UchawiHii Liverpool haikatizi December, itakuwa ipo nafasi ya tatu kugombania na spurs uko au arsenal..
Akiwa Netherland anakuwa kati ya wachezaji wakali wa timu, akiwa liver ni mchezaji wa kawaida, so lazima atapishana na unavyotaka
Kwamba young na jones wazur kwa kuwa kila kocha kawabakisha?Henderson sio talented player ila Work rate na uongonzi wake uwanjani ni muhimu Sana Kwa Liverpool na hata England, no wonder Kila kocha anayekuja anambakisha, nadhani hata Kama sisi tungekuwa makocha lazima Henderson angekuwa chaguo la mbele ya Talented Keita au Pogba.
If you ever coach or lead an army, Henderson ni bora Mara 1000 ya watu talented aina ya Neymar.
Henderson ni medium performer but high trust.
High performer but low trust ni sumu kwenye timu. Man U inashida Kwa sababu ina vijana Kama Hawa kwenye timu yao.
Ukiaangalia kikosi cha Liverpool kina players ambao ni High disciplined na hardworkers, husikii wana scandals nje ya uwanja au hata Aina za nywele si za Akina Pogba au Neymar. Nadhani huu ndio msingi wa ufundishaji wa Klop.