Mtu fulani
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 678
- 1,022
Wiljinaldum huko ni ronaldo de lima
Wiljinaldum huko ni ronaldo de lima
Wiljinaldum huko ni ronaldo de lima
Well said Roy Keane
Henderson yuko hovyo sana anaemuona bonge la mchezaji ni Klopp cha kushangaza
Huyu Waynaldam (In Dutch pronunciation) anapokuwa Timu ya Taifa na Anapokuwa Liverpool ni Watu wawilo tofauti.
Yani Timu ya Taifa anapiga mpira huwezi amini kama ndiye yule wa Liverpool
Najuu ga mkonoNafikiri ni issues ya position, hivi ulimuona vzr siku ile na Barcelona alipoingia?
Sidhan maana rekodi zake kwenye attacking toka akiwa palace sio nzuri,Bisakka mbona alipokuwa Palace alikuwa anatia krosi za maana
Halafu huko huyo jamaa hazipitagi mechi mbili lazima afunge au atoe assistHuyu Waynaldam (In Dutch pronunciation) anapokuwa Timu ya Taifa na Anapokuwa Liverpool ni Watu wawilo tofauti.
Yani Timu ya Taifa anapiga mpira huwezi amini kama ndiye yule wa Liverpool
Mkuu King ni mfumo ndugu na si kingine,Huyu Waynaldam (In Dutch pronunciation) anapokuwa Timu ya Taifa na Anapokuwa Liverpool ni Watu wawilo tofauti.
Yani Timu ya Taifa anapiga mpira huwezi amini kama ndiye yule wa Liverpool
Coady our boy so grand he is making its big at Wolverhampton...
Yule ndogo ana zali mno.. Potential ipo lakini sasa kudeliva at the highest level ndio shinda zaidi..Sidhan maana rekodi zake kwenye attacking toka akiwa palace sio nzuri,
Hahaha Roy has joined Sky Sport line of pundits na jamaa Kwa vijembe hajamboRoy Kean anasema Hendo na Rice ni bora wakakae Studio na yeye tu Waangalie mpira kwani uwanjani hawana kitu
Inawezekana ni mfumo ila hata hivo me km sijamuona kwenye FXI nakosa amani. Jamaa namkubsli sana aisee.Huyu Waynaldam (In Dutch pronunciation) anapokuwa Timu ya Taifa na Anapokuwa Liverpool ni Watu wawilo tofauti.
Yani Timu ya Taifa anapiga mpira huwezi amini kama ndiye yule wa Liverpool
Halafu huko huyo jamaa hazipitagi mechi mbili lazima afunge au atoe assist
mkuu kumbe ukiwepo nyumbani kwenu akili zako zinakuwa timamu ila ukivuka boda tu unazifyetua kwa makusudi kama hotuba za muheshimiwa raisi wa GambiaNadhani Klopp bado hajafahamu vizuri role position sahihi ya kumtumia Wijnaldum,huyu jamaa ana products kubwa sana kama Klopp akijaribu ku re think his position on the field.
Sasa huku liverpool partner wake Hendo mzee wa backpasses na kukaba kaba mpaka wachezaj wenzake kama mwehu vile, unategemea Gini atafanya maajabu gani? Wakati team ya taifa kwny midfield kuna wataalam kama De Jong wanaompa backup ya maana.
Huyu jamaa sio mzur kihivyo lakin piá sio mbaya kama mnavyomsema.... Angekuwa mbaya kiasi hicho hapo Liverpool angepasikia tu kwa sababu hata namba asingepata...... Sema jamaa Ana nyota ya kunguni kweli kweli For yearz now watu wanapiga kelele yy bado anadunda na ucaptain wakeKuna kipindi iliporaise hoja ya Kuwa Henderson anapokuwa hana mpira anakuwa ni bora zaidi nilicheka sana lakini watu hawakujua kwanini ninacheka!!
Kwasababu ukweli usiofichika Henderson uwanja mzima utamkuta yeye! Kila utakapokuepo mpira Hendo lazima atakuepo tu! Sasa jambo hili blindly ndiyo linalowadanganya wengi wakaona Henderson ni muhimu zaidi asipokuwa na Mpira.
Lakini ukweli ni kwamba Hendo hatakama ulipo mpira na yeye yupo hatakama tunashambuliwa lakini je watu wanakiona anachokifanya?
Jamaa hata Siku moja humuoni kumpokonya adui Mpira wala kucheza tackle yeyote! Bali utamuona Anamnyooshea Kidole Mchezaji mwenzake Akapokonye mpira ikisha ampe yeye! Sasa hapo kuna faida gani ya ulipo mpira na yeye kuepo wakati hapokonyi mpira?
Nadhani hili bado watu hawajaligundua Bali wanaangalia Kuwa ulipo mpira yupo tu! Ndiyomana wanasema ni bora hata asipokuwa na Mpira.