mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,025
- 1,623
Inawezekana bado wanachukulia poa kikosi cha guardiola...sisi tunatengeneza chance nyingi tunapata matokeo kiduchu wenzetu wakipata chance wanatumia ipasavyo yaani mpaka sterling siku izi anajua kumalizia( hii ni hatari Zaid ya yote) ...wale wakipata wa kujipigia hawataki masihara ..tuombe tusiwe na injury December hiyo..#YNWAKwa mantiki hiyo ni kwa nini Liverpool haijachukua EPL kwa miaka 29(ishirini na tisa na yote hiyo ikiwa ndani ya EPL) ?
Tusikariri wakati kutochukua kombe ambalo upo ndani ya michuano yake miaka 29 mfululizo ni tayari trend ya kukariri kabisa maana hakujakuwa na mabadiliko katika miaka 29 hiyo?
2013/2014 ilikuaje? Je haikujirudia 2018/2019 mkuu?
Tutakuja kufukua makaburi haya sio mbali sana
