Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_6333.JPG
 
Anadhani anaweza kupata kombe kwa wachezaji tatu hilo asahau mpaka hapa tayari frot yetu ishachoka Man u waliwatumia mpaka kina Oshea wakiwa bado wachanga na wakapata kombe.muangalie Starlling alivyo anza na sasa ku stick na mtu ni ngumu kufanikiwa
Huwa najiuliza watu wana matumaini ya EPL ya msimu huu mbona mimi sioni hilo kombe likitua pale Anfield
 
Huwa najiuliza watu wana matumaini ya EPL ya msimu huu mbona mimi sioni hilo kombe likitua pale Anfield
Kama ww ni kopites katafute wimbo wa "you Will never walk alone".kama co kop kafie mbele hukooo maana utakuwa hujui hata matumaini yanafananaje
 
Matumaini mbele ya Man City hii ya Guardiola?!!

Sawa

Mbona hiyo man city ya guardiola imeshindwa kuchukua uefa,mbona guardiola wako hajachaguliwa kuwa kocha Bora wa msimu uliopita na fifa.

Guardiola kwa kipi alichonacho mbona kazidiwa point 5 mpaka sasa au guardiola yupi? Huyu aliefungwa na norwich au Itakuwa guardiola wa kipindi kile cha barcelona?
 
Unavyoisifia hiyo city ya guardiola utafikiri ndio complete team kuwahi kutokea duniani
Kwa upangaji wa vikosi wa Klopp ni ngumu sana kuchukua EPL mbele ya Manchester City ya sasa chini ya Guardiola halafu ongezea na ulinganisho ubora wa vikosi kati ya Liverpool na Manchester City

Kukukumbusha tu ni kwamba Record ile ya anaeongoza ligi Christmas kuchukua ubingwa imechafuliwa na Club mbili tu namely Liverpool na Arsenal huku Arsenal akiwa Amechafua rekodi hiyo kwa mara moja tu cha kusikitisha ni Liverpool tumeichafua Record hiyo mara nne

Literally it is mpaka leo tunavyoongea Liverpool hata aongoze mpaka Christmas huwa hachukuagi ubingwa tofauti na Club zingine zote except Arsenal
 
Mbona hiyo man city ya guardiola imeshindwa kuchukua uefa,mbona guardiola wako hajachaguliwa kuwa kocha Bora wa msimu uliopita na fifa.

Guardiola kwa kipi alichonacho mbona kazidiwa point 5 mpaka sasa au guardiola yupi? Huyu aliefungwa na norwich au Itakuwa guardiola wa kipindi kile cha barcelona?
Record ile ya anaeongoza ligi siku ya Christmas kuchukua Ubingwa imechafuliwa na Club mbili tu Arsenal na Liverpool, Arsenal Amechafua rekodi hiyo mara moja huku Liverpool akiwa amechafua Rekodi hiyo mara nne

Na Klopp ni mmoja wa makocha walioichafua Rekodi hiyo(Last season) , what I want to entice is that labda mechi ya mwisho ya ligi ndio watu wangetumia kuweka matumaini kuwa LFC anachukua Ubingwa
 
Record ile ya anaeongoza ligi siku ya Christmas kuchukua Ubingwa imechafuliwa na Club mbili tu Arsenal na Liverpool, Arsenal Amechafua rekodi hiyo mara moja huku Liverpool akiwa amechafua Rekodi hiyo mara nne

Na Klopp ni mmoja wa makocha walioichafua Rekodi hiyo(Last season) , what I want to entice is that labda mechi ya mwisho ya ligi ndio watu wangetumia kuweka matumaini kuwa LFC anachukua Ubingwa

Umekariri wewe.amka mambo yamebadilika Liverpool ya sasa hasa ya msimu huu ni ya moto sana usione tunashinda ukachukulia poa kama ingekuwa rahisi kila timu ingefanya hivyo ,kwa sasa kipaumbele cha kwanza ni epl na Safari hii var ipo Maana wamezoea kuchukua ubingwa kimagumashi five point na kuendelea wako nyuma .

Mpira unachezwa uwajani na sio kwa majina makubwa yawachezaji. Na kikosi hicho hicho cha kina origi Liverpool imebeba uefa na ndio itakavyokuwa msimu huu tutakavyochukua epl,Safari hii sijui mtasemaje?.
 
nimeona article moja inasema kuwa matip makes van dgik better defender

Hata huna haja ya kutaja Article! Mimi mwenyewe nilishawahi kulisema hilo!

Matip hapewi sifa anayostahiki but ni Defender mzuri tu na wala haina haja ya kusubiri Siku atakayofanya Blunder tuanze kufukua Makaburi.

Hata hivyo VVD ni better himself
 
Mbona hiyo man city ya guardiola imeshindwa kuchukua uefa,mbona guardiola wako hajachaguliwa kuwa kocha Bora wa msimu uliopita na fifa.

Guardiola kwa kipi alichonacho mbona kazidiwa point 5 mpaka sasa au guardiola yupi? Huyu aliefungwa na norwich au Itakuwa guardiola wa kipindi kile cha barcelona?

Mimi binafsi tokea Klopp ajiunge na Liverpool sikuwahi kumpa uwezekano wa kuweza kubeba EPL, Lakini msimu huu ninayo Matumaini ya Kubeba EPL.

Kwahiyo naamini kwa asilimia 75% Kuwa Msimu huu tusipojichanganya tunabeba EPL.

Hata hivyo Mkuu hoja ulizozitoa hazina uhusiano wa Guardiola kuto kubeba EPL
 
Mimi binafsi tokea Klopp ajiunge na Liverpool sikuwahi kumpa uwezekano wa kuweza kubeba EPL, Lakini msimu huu ninayo Matumaini ya Kubeba EPL.

Kwahiyo naamini kwa asilimia 75% Kuwa Msimu huu tusipojichanganya tunabeba EPL.

Hata hivyo Mkuu hoja ulizozitoa hazina uhusiano wa Guardiola kuto kubeba EPL
Swala la kujichanganya halikwepeki napata mashaka sana na washambuliaji wetu hizi mechi nne zijazo ndo zitanipa picha
 
Swala la kujichanganya halikwepeki napata mashaka sana na washambuliaji wetu hizi mechi nne zijazo ndo zitanipa picha

Katika kumbukumbu zangu zinanionesha Mane, Bobby na Salah hawajawahi kupotea zaidi ya Mechi 4, Na tayari wameshapotea Mechi 3 (Napoli, Chelsea na Sheffield).

Kwahiyo against Leicester au Manure watakuwa wamesharudi vizuri tu kwenye ubora wao.

Na awamu ya pili ambayo ndiyo mbaya zaidi watakayopotea ni Jan - Feb ambapo ndiyo maranyingi huwa tunapotea kwenye zile mbio za Ubingwa.

Kwahiyo Klopp awe Makini kuwaweka Fiti baadhi ya Wachezaji (Keita, Origi na OX) kwa kipindi hichi cha Jan - Feb ili tusije umbuka kama kawaida yetu.
 
Vitor Matos - Porto coach set to join Liverpool/Jurgen Klopp's coaching staff at Liverpool.

Matos will act as a bridge between the club's academy and first-team squad and help the most talented starlets in Liverpool's ranks develop.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom