wamebana wakaachia.I agree but It depends Bobby, Mane and Salah's performances
Consistency unaipataje kwa kuchezeshwa mechi moja moja?Tunachoangalia ni consistency performance, hatuangalia performance ya mechi moja.
Kwa vile yeye sio Messi acha ni mpongeze golikipa tu.Salah nimeshakutukana
Origi ni mchezaji mzuri kuliko unavyodhani ukitaia kuamini hilo ngoja auzweAcha atembelee bahati yake bhanaa mpira wala hajui uzuri kabahatisha mechi zote muhimu ndomana kapata mkataba.
Na zali lake lingine Solanke hajafunga hata goli na dakika kibao kapewa bila hivyo ilikua kwa heri
Jamaa mchango alotoa kwa dakika alizopewa anastahili pongezi kwakweli ni chache mnooConsistency unaipataje kwa kuchezeshwa mechi moja moja?
Jamaa anajitahidi sana lazima tukubali hilo...nikiona mtu anamzungumzia vibaya roho inaniuma sanaJamaa mchango alotoa kwa dakika alizopewa anastahili pongezi kwakweli ni chache mnoo
Liverpool fan hatujawahi kuwa na presha mpaka mechi iisheHahahaa
naona majogoo mnapresha balaa

Leo Klopp angalau amegundua kuwa mwanae kipenzi Henderson ni shit player