Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Midfield kitaendelea kuwa kilio changu cha sikuzote
Najua mnataka epl,Mkuu tatizo umekalili, hii Liverpool ya sasa ni moto sana hakuna cha mpira dak 90 hii inashida tu, kama walivyofanya msimu uliopita kafungwa mechi moja tu msimu mzima kwenye epl.
Na safari hii mtaumia sana.maana malengo ya kwanza ni epl.
kuanzia 60' onward hawa minnows lazima tu ulimi utakuwa nje.HF
Poor performance
kuanzia 60' onward hawa minnows lazima tu ulimi utakuwa nje.
prediction: a win for LFC plus a clean sheet.
Ushindi upo...sina wasiwasiMech ni ngumu lkn tutashinda
Kwa haki kabisaa tatizo letu lipo katikati kuna wachezaji humu wanabeba majukumu ya wenzao wale ambao makosa yao hayaulizwi kitim kama hiki kinajiamini vipi mpaka kifike golini kwetu mara kadhaa?Hii ni game ya 3 mfululizo Bobby, Salah na Mane wanakuwa wazururaji tu uwanjani.
Yani ile 3 games wonder haipo tena
Our midfield is shocking!!!