Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Hawa jamaa wana game plan nzuri sana ya kudefend
Klopp alisema tena baada ya ile game ya carabao kwamba 'Keita needs to adopt his role again'' na mimi nahisi hiyo role ni ile ile ya Left Midfielder.. kwahyo hakuna namna.. anaanza adjustment tena kama za fabinhoKeita hata benchi hayupo?
Mbona kama washambuliaji wetu ndo tatizo sioni juhudi zozote kwao.Hawa jamaa wana game plan nzuri sana ya kudefend
Kuna mtu alsema this week kwamba hawa jamaa style yao ya kudefend ni nzuri sana na inaeza tu gharimu.. ndio tunachokiona leo sasaHawa jamaa wana game plan nzuri sana ya kudefend
Mbona kama washambuliaji wetu ndo tatizo sioni juhudi zozote kwao.
Kama vile tumeshaishia
Robbo sikuzote Mguu wake upo against na goli
Hata hivyo Mane anamchango mkubwa zaidi ya Salah nnnje ya goliHapa alipokosa Mane angelikuwa Mo Salah Thread ingesimama kwa Muda
now, this is positive!Natamani sana Robbo afunge