Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Kumbe ni mpaka apewe dakika nikajua tayali kawiva kwa kupokea namaba ha ha haaa sifa zilizidi mpaka nikahisi Oweni mpya anakuja.Rhian huwezi kumjaji kwa mechi tu ambayo imecheza Team A jana, aedelee kupata dakika ndio angalau tuone kama ni asemavyo Klopp.....
Anahitaji apewe service ya kutosha pale mbele..muda utasema
Kama ni mpaka service basi wapewe makinda wote wenye muelekeo mzuri Jones Glijic wilson Hoever Chelavell Wodban yule Elioti ahamishe kabisaa akae kwa wakubwa.
Wodban anamzidi uwezo Hendason yeye anamzidi uzoefu tu
)...
the redmen
