Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hv ww origi unamjua au????? emb katafute mech alizoanza origi na idadi ya magol aliyofunga halafu urud hapa


Football without origi is nothing

Imani kama hizi juu ya Wachezaji average kama hawa ndiyo iliyofanya tusiishuhudie EPL kwa miaka 29

Pumzisha Mane au Bobyy kwa Mechi 5 mfululizo halafu acheze Origi hizo mechi 5 mfululizo then tuone nini kitatokea.

Kama tunahitaji Mchezaji kama Origi basi hatukuwa na sababu yeyote kumuuza Benteke.
 
Imani kama hizi juu ya Wachezaji average kama hawa ndiyo iliyofanya tusiishuhudie EPL kwa miaka 29

Pumzisha Mane au Bobyy kwa Mechi 5 mfululizo halafu acheze Origi hizo mechi 5 mfululizo then tuone nini kitatokea.

Kama tunahitaji Mchezaji kama Origi basi hatukuwa na sababu yeyote kumuuza Benteke.
Uyo Origi alianza ile fainal ya community shield dhidi ya Man city ila ni mmoja wa wachezaj walopooza mashambulizi sana sku ile na ile chenga yake moja hiyo hiyo muda wote

hawa watu inabidi waelewa kua Origi is a good player ila sio kama tunavomu overate
 


Reporter: Are you surprised by the speed of Alisson's return?

Klopp: I don't know how long we said he would be out, do you know?

Reporter: A couple of months...

Klopp: And how long has he been out now?

Reporter: A couple of months...
😀😀😀😎😎😎
 
Hahahaaaaa sisi tupo na BLUE MONDAY....lazma tuwaoneshe wale mashetani,na Muhindi wetu akiamka vizuri tunaweza rudia yaliyotokea weekend iliyopita kwa NORWICH maana huyu manure tutapiga wachakae
hahaha all that best, itakua gemu powa nahitaji kuona sifa za huyo Maguire mbele ya Auba itakua aje....
 
Uyo Origi alianza ile fainal ya community shield dhidi ya Man city ila ni mmoja wa wachezaj walopooza mashambulizi sana sku ile na ile chenga yake moja hiyo hiyo muda wote

hawa watu inabidi waelewa kua Origi is a good player ila sio kama tunavomu overate

Well said
 
Huyu Harvey Elliott kama hatovimba bichwa kutokana na kusifiwa basi atakuja kuwa the Liverpool's best player of all time.
Jamaa anavyo receive mpira na anavyotoa hadi raha afu bado mdgo..

Na ninachokipenda zaid anaipenda sana liverpool anachowaza ni ataifanyia nini liverpool na sio kwenda klabu zngne...,

Tukiendelea kuwa na wachezaj wenye uchungu na liverpool na waliokuja kwa mapenzi yao basi tutakuwa vzuri sana kwa muda mrefu.
 
Jamaa anavyo receive mpira na anavyotoa hadi raha afu bado mdgo..

Na ninachokipenda zaid anaipenda sana liverpool anachowaza ni ataifanyia nini liverpool na sio kwenda klabu zngne...,

Tukiendelea kuwa na wachezaj wenye uchungu na liverpool na waliokuja kwa mapenzi yao basi tutakuwa vzuri sana kwa muda mrefu.

Huyu dogo inabidi anapate namba kikosi cha kwanza kiliko wakina lallana
 
Ile chenga yake ya kutishia mkuu,kama anapiga....hahaha nilizipigaga sana zile enzi za primary kule ETIHAD STADIUM ....MWANANYAMALA "B"
Uyo Origi alianza ile fainal ya community shield dhidi ya Man city ila ni mmoja wa wachezaj walopooza mashambulizi sana sku ile na ile chenga yake moja hiyo hiyo muda wote

hawa watu inabidi waelewa kua Origi is a good player ila sio kama tunavomu overate
 
Ile chenga yake ya kutishia mkuu,kama anapiga....hahaha nilizipigaga sana zile enzi za primary kule ETIHAD STADIUM ....MWANANYAMALA "B"
Ndyo mkuu.. ile game tulimlaumu sana Salah na uchoyo wake ila jamaa ndo aliharibu zaidi na hiyo hiyo chenga yake moja ampite walker na stones(kama sjakosea) ila ikafail, hata game na southampton chenga zake hizo hizo nusura zitu cost.. Namkubali jamaa kwenye aerial balls anajitahidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom