Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Juzi wakati naangalia tuzo za Fifa, nilifurahi sana Klopp na Allison kupata tuzo. I could have been so happy kama VVD angefunga hesabu but it was all good.

And then nikajifanyia tafakuri kwa ku-base mafanikio anayoyapata Liverpool FC, niko so so proud this time around kuvaa jezi ya Liverpool popote pale, nina jezi za rangi 4 na ninazivaa anytime anywhere bossing like there is only me and my Liverpool FC in this world.

Now, as a Liverpool fan, I want to find a way in which my achievements progress in the Liverpool's way. Change the way of thinking, acting and making targets that need a bit of stretching.

If Allison, Klopp and Liverpool have made it to the top, why can't I go to the top?

So Kops, let's put challenges to ourselves, let's believe that it is possible to be the best at anything that we are doing. Kama uko mahali wanapotoa zawadi kwa mfanyakazi bora, kwa nini usiwe? Kama unafanya biashara, kwa nini biashara isikuwe? Let's use this happy moments we getting from our beloved team to motivate and inspire ourselves. If you made a plan to get 2, fight for 3, and if 3 was a plan fight for 1+ more.

By May when Liverpool will be lifting an EPL cup, we will be lifting ours as well.

Best of lack guys, let's strive for greatness.

All the best to those who will join course
Teh .....


Eeh mzee baba

Mimi zile goli nne tulizowafunga barca zli ni inspire sana mzee

Kwmba anything is possible
 
Teh .....


Eeh mzee baba

Mimi zile goli nne tulizowafunga barca zli ni inspire sana mzee

Kwmba anything is possible

Ndo hivyo mzee, sasa hivi habari za kukata tamaa nimeacha.

Liverpool hii nikikumbuka ilivyonitesa miaka hiyo, leo natesa mtaani, kila nakopita nasikia mzee wa Liver niaje, mtatoka?

Nawajibu, haponi mtu, na kweli tunanyonga. Hapa nasubiri kumwangamiza Man Utd, Arsenal - EFL, Man City huu mwaka lazima tumsomeshe.
 
Achana na media comments za kiingereza nakuhakikisha brother Jones ni mchezaji wa kawaida sana na hana future yoyote ni aina ya wachezaji wa kiingereza ambao technically hawana uwezo
Hapa napingana na wewe nimeangalia game yote na Jones alikuwa mzuri kuzidi wenzake vijana wa jana sasa inaweza kuwa hukumpenda au ndio mtazamo wako ila kacheza vizuri kwa mtoto wa miaka 18
 
Sawa brother kwasababu ni wa kwetu wacha tuwapende hivyo hivyo
Mtazamo tu mkuu ..mi nadhani experience and hard work ina matter zaidi ya kipaji (ndio maana wakina H.wilson wanapelekwa kwa mkopo wapate uzoefu )..unaweza ukawa na kipaji ukafelishwa na experience ..Hawa wanahitaji game za mara kwa mara angekuwa anaanza kikosi cha kwanza senior team hapa ndo tungesema bado ila yule ni dogo wakupewa muda!.
 
Dah, wewe ndo mimi kabisa, wananiita mzee wa Liver
Ndo hivyo mzee, sasa hivi habari za kukata tamaa nimeacha.

Liverpool hii nikikumbuka ilivyonitesa miaka hiyo, leo natesa mtaani, kila nakopita nasikia mzee wa Liver niaje, mtatoka?

Nawajibu, haponi mtu, na kweli tunanyonga. Hapa nasubiri kumwangamiza Man Utd, Arsenal - EFL, Man City huu mwaka lazima tumsomeshe.
 
Kwa heshima na taadhima tafadhali mtoe Origi kwenye hiyo orodha alafu muweke Karius namba moja

Mkuu Mimi Naangalia Performance na Mchango wa Mchezaji kiujumla Maenye Career Yake na Wal a sidondoi kwenye mechi mojamoja kuwa alifanyaje!

Nitanihisi Mimi ni Mtu wa ajabu sana iwapo nitauona Origi kuwa ni Bonge la Mchezaji kwasababu tu ati aliwafunga Barcelona.

Vipi kuhusu tens of Games ambazo anacheza akiwa na poor performance?

Nitaendelea kumuheshimu tu kwa Mafanikio aliyotupatia kwa mchango wake wa CL lakini si sababu ya kuwa Origi ni mchezaji sahihi wa timu inayotafufa Mafanikio kama Liverpool.

Ni pure one game wonder

Hapo anasubiri game moja Ngumu anakuja tena kututoa kimasomaso then anapotea tena.
 
Mkuu Mimi Naangalia Performance na Mchango wa Mchezaji kiujumla Maenye Career Yake na Wal a sidondoi kwenye mechi mojamoja kuwa alifanyaje!

Nitanihisi Mimi ni Mtu wa ajabu sana iwapo nitauona Origi kuwa ni Bonge la Mchezaji kwasababu tu ati aliwafunga Barcelona.

Vipi kuhusu tens of Games ambazo anacheza akiwa na poor performance?

Nitaendelea kumuheshimu tu kwa Mafanikio aliyotupatia kwa mchango wake wa CL lakini si sababu ya kuwa Origi ni mchezaji sahihi wa timu inayotafufa Mafanikio kama Liverpool.

Ni pure one game wonder

Hapo anasubiri game moja Ngumu anakuja tena kututoa kimasomaso then anapotea tena.
Origi technically na tactically yupo very talented unless tuseme amekua outshined na front 3 tuliyokua nayo labda tukubaliane kuwa klop ameshindwa kumtumia ni imani yangu kuwa akicheza namba 9 atafunga sana magoli provided midfield na wingbacks watapiga cross za kutosha..namuona kama plan B nzuri kwetu if bobby is not there
 
Mkuu Mimi Naangalia Performance na Mchango wa Mchezaji kiujumla Maenye Career Yake na Wal a sidondoi kwenye mechi mojamoja kuwa alifanyaje!

Nitanihisi Mimi ni Mtu wa ajabu sana iwapo nitauona Origi kuwa ni Bonge la Mchezaji kwasababu tu ati aliwafunga Barcelona.

Vipi kuhusu tens of Games ambazo anacheza akiwa na poor performance?

Nitaendelea kumuheshimu tu kwa Mafanikio aliyotupatia kwa mchango wake wa CL lakini si sababu ya kuwa Origi ni mchezaji sahihi wa timu inayotafufa Mafanikio kama Liverpool.

Ni pure one game wonder

Hapo anasubiri game moja Ngumu anakuja tena kututoa kimasomaso then anapotea tena.

Origi mechi za mwisho wa msimu alifanya vizuri kwa kua alikuwa anapambana aongezewe mkataba,mkataba ameshaongezewa , sasa hivi akomai kihivyo hata akikaa benchi poa tu , mpunga unaingia tu.

Kwakuwa alitusaidi tukaona aibu bora tumpe mkataba.
 
Full maHOPE,
Ndo hivyo mzee, sasa hivi habari za kukata tamaa nimeacha.

Liverpool hii nikikumbuka ilivyonitesa miaka hiyo, leo natesa mtaani, kila nakopita nasikia mzee wa Liver niaje, mtatoka?

Nawajibu, haponi mtu, na kweli tunanyonga. Hapa nasubiri kumwangamiza Man Utd, Arsenal - EFL, Man City huu mwaka lazima tumsomeshe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom