Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,480
- 27,185
Kuhoji ni jambo la busara wapiga kura wanachagua wachezaji wanaowapenda wao, bila kuangalia nani kafanya nini, ndio maana Ramos anakiri Madrid hawakuwa na msimu mzuri na Kama angetaka tuzo binafsi angecheza tennis ila voters wamewachagua regardless performance kwenye team zao.Marcelo anaendelea kutamba kikosi bora cha dunia kisa anapendwa na wapiga kura. Tukutane 2020 tuzo hizi ni za kibiashara zaidi
Naona wapiga kura wanaendelea kutuaminisha kuwa Casemiro ni bora kuliko Kante

.