Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kwenye hili Group tunapita ila concern yangu ni je tutaongoza hili kundi?

Kuongoza kundi kuna faida yake pale utakapoingia 16 bora na mpinzani utakayekutana nae! Kama hukuongoza kundi manake utakutana na kigogo atakayeongoza kundi.
Sijawahi kuwa na wasiwasi wa nani tutakutana nae after makundi hata miaka tuliyoingia fainali yote nadhani tulikuwa wa 2 pia. Hii mechi nilijua ngumu kutoka sababu napoli wangepania sana...ndo maana mwanzo nilisema asichoshe wachezaji apange tu akina lallana na shaqiri ili tumuwaze chelsea maana hili kundi tutapita tu. Hawa akina samatta hawana dili.lolote wala salzburg...ila ndo tushawachosha akina robertson na chelsea kala kidude atakuja na moto huyo balaa. Kama alivyotukimbiza kule kwenye supercup.
Ila nashukuru Kante atakuwa hajapona
 
Liverpool hamko serious mtu ana Allan pale kati wewe una herndason unategemea kushinda?
 
....hahahaha "marehemu alikua mbabe jamani"

Hii gemu sijaangalia nikijua Liva anashinda nikajikalia zangua nacheza PES mara nasikia msiba.
Napoli msimu uliopita walimtwanga uyo Liverpool wako sasa ulijuaje watafungwa?
 
tell her
 
Kwenye hili Group tunapita ila concern yangu ni je tutaongoza hili kundi?

Kuongoza kundi kuna faida yake pale utakapoingia 16 bora na mpinzani utakayekutana nae! Kama hukuongoza kundi manake utakutana na kigogo atakayeongoza kundi.
Sasa tunaanza ramli Napoli apoteze moja na sisi tushinde gemu zote zilizobaki kwa magoli mengi tu ili tuongoze kundi
 
Chelsea na kocha wenu kama mwanafunzi wa field. Poleni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…