bobby_Barbosa_9
JF-Expert Member
- Jul 29, 2019
- 633
- 1,275
Kuchoka kwa wachezaj kwasababu league ina game nyng inatakiwa wachezaj wawe fit mala nying...Usijipe matumaini ambayo ni mazigazi kijana
Klopp midfield yake ni Fabinho, Gini na Henderson, Guardiola midfield yake ni Rodri, Kevin DeBruyne na Gundogan. Sasa kaangalie takwimu hao non-holding midfielders wa Guardiola(Gundogan,Debruyne na David Silva) huwa wanatoa assist ngapi na kufunga goli ngapi kwenye ligi halafu ulinganishe na kiungo pendwa ya Klopp yaani Hendo na Gini huwa wanatoa assists ngapi na kufunga golli ngapi
Tukija kwenye Forwards, Liverpool ana Salah, Mane na Firmino kama Forwards wanaoshinda goli nyingi huku Man City ana Aguero ambae kufunga goli 20 kwa msimu sio swali, kuna Sterling nae anafunga goli nyingi, kuna Sane nae anajitahidi(goli 13 anakupa), kuna Gabriel Jesus (goli 13 anakupa) benchi kuna Mahrez halafu sijamuongelea Bernado Silva
Wekeni mapenzi pembeni Liverpool yuko vizuri ila kipindi hiki kakutana na Manchester City chini ya Guardiola ambayo haina mchezo kwenye ligi.
Binafsi siwezi kuitabiria Ubingwa Liverpool, tutakuwa wote mashuhuda mechi ya mwisho ya Liverpool kwenye EPL.
Ila kama Guardiola asingekuja Uingereza basi huu ndio ungekuwa muda wa Liverpool kutamba tena kama ilivyokuwa kabla ya mwaka 1990
Kwa kweli ipo siku na nadhani ni mwakani, Fabinho nikiangalia angalia anazidiwa na Kante na Fernandinho tu labda kwa mtazamo wangu mdogo ambapo bado sijaangalia angalia viungo wengi dunianiHatujaingiza kiungo yoyote yule kwenye mapendekezo ya kikosi bora cha mwaka.View attachment 1199089
Ila mkuu naona kama captain kashaanza kuimprove. Kwenye game mbili za mwisho kwenye ligi kacheza vizuri.√ Nani aliyekwambia kumpanga mchezaji bovu uwanjani ni kuwa kocha kilaza?
√ Nani aliyekwambia kila mchezaji anayepangwa uwanjani ni mzuri?
√ Kwanini Lovren alikuwa Akichezeshwa Kila game na Klopp, Lakini sasahivi hachezeshwi game hata moja na Klopp huyuhuyu?
√ Hivi unaweza kunipa sababu kwanini Klopp huyuhuyu alipokuwa akimng'ang'ania kumpanga Lovren kila game sisi tulikuwa tukimkosoa Munasema Klopp anajua Kuliko sisi, Lakini Klopp huyuhuyu kaamua kumueka Benchi Lovren hatimae hamusemi Klopp hajui tena kwasababu hamchezeshi Lovren? Au Klopp anajua anapomchezesha mchezaji kwa lazima tu, Lakini asipomchezesha kujua na kutojua kwake hakuwahusu?
√ Unajuwa kuwa Tokea aondoke Alonso na Mascherano Liverpool haijawahi tena kupata Midfield zinazotambulika?
JUA HAYA:
1) Situation ya Lovren ni Sawa na ya Henderson:
- Hao Makocha wote uliowataja (Sir Keny, Rodgers, Klopp na Southgate) hawamchezeshi Hendo kwa kuwa anajua au kwasababu ya kuwa wao wanajua zaidi! Bali wanamchezesha Hendo kwasababu hawakuwa na Hawana wachezaji wa Maana katika Vikosi vyao kwenye eneo la Midfield.
* Keny, Rodgers walikuwa na vikosi kibovu ndiyomana Hendo akacheza
* Klopp Mido zake ni Gini, Milner, Fabi, Nabi, Lallana na OX, hapo anayecheza ni Gini na Fabi, Nabi na Ox ni sawa na Wahudumu wa Afya Wodini, Lallana na Milner hamna kitu! Sasa Hendo ataachaje kucheza hapo? Je nibkwasababu Mkali au kwasababu hatuna Mido ya maana?
Ni sawa na Lovren wakati anapangwa kila game Watu walidai Klopp anajua zaidi, Asinhelimpanga isipokuwa Lovren ni Beki Mzuri! Kumbe alikuwa Akipangwa kwasababu Klopp alikuwa hana Beki mwengine wa maana.
Alipoibuka Gomez tu, Matip kupona majeruhi na kuja kwa VVD yupowapi Lovren now?
Ule ubeki bora wake umeendea wapi?
Ile Klopp kumpanga kwasababu anajua zaidi imeishia wapi?
2) Kuondoka kwa Alonso na Mascherano:
Tokea waondoke hao jamaa Liverpool haijawahi kupata tena Midfield ya Calibre ya hao jamaa! Ndiyomana Hendo katawala kwasababu wote waliopo (Ukitoa Keita & Ox majeruhi) ni wabovu angalau yeye ana afadhali.
Kwahiyo Klopp kumchezesha Hendo sio Kilaza, Bali tunamlaumu kwanini hasajili upgrade ya Hendo!
Na wala Hendo kuchezeshwa sio sababu kuwa yeye ni Bora, bali ni kwamba Liverpool haina kiungo wa maana.
Hendo ni Kiungo mshambuliaji mbele ya Gini na Fabinho Lakini je Mpaka mwisho wa msimu hafikishi hata goli 5 na assists 5 sasa anafaida gani kwenye Timu?
Karibuni anifield
huyu Can na Coutino sijui wana nuksi gani tangu waodoke kwa Majogoo wa Jiji...walidhani wanakwenda kua influential kama walivyo Liverpool kumbe walipokwenda ni disposable muda wowote...Emre Can bhana! Eti alitaka kushinda CL pamoja na Ronaldo msimu uliopita!
Then eti msimu huu pia alitaka kutimiza ndoto Yake ya kushinda CL na Ronaldo ha ha ha ha
Sasa sijui Ronaldo yupi aliyemkusudia kushinda nae CL wakati ameachwa kwenye kikosi kitakachoshiriki CL
change of Manager in the team can make this players just say 'i wish' ......Wamemfanyia umafia mkubwa, kwanini juve wasingemwambia mapema ,angetafuta zake timu .
Mbona tayari mawili kibindoni na la tatu anahitaji kushinda game mbili analibebaLiverpool mwaka huu hawachukui Kombe lolote
Kila laheri!Kombe la ligi tunachukua na Uefa champions tunachukua ndoo
EPL bado ipo mikononi mwa Guardiola
Nyie subirini tu muone big match za Man Utd na Man City zitakavyopoka Ubingwa
Kikosi finyu sana pale Liverpool, huku Man City namba zote zina watu wakutosha benchi
Man City kama kawaida atanyuka timu zote hata iwe Manchester derby, Liverpool derby yake na Everton lazima adondoshe point
Liverpool haiwezi kuchukua ubingwa EPL, wale walilaaniwa na Sir Alex Ferguson.
AgreedToo early to talk about winning tittle View attachment 1199515
UCL Liverpool anaweza kulibeba tena ,ila EPL mhh sijui , ila inawezekana kama Chelsea alikaa miaka 50, mwisho wa siku akabeba,Too early to talk about winning tittle View attachment 1199515
Fabihno akipata platform kwenye national team ataingia Kwenye kila List bado kidogo sana, hao waliorodheshwa National Team platform zinawabeba chunguza utaonaKwa kweli ipo siku na nadhani ni mwakani, Fabinho nikiangalia angalia anazidiwa na Kante na Fernandinho tu labda kwa mtazamo wangu mdogo ambapo bado sijaangalia angalia viungo wengi duniani
Too early to talk about winning tittle View attachment 1199515
Klopp anatakiwa afocus kwenye makombe ya ndani pia . FA tunazo chachemy LFC priorities for season 2019/20, here we go.......
1st priority: EPL
Alisson, TAA, Robo, Matip, VVD, Fabi, Gini/Millie, Hendo/Ox/Keita, Mo, Bobby, Mane.
1st priority: UCL
Alisson, TAA, Robo, Matip, VVD, Fabi, Gini/Millie, Hendo/Ox/Keita, Mo, Bobby/Origi, Mane.
2nd priority: FA
Adrian, Clyne, Millie, Jomez, Lovren, Hendo, Lallana, Ox/Keita, Shaq, Brewster, Origi.
3rd priority: Carabao
Adrian, Clyne, Millie/sub, Jomez/sub, Lovren/Ki-Jana, Hendo, Lallana, Ox/Keita, Shaq, Brewster, Origi.
Liverpool itabeba mkuu, Klopp ata ondoa gundu.Mbona EPL ni ya Chelsea msimu huu au hujui?
We mtu ni comedian mzuri sanaLiverpool itabeba mkuu, Klopp ata ondoa gundu.
MhGuardiola mpaka aamue mwenyewe kuuacha ubingwa wa EPL