Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Point kubwa ni #LFC ana kikos finyu chenye wachezaj wachache wanaojua sana na hao ndio mala nying wapo first eleven mbadala wa hao wachezaj hawako vzur sana...

Lkn man city ana toka mtu anaingia mtu,

So kinachotukwamixha ni m Kuchoka kwa wachezaj kwasababu league ina game nyng inatakiwa wachezaj wawe fit mala nying...

Sasa man cty anawachezaj wengi wazur na bado tuna compite kiasi hiki means tukiwa fit bas tunachukua.

Ukitaka kujua liverpool yuko vzur kipimo ni uefa (finalist back to back)

Wakat huo man cty hola.

Mchoko wa liver ndio unatuangusha epl ndio maana klopp saiv anafanya mzunguko wa wachezaj.

Gomez saiv anatokea bench, mane ana pumzxhwa dakk za 70, na kukumbuxha keita karud mazoezin[emoji28].

#nikosoe nijifunze zaid
 
Ila mkuu naona kama captain kashaanza kuimprove. Kwenye game mbili za mwisho kwenye ligi kacheza vizuri.

Nadhani hii ni kutokana na kupangwa mbele ya gini na fabby. Ujue last season alikuwa akicheza ile nafasi anayocheza fabby kwa sasa. Ndio maana zile back passes tulizokuwa tukicheza msimu uliopita kwa sasa hazipo. Na hizi aliyekuwa akiongoza kuzipiga ni captain.

Kingine. Comfidence yake imerudi, japo hakuwa nayo, kwa mfumo tunaocheza sasa mimi naona anafit nafasi anayocheza. Japo itakuwa vizuri akiwa kama backup ya gini. kwa maana kama Naby atakuwa fit kiungo chetu kiwe ni Naby na Gini pale mbele. Na fabby acheze mbele ya backline kwa maana ya holding midfilder.

Kwa maoni yangu, na the way navyomwona le captain kwa huu mwanzo wa ligi kafanya vizuri.
 
huyu Can na Coutino sijui wana nuksi gani tangu waodoke kwa Majogoo wa Jiji...walidhani wanakwenda kua influential kama walivyo Liverpool kumbe walipokwenda ni disposable muda wowote...

sasa UCL hayumo ataishia kuangalia akina Hendo aliwaona ni kawaida players sio level yake...

Life can be damn cruel....every choice has consequences..
 

Guardiola mpaka aamue mwenyewe kuuacha ubingwa wa EPL
 
Kwa kweli ipo siku na nadhani ni mwakani, Fabinho nikiangalia angalia anazidiwa na Kante na Fernandinho tu labda kwa mtazamo wangu mdogo ambapo bado sijaangalia angalia viungo wengi duniani
Fabihno akipata platform kwenye national team ataingia Kwenye kila List bado kidogo sana, hao waliorodheshwa National Team platform zinawabeba chunguza utaona
 
my LFC priorities for season 2019/20, here we go.......

1st priority: EPL
Alisson, TAA, Robo, Matip, VVD, Fabi, Gini/Millie, Hendo/Ox/Keita, Mo, Bobby, Mane.

1st priority: UCL
Alisson, TAA, Robo, Matip, VVD, Fabi, Gini/Millie, Hendo/Ox/Keita, Mo, Bobby/Origi, Mane.

2nd priority: FA
Adrian, Clyne, Millie, Jomez, Lovren, Hendo, Lallana, Ox/Keita, Shaq, Brewster, Origi.

3rd priority: Carabao
Adrian, Clyne, Millie/sub, Jomez/sub, Lovren/Ki-Jana, Hendo, Lallana, Ox/Keita, Shaq, Brewster, Origi.
 
Klopp anatakiwa afocus kwenye makombe ya ndani pia . FA tunazo chache

Tangia amekuwa kocha Liverpool haijachukua hata Carabao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…