Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Naked truth. Bobby is the SYSTEM.
IMG-20190902-WA0017.jpg
 
Duuu, mkuu unataka kusema kideo kinatudanganya kweli? Hahaha, this is a comment of the year
kaka wak

kaka wakati mwingine stats hazikuelezi kila kitu uwanjani,na kuna tofauti kubwa sana kuangalia mpira kwenye TV ,na kuangalia live uwanjani...kwa sababu mfano wanachokifanya gini ,hendo na firmino OFF THE BALL,huwezini kuona kwenye stats sehemu yoyote ile mpaka uwe uwanjani...na hapa ni pale timu inapokuwa na mpira au wakati kudefendi...workrate...kwa bahati mbaya TV inaonyesha uelekeo wa mpira tu....ukiangalia trent anavyolindwa na akina hendo na gini akiwa kwenye zone ya adui huwezi kuona kwenye TV.Lakini cha watu watakwambia hendo anakimbia kimbia tu uwanjani
 
Barca yenyewe hii inachechemea, Madrid ndio mgonjwa wa kifafa... Bayern wa leo sio Bayern wa miaka ile..... Psg nae ugonjwa wake ni uleule...... NATABIRI LIVERPOOL KUINGIA ROBO FAINALI NA IKIBIDI NUSU.... kuhusu kuingia fainali hilo silijui...

Watu pekee wanaoweza kumsumbua Liverpool ni MANCHESTER CITY, ATLETICO MADRID au TOTTENHAM tu.
 
i tell you this Samba when on this fire only the sky is the limit...

Yani huyu jamaa sasahivi anakipiga balaa! Lakini Liverpool ina kitu ninakiita Jan-Feb syndrome ha ha ha ha! Ikifika kipindi hichi hakuna Cha Salah, Mane wala Firmino! Wote wanakuwa kama mrisho Ngassa tu! Hao kina TAA ndiyo hutamani hata kuwaona...

Na ndiyo kipindi hichi huwa ndipo tunapopoteza ubingwa

Kuanzia March ndiyo wanarudi tena upya kama waliofungwa Engine ya Bombardier
 
Hii Ndiyo Post Ya Kimpira! Sio Wale Wanaoropoka Salah auzwe, Aekwe Bench n.k.

💪 💪 💪 💪
Umuuze Salah?Are they crazy?
Yaani umuuze Salah?Huyo nani anatuletea uchuro huu?
Best outside left mido ktk dunia ya sasa ya soka umuuze sababu wamerushiana maneno na Mane?
Huu zaidi ya ulevi sasa unakuwa!
 
Inaonesha umezimiss sana zile 5 na 4 tulizopigwa na City and Spurs respectively wakati kina Aguero, Jesus na Henry Kane wakimzunguka Lovren kama wanacheza Mdundiko!
Hata sisi tuliwahi wafunga city 4 na beki akiwa lovren huyo huyo, hata mwaka jana robo fainali city alikula 3 anfield na na kwake akala 2 kwa moja beki akiwa lovren huyo huyo, punguza chuki kwa lovren pamoja na mabaya yake pia anayo mazuri alishafanya, acha kusema mabaya tu
 
Huwezi kumuuza beki kipindi hiki hapa, hizo si fikira nzuri, siku zote mpira lolote laweza kutokea, wakati tunacheza na buyern kule Germany VVD alikuwa suspended, Gomez alikuwa kitandani, matip kitandani, pale nyumba alisimama Lovren na Fabihno, buyern akala 3 kwa 1, leo hii ww unapambana lovren auzwe wakati hatujasajiri mwingine, ikitoke injury au suspension kati ya hao watatu waliopo twafanyaje? Jaribu kufikiria sawa sawa ndg yangu Gwaba
 
Muda utasema kumbuka timu huzalisha majeruhi pindi mashindano yanapokuwa mengi
 
Yani huyu jamaa sasahivi anakipiga balaa! Lakini Liverpool ina kitu ninakiita Jan-Feb syndrome ha ha ha ha! Ikifika kipindi hichi hakuna Cha Salah, Mane wala Firmino! Wote wanakuwa kama mrisho Ngassa tu! Hao kina TAA ndiyo hutamani hata kuwaona...

Na ndiyo kipindi hichi huwa ndipo tunapopoteza ubingwa

Kuanzia March ndiyo wanarudi tena upya kama waliofungwa Engine ya Bombardier
hahaha na hapo ndio manciti anakua na moto balaaaa.....hili llinatokana na yaleyale ya miaka yote kikosi kiduchu mnooo maana hapo kuna Ucl, Epl na FA ....wachezaji hapo moyo unataka ushindi mwili unakataa na pia majeruhi miezi hio hua wapo wapo wengi kikosini...

bila shaka msimu huu tunaweza tukatoka salama endapo wachezaji wa akiba watapadisha ubora wao kuedana na team A....
 
Huwezi kumuuza beki kipindi hiki hapa, hizo si fikira nzuri, siku zote mpira lolote laweza kutokea, wakati tunacheza na buyern kule Germany VVD alikuwa suspended, Gomez alikuwa kitandani, matip kitandani, pale nyumba alisimama Lovren na Fabihno, buyern akala 3 kwa 1, leo hii ww unapambana lovren auzwe wakati hatujasajiri mwingine, ikitoke injury au suspension kati ya hao watatu waliopo twafanyaje? Jaribu kufikiria sawa sawa ndg yangu Gwaba
Utakuwa umechanganya mechi mkuu ile mechi ya ujerumani vvd alikuwepo nae alitoa pasi kwa mane kufunga na yeye alitupia goli.ILA ULICHOANDIKA MM NAKUBALIANA NA EWEW ASILIMIA ZOTE HATUWEXI KUSHABIKIA KUUZA WACHEZAJI KIPINDI AMBACHO HATUJAFANYA USAJILI WA KUTOSHA.
 
kaka wak

kaka wakati mwingine stats hazikuelezi kila kitu uwanjani,na kuna tofauti kubwa sana kuangalia mpira kwenye TV ,na kuangalia live uwanjani...kwa sababu mfano wanachokifanya gini ,hendo na firmino OFF THE BALL,huwezini kuona kwenye stats sehemu yoyote ile mpaka uwe uwanjani...na hapa ni pale timu inapokuwa na mpira au wakati kudefendi...workrate...kwa bahati mbaya TV inaonyesha uelekeo wa mpira tu....ukiangalia trent anavyolindwa na akina hendo na gini akiwa kwenye zone ya adui huwezi kuona kwenye TV.Lakini cha watu watakwambia hendo anakimbia kimbia tu uwanjani
Hii comment ya mwaka ,ndio maana casemiro yupo Madrid, Hendo yupo Liverpool, Hawa ni wasiojulikana mzigo wanaubeba mkubwa Sana, dunia hii inaowachezaji wachache sana wanao onekana kila mpira ulipo
 
kaka wak

kaka wakati mwingine stats hazikuelezi kila kitu uwanjani,na kuna tofauti kubwa sana kuangalia mpira kwenye TV ,na kuangalia live uwanjani...kwa sababu mfano wanachokifanya gini ,hendo na firmino OFF THE BALL,huwezini kuona kwenye stats sehemu yoyote ile mpaka uwe uwanjani...na hapa ni pale timu inapokuwa na mpira au wakati kudefendi...workrate...kwa bahati mbaya TV inaonyesha uelekeo wa mpira tu....ukiangalia trent anavyolindwa na akina hendo na gini akiwa kwenye zone ya adui huwezi kuona kwenye TV.Lakini cha watu watakwambia hendo anakimbia kimbia tu uwanjani
chief, upo sahihi 101%.

hapa ndipo wengi wetu tunapofeli kumwelewa Klopp vizuri.
midfield yetu amei set up very uniquely - hakunaga EPL wala UCL, licha ya kuwa comprised of wacheza fyongo kama Hendo.

also it should be noted that (IMO) the reason why this new season tume struggle kupata clean sheets na ku concede too many shots si kwa sababu backline yetu imedhoofu - big NO! it's rather because our midfield hasn't hit the ground running. yet.
our midfield's usual graft off the ball bado haijaonekana - but am sure itarejea after international break.
 
najua debate ya Mane vs Salah imefungwa but honestly speaking, Mane anahisi na wafuatiliaji wa takwimu wamethibitisha kuwa among the trio..Mane ndiye anayeongoza kumpa chances & assits nyingi zaidi Salah (see below table ex 2017/18 season).

if you ask me, I personally like very much this type of competition.
I (perhaps many amongst yourselves too) do experience it from time to time with my own staff - it's all to do with passion.
am dead certain Klopp too loves this sort of passion within his charges.

20190902_231758.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom