Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,588
Kumbe mamii mwana chelsea?Utasubiri sana.
Kumbe mamii mwana chelsea?Utasubiri sana.
Hapana mimi ni man united. Leo na enjoy football bila stress. Naona hapa Chelsea wanashambulia dakika hizi za majeruhi.Kumbe mamii mwana chelsea?
Hakuna mchezaji namchukia liva kama herndersonYani kuwepo kwa herndeson huwa kunaharibu mipango yote ya middles,sijui huyu jamaa kamuroga klopp
Videmu vyote vimeznguaIla anachezesha vizuri tu mbona.
Man city waliwatoa kwa penalt,leo itakuwa hivyo hivyo.