am positive Pep alisajiliwa City kwa ajili ya Champions League na si kingine...Kuna sehemu nilisoma amesema hawezi kuirisk EPL kwa ajili ya UCL.
Kubeba CL ni kama asili kwa timu husika.
Nikiitazama Intermilan ya 1998 - 2000 ilisheheni kila Kipaji lakini ilishindwa hata kucheza Fainali ya CL.
Ukija PSG ya last 2 seasons utaiona ina kila kipaji lakini still imeshindwa hata kufika Nusu Fainali ya CL huku ikitolewa na Man U iliyokuwa ikisuasua.
Ukiiangalia Man City tuliyoitoa sisi kwa kuifunga Nje ndani ilitimia kila pahala lakini still ilishindwa kuitoa Liverpool ya beki Lovren na Mido Hendo na Milner.
Kwahiyo Kubeba CL ni kipaji na asili maalum na kupania ubebe.
Pep hawezi kubeba CL na City
Back up RB na LB ndio kwangu naona tutakwama...BECKER
TAA
MATIP
GOMEZ
VVD
LOVREN
ROBBO
FABI
GINI
HENDO
MILLIY
KEITA
OX
LALLANA
MO11
BOBBY
SAD10
ORIGI
XHAQ23
Hizo ndiyo sura tutakazoziona msimu huu wa 2019/20
Hao kina Brewster, Berg, Ki-Jan, Elliott wasubiri tu Carabao na FA.
Chelsea alivyobeba CL ni sawa na Leicester City alivyobeba EPL.
Walibahatika kuwa katika hiyo misimu husika Timu zote hazikuwa vizuri kuweza kupambania hayo Makombe.
Na Ndiyomana baada ya kubeba tu (Chelsea & Leicester) wakaishia kupotea katika hiyo makombe.
Sasa na City labda avizie msimu ambao timu kama Bayern, Liverpool, Barcelona na Madrid hazipo vizuri zote 4 ndiyo anaweza kupambana yeye, Juve na PSG mmoja wapo kuweza kubeba CL.
Back up RB na LB ndio kwangu naona tutakwama...
Mwaka mmoja kabla ya cfc kubeba CL Iliishia nafasi ya ngapi,
Ktk finali mbaya ya Cl kuwahi kutokea ni ya liver na totts unalizungumziaje hilo
Usajili umefungwa rasmi , Ni muda wa kui support Team kuanzia kesho kwenye mapambano.
We go again.
Kuna muda unaongea vitu vya maana, kuna muda unaongea pumba..Chelsea alivyobeba CL ni sawa na Leicester City alivyobeba EPL.
Walibahatika kuwa katika hiyo misimu husika Timu zote hazikuwa vizuri kuweza kupambania hayo Makombe.
Na Ndiyomana baada ya kubeba tu (Chelsea & Leicester) wakaishia kupotea katika hiyo makombe.
Sasa na City labda avizie msimu ambao timu kama Bayern, Liverpool, Barcelona na Madrid hazipo vizuri zote 4 ndiyo anaweza kupambana yeye, Juve na PSG mmoja wapo kuweza kubeba CL.
Aah kumbe liverpool mlisajili.
Nawaza Pep aja Liver baada ya Cityam positive Pep alisajiliwa City kwa ajili ya Champions League na si kingine...
how he make that happen is still a puzzle to him n his owners maana they have th right players kushinda hilo taji minus the right fans...
Fans wa Manciti which play r very important role sio kama Fans wa majogoo....usiku wa Champions League pale Anfield hali hubadilika th opposition get chills all over, usione Barca, PSG walifungwo Anfield ukadhani ni uwanjani tu hapana mashabiki kwa kweli kazi yao wanaijua we are damn lucky hatuna plastic fans kama Manciti...
am positive if Pep had fans like Anfield fans angeshachukua UCL mpaka sasa....
Kuwa muungwana kidogo basi ungesema hata pombe ningekuelewaThat is very sure.
Anfield inasemekana nje kwa pemben kdg kuna duka la bangi.
kazi kweli kweli kwani ile fainali nzuri tuliyofungwa na real madrid tulifaidika na nini???jamaa hajui lengo si kufurahisha wapinzani...MAREKEBISHO:
Fainali Mbaya kwa yule aliyepoteza, Fainali ni Nzuri kwa yule aliyeshinda.
Nashukuru kwa kukufahamu kuwa upo kwenye losing side.