Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kuna wale madogo walionunuliwa naona wote wameshatupwa U23

Next season wanatafutiwa timu za Mkopo

Tunabaki na kikosi kilekile cha last season ambacho tumeambiwa Lallan na OX ni new signing.

Iwapo Lallana na OX watacheza game 10 mfululizo bila ya injury ya zaidi ya wiki 4 nahama JF
unahama unaenda kujifungua au?
 
Ukuta wa chuma Man United


https://www.mwanaspoti.co.tz/image/view/-/5226350/highRes/2414552/-/maxw/600/-/o0ee9cz/-/pic+chuma.jpg
Wewe dogo Maguire asikupe kiburi cha kuficha kichwa matako yanachomekewa dudu Manchester akikaza sana atamaliza league nafasi ya 5
 
√ Spurs anazidi kujiimarisha
√ Man City anazidi kujiimarisha
√ Man United anazidi kujiimarisha
√ Arsenal anazidi kujiimarisha
• Chelsea transfer ban
× Liverpool banned itself from transfer
Hahah shida nn sasa
 
Kuna wale madogo walionunuliwa naona wote wameshatupwa U23

Next season wanatafutiwa timu za Mkopo

Tunabaki na kikosi kilekile cha last season ambacho tumeambiwa Lallan na OX ni new signing.

Iwapo Lallana na OX watacheza game 10 mfululizo bila ya injury ya zaidi ya wiki 4 nahama JF
hahahaha King Ngwaba game 10 wazipate wapi like serious dakika 90 kazi kazi...hapo kwenye hio list ongezea Keita,Lovren, Gomez TAA, Henderson na Matip....
 
√ Spurs anazidi kujiimarisha
√ Man City anazidi kujiimarisha
√ Man United anazidi kujiimarisha
√ Arsenal anazidi kujiimarisha
• Chelsea transfer ban
× Liverpool banned itself from transfer
ongezea hapo na Everton na Wolves wamefanya very smart buying...pazuri ni pale mwakani mwezi wa sita dirisha kuu sioni tukibakisha wafuatao aidha wote au kunao watakaodoka for new challenge Mane, Salah, VVD, Firmino, Allison, Fabihno...

sasa nilitarjia msimu huu angalau tuanze maadalizi kwa yajayo...😎😎😎Klopp hakika ni Typical German...
 
anaogopa Majogoo itakua...mind you yeye target ni UCL

Kuna sehemu nilisoma amesema hawezi kuirisk EPL kwa ajili ya UCL.

Kubeba CL ni kama asili kwa timu husika.

Nikiitazama Intermilan ya 1998 - 2000 ilisheheni kila Kipaji lakini ilishindwa hata kucheza Fainali ya CL.

Ukija PSG ya last 2 seasons utaiona ina kila kipaji lakini still imeshindwa hata kufika Nusu Fainali ya CL huku ikitolewa na Man U iliyokuwa ikisuasua.

Ukiiangalia Man City tuliyoitoa sisi kwa kuifunga Nje ndani ilitimia kila pahala lakini still ilishindwa kuitoa Liverpool ya beki Lovren na Mido Hendo na Milner.

Kwahiyo Kubeba CL ni kipaji na asili maalum na kupania ubebe.

Pep hawezi kubeba CL na City
 
BECKER
TAA
MATIP
GOMEZ
VVD
LOVREN
ROBBO
FABI
GINI
HENDO
MILLIY
KEITA
OX
LALLANA
MO11
BOBBY
SAD10
ORIGI

XHAQ23

Hizo ndiyo sura tutakazoziona msimu huu wa 2019/20

Hao kina Brewster, Berg, Ki-Jan, Elliott wasubiri tu Carabao na FA.
 
BECKER
TAA
MATIP
GOMEZ
VVD
LOVREN
ROBBO
FABI
GINI
HENDO
MILLIY
KEITA
OX
LALLANA
MO11
BOBBY
SAD10
ORIGI

XHAQ23

Hizo ndiyo sura tutakazoziona msimu huu wa 2019/20

Hao kina Brewster, Berg, Ki-Jan, Elliott wasubiri tu Carabao na FA.

Obviously same squad as last season
 
Kuna sehemu nilisoma amesema hawezi kuirisk EPL kwa ajili ya UCL.

Kubeba CL ni kama asili kwa timu husika.

Nikiitazama Intermilan ya 1998 - 2000 ilisheheni kila Kipaji lakini ilishindwa hata kucheza Fainali ya CL.

Ukija PSG ya last 2 seasons utaiona ina kila kipaji lakini still imeshindwa hata kufika Nusu Fainali ya CL huku ikitolewa na Man U iliyokuwa ikisuasua.

Ukiiangalia Man City tuliyoitoa sisi kwa kuifunga Nje ndani ilitimia kila pahala lakini still ilishindwa kuitoa Liverpool ya beki Lovren na Mido Hendo na Milner.

Kwahiyo Kubeba CL ni kipaji na asili maalum na kupania ubebe.

Pep hawezi kubeba CL na City
Kwaio inamaanisha city uefa ni kama liverpool epl??

Chelsea watu walidhan hvyo pia.
Kombe halinaga mwenyewe.
Epl watu walizan hvyo kwa city pia.
Kama city alivyochukua epl kwa kwa mara ya kwanza ndo itakavyokuwa kwenye UCL.
 
Kwaio inamaanisha city uefa ni kama liverpool epl??

Chelsea watu walidhan hvyo pia.
Kombe halinaga mwenyewe.
Epl watu walizan hvyo kwa city pia.
Kama city alivyochukua epl kwa kwa mara ya kwanza ndo itakavyokuwa kwenye UCL.

Chelsea alivyobeba CL ni sawa na Leicester City alivyobeba EPL.
Walibahatika kuwa katika hiyo misimu husika Timu zote hazikuwa vizuri kuweza kupambania hayo Makombe.

Na Ndiyomana baada ya kubeba tu (Chelsea & Leicester) wakaishia kupotea katika hiyo makombe.

Sasa na City labda avizie msimu ambao timu kama Bayern, Liverpool, Barcelona na Madrid hazipo vizuri zote 4 ndiyo anaweza kupambana yeye, Juve na PSG mmoja wapo kuweza kubeba CL.
 
Chelsea alivyobeba CL ni sawa na Leicester City alivyobeba EPL.
Walibahatika kuwa katika hiyo misimu husika Timu zote hazikuwa vizuri kuweza kupambania hayo Makombe.

Na Ndiyomana baada ya kubeba tu (Chelsea & Leicester) wakaishia kupotea katika hiyo makombe.

Sasa na City labda avizie msimu ambao timu kama Bayern, Liverpool, Barcelona na Madrid hazipo vizuri zote 4 ndiyo anaweza kupambana yeye, Juve na PSG mmoja wapo kuweza kubeba CL.
Nimecheka sana
Na vp kuhusu liverpool na epl unalizungumziaje!..

Ni mpaka timu kama city,man u,chelsea ziondoke ndo liverpool ichukue sio?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom