Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pep ame target fullbacks wetu na kwa kiasi kikubwa amefanikiwa kui stifle creative outlet yetu.

Hendo = UCL triumph hangover (very poor)
TAA = UCL triumph hangover (poor)
Gini = poor

At least umeona nilichokiona!
Sasa hapa ndiyo Klopp anahitajika achange plan instead of using Fullbacks ajaribu kutumia Midfielders sasa kwa ajili ya Kucreate ba Kupenetrate mipira... Lakini je Mido za hivyo tinazo?
 
Utabiri wangu msimamo wa msimu huu 2019/20

1) Man City
2) Liverpool
3) Man United
4) Arsenal
5) Spurs

6) Chelsea
Man city
Spurs
Man Utd
Chelsea
Liverpool
Arsenal.

Hao wa 6 hata wamsajili rais wa FIFA usitegemee watapata mabadiliko yoyote. Halafu wewe hujasajili unajiweka nafasi ya juu ya Man Utd. Acha unazi bwa mdogo.
 
Man city
Spurs
Man Utd
Chelsea
Liverpool
Arsenal.

Hao wa 6 hata wamsajili rais wa FIFA usitegemee watapata mabadiliko yoyote. Halafu wewe hujasajili unajiweka nafasi ya juu ya Man Utd. Acha unazi bwa mdogo.

Ukimaliza juu ya Liverpool naideactivate account yangu ya JF
 
Mkuu angalia midfielder wetu wanavyocheza inaogopesha game kama hizi kama huna playmaker kwenye kiungo mtabakia kulaumiana tu Henderson sijui Wijnaldum
ukweli ni kwamba kipindi cha kwanza Manciti were the better team...

sio Gini, Hendo wala Fabi waliocheza hata hivyo wanaonekana hovyo zaidi maana RB na LB leo wamekua pegged back zile mishe zao za last season hazipo leo...

kama Pep katujulia na wengine ujue na wengine ndio hivyo hivyoo

bila creative midfied we are doomd...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom