A Kopite
Member
- Mar 3, 2018
- 72
- 94
Hahaha,nimekuelewa mkuu,ila usitarajie Klopp kufanya usajili mkubwa,ameshaweka wazi kumpandisha Brewster.Na pia tarajia kuwaona kama ingizo jipya katika kikosi cha kwanza; Ki Jana, Adam Lewis, Curtis Jones na Nat Philips.Mkuu nakukumbusha tu hao tunaocheza nao ni Tranmere Rovers na hiyo mechi ni Friend game .
