Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
anza kumuuza Giroud ndio tujadili...Unampa Origi mkataba halafu apo apo unategemea kubeba EPL..
anza kumuuza Giroud ndio tujadili...Unampa Origi mkataba halafu apo apo unategemea kubeba EPL..
Huu mdomo tar 14 utaisha tuUnampa Origi mkataba halafu apo apo unategemea kubeba EPL..
Huyo ni kama kenge haelewagi hadi damu zitokeHuu mdomo tar 14 utaisha tu
Unampa Origi mkataba halafu apo apo unategemea kubeba EPL..
Unampa Origi mkataba halafu apo apo unategemea kubeba EPL..
Hope haitotokea kwa Lallana, Clyne na Lovren
Nina imani watakuwa wamempa Origi £100,000 per week wage


Nadhani plan iliyopo ni kuwatumia kwenye kombe la EFL ili wapate changamoto za wachezaji wakubwaNinamuona hapo Brewster, Den Berg na Wilson
Ni future generation Nzuri tu but we need two things at the sametime! 'Future and present' Den Berg, Ki-Jana, Brewster na Wilson hawa ni Future, but present time we need watu wa kazi age 20+ wa kuwatumia kupambana kwa ajili ya EPL.
Wale Mishahara mikubwa halafu hamna kituKwa Manure anakula £200K huyo kama Rashford anavyokula Mpunga mrefu kuliko Mo Salah na Bernardo Silva![]()
![]()
Wale Mishahara mikubwa halafu hamna kitu
King Ngwaba wamempa ngapi Origi?
Nadhani plan iliyopo ni kuwatumia kwenye kombe la EFL ili wapate changamoto za wachezaji wakubwa
Nina imani watakuwa wamempa Origi £100,000 per week wage