Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Taarifa ni kwamba Ox,Gomez, Lallana watakua kama usajili mpya kwa vile wanaanza pre season wakiwa wazima hivyo sasa Klopp kusajili tutegemee 50/50...


Itatucost I think tunatakiwa kusajili ili kujiweka katika ushindani

Man City benchi lao kwa Forwards wapo Jesus, Sane na Mahrez

Middle hasa DM wana watu kama matatu au wanne kabisa(Fernandinho, Rodri, Zinchenko na Fabian Delph) non-DM wapo wanne (DeBruyne, David Silva, Gundogan,Foden) Beki pia wako wa kutosha tu

Sasa huku akiumia Fabinho DM majanga, akiumia VVD CB majanga
 
No Salah ameshindwa kuisaidia timu yake ya taifa kusonga mbele kwenye michuano ya AfCON alafu anataka kubeba Balloon Di O'r..
 
Allison leo amedhibitisha bila VVD pale nyuma atakuwa na khali mbaya sana. Ni Average kipa!
 
IMG_5854.JPG
 
Yani kwa ufupi ubora wa mabeki ndo unambeba Allison. Ubora wa Kipa ni pale time inapokuwa na ubovu wa mabeki, refer Kepa..
Alisson anaongoza kwa clean sheets
Anaongoza kwa save ratio
Anaongoza kwa saves za uefa kwa mfano fainali alisave 8 mara ya mwisho kipa kufanya hivo uefa ilikua ni zaidi ya miaka 10 iliyopita

Mabeki wake ni wazuri lakini haimaanishi yye ni mbovu

Yye pia ni mzuri kama walivyo hao mabeki,hata hai mabeki pia wanajivunia kua na alisson golini kama yye anavyojivunia kua na mabeki wazuri mbele yake
 
Itatucost I think tunatakiwa kusajili ili kujiweka katika ushindani

Man City benchi lao kwa Forwards wapo Jesus, Sane na Mahrez

Middle hasa DM wana watu kama matatu au wanne kabisa(Fernandinho, Rodri, Zinchenko na Fabian Delph) non-DM wapo wanne (DeBruyne, David Silva, Gundogan,Foden) Beki pia wako wa kutosha tu

Sasa huku akiumia Fabinho DM majanga, akiumia VVD CB majanga

kabisa itatucost sana tu...kwa sasa ni kusubiri tu...kama Klopp hatasajili kutegemea long term absentee Ox, Gomez, Lallana ndio watakua fit msimu ujao basi hapo tutegemee maumivu kwani hao pamoja ni ngumu kucheza gemu 10 bila kua pancha...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom