Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

It makes no difference to sign a player today or next week/weeks or next month...What matters is just signing..reading some posts here its like the window is already closed...I wait untill the last day to assess our new squad...for now,chilling is my option
jamaa humu washasahau allison alisainiwa kipindi gani?Ilikuwa baada ya pre season mechi mbili tatu hivi...sababu nataka kuwa access waliopo kwanza kabla ya kuamua kuwauza au mikopo tena?ypu give them second chances...sisi siyo city au chelsea wanasajili surplus to requirement afu hawatumiki msimu mzima.
 
IMG_5867.JPG
 
Waingereza mashabiki wa Liverpool sio wa kuwatumainia

Hii page ambayo wamejidai ni mashabiki/wapenzi wa Henderson ina followers elfu sitini , wanawapost wachezaji wa LFC ambao ni Waingereza tu(Lallana,Ox,Trent etc)

Screenshot_20190709-231612.jpeg
 
It makes no difference to sign a player today or next week/weeks or next month...What matters is just signing..reading some posts here its like the window is already closed...I wait untill the last day to assess our new squad...for now,chilling is my option

If you can escape rush hours it is way better to do that.

Usually players' prices sky rockets, and it is usually so tough to get the no one choices.

And is usually cool new joiner to get used to his teammates off and on field before it gets busy
 
jamaa humu washasahau allison alisainiwa kipindi gani?Ilikuwa baada ya pre season mechi mbili tatu hivi...sababu nataka kuwa access waliopo kwanza kabla ya kuamua kuwauza au mikopo tena?ypu give them second chances...sisi siyo city au chelsea wanasajili surplus to requirement afu hawatumiki msimu mzima.

If we had decided to buy him earlier, his price would have been below what we paid.

There is always relief in making deals very earlier.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom