Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Nadhani utakuwa hujawahi kuwasikiliza Wachambuzi wa Bongo.
Baada ya kufungwa 3 na Barcelona Mourinho alisema kuwa Liverpool anaweza kupiga Comeback na kusonga mbele.
Lakini wachambuzi wa Bongo walisema hilo haliwezekani.
Halafu wachambuzi wenyewe ni kina Shaffih Dauda ambao wanachambua mapenzi ya timu zao badala ya mpira wakati mchambuzi anatakiwa awe Neutral.
Kuwa neutral ni kazi hasa unapozungumzia timu usiyoipenda

TRANSFERS - Liverpool
01-07-2019
?