Nilitabiri hi kitu. Kombe letu. Let's have fun.I wish to be with you somewhere with some of LFC supporters on 1st June cellebrating our 6th time CL championship.
Nyie mnaosema haukuwa mpira mzuri mlitaka iweje! Let's me tell you football is about techniques hijalish umeshindaje mwisho wa siku yanahitajka matokeo
Niwakumbushe kitu enz Za JOSE mourinho Chelsea na inter Milan alikuwa anapaki basi mwanzo mwisho navicounter attack na alikuwa anapata matokeo kumbuka fainali aliyocheza na Barcelona akiwa inter Milan Hizo znaitwa mbinu
Kama tungepoteza Jana nadhan Huyu duduwasha anayejiita PainKiller angeweka kambi hapa usiku kucha nachoweza kusema magoli yote yalikuwa halali
Mwisho kumbuka usiyekubali kishindwa s mshindani hofu yangu ilikuwa kwa mashabik wetu ambao wameanza kushangilia mpira miaka ya 2006+ maana hawajawah ona timu yao ikichukua kombe kubwa hatimae Leo wamepata mwanga Mpya pia pongezi kwa mashabik wa Tottenham wanatimu nzuri wakipambana ipo siku watalichukua hili kombe
#HatutakiMazoeanawatotoWadogo
Finali yetu ya kutandaza soka safi ilikuwa na Barcelona
Mim nasema timu zote mbili jana zimecheza pumba tu,Nyie mnaosema haukuwa mpira mzuri mlitaka iweje! Let's me tell you football is about techniques hijalish umeshindaje mwisho wa siku yanahitajka matokeo
Niwakumbushe kitu enz Za JOSE mourinho Chelsea na inter Milan alikuwa anapaki basi mwanzo mwisho navicounter attack na alikuwa anapata matokeo kumbuka fainali aliyocheza na Barcelona akiwa inter Milan Hizo znaitwa mbinu
Kama tungepoteza Jana nadhan Huyu duduwasha anayejiita PainKiller angeweka kambi hapa usiku kucha nachoweza kusema magoli yote yalikuwa halali
Mwisho kumbuka usiyekubali kishindwa s mshindani hofu yangu ilikuwa kwa mashabik wetu ambao wameanza kushangilia mpira miaka ya 2006+ maana hawajawah ona timu yao ikichukua kombe kubwa hatimae Leo wamepata mwanga Mpya pia pongezi kwa mashabik wa Tottenham wanatimu nzuri wakipambana ipo siku watalichukua hili kombe
#HatutakiMazoeanawatotoWadogo
Numbisa ni KE??
Wewe utakuja kua kichaa kwa wivu wako,wenzako wanacheka saiv,ww unaangaika mbaya mbaya,watu wameshaweka gap tayari hapo,ni tafrija tu saizMim nasema timu zote mbili jana zimecheza pumba tu,
Final mbaya ambayo haijawahi tokea toka dunia iundwe
Natumaini watu wazima kama mimi wemeshaliona hili,
Hawawezi ruhusu tena kuinguza final timu kama hizi ni aibu
Mwakani Liverpool wanaenda chukua kikombe cha uefa cha 7 tena!..hamia Liverpool tu hakuna namna sasa!...Mim nasema timu zote mbili jana zimecheza pumba tu,
Final mbaya ambayo haijawahi tokea toka dunia iundwe
Natumaini watu wazima kama mimi wemeshaliona hili,
Hawawezi ruhusu tena kuinguza final timu kama hizi ni aibu
Numbisa ni KE??
Hata channel ten wanarusha live kupitia,skynewsWale wanaofatiatilia official Liverpool YouTube channel wapo live kikombe kinapita mitaan ili watu wakione
Pole sana maumivu yakizidi nenda umwone daktari. Mpira safi tulishaonesha mbele ya Barca,Bayern na PSG jana ilikua kuchukia kombe tu. Urembo na mpira mpeleke neymarMim nasema timu zote mbili jana zimecheza pumba tu,
Final mbaya ambayo haijawahi tokea toka dunia iundwe
Natumaini watu wazima kama mimi wemeshaliona hili,
Hawawezi ruhusu tena kuinguza final timu kama hizi ni aibu