Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Thibitsha mkuu mana mimi naona kila mtu awe wa Arsenal, Man U, Chelsea, Man city, Liverpool, newcastle, wolves, everton n.k wana comment humu na mitazamo yao inaonekana hlf na wengine pia wanaleta na wao mitazamo yao then hoja inapatikana.
Tetea ulichoandika!
Mkuu ngoja nikwambie kitu mjenga hoja yyt huwa hafanyi mashambulizi binafsi kwa mwingine,Kama unafatilia vizur yanayojadiliwaga humu ukiacha ukosoaji wa kawaida wa kimchezo,watu wanapenda Sana kupelekeana mashambulizi binafsi iwe kumuona mwingine hajui chochote au kutaka tu unachokiamin ewew ndio kiwe hicho hicho kwa kila mtu...

ANWAYS NILICHOTAKA KUMAANISHA NI KUWA KWENYE MPIRA KILA MTU ANA JICHO LAKE NA ANAWEZA KUSEMA ANACHOKIONA YEYE NDIO SAHIHI, LKN AKAWA HAYUPO SAHIHI KTK JICHO LA MTU MWINGINE,MARA NYINGI WATU WANAKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA NA MAISHA YANAENDA ILA KAMA UTAONA EWEW TU NDIO MCHAMBUZI UNASEMA UKWELI KUTOKANA NA HOJA ZAKO ILA HOJA ZA MWINGINE SIO SAHIHI NA UKALAZIMISHA TUFATE UNACHOONA EWEW TU,SIDHANI KAMA UNAKUWA UPO SAWASAWA.
 
Mkuu ngoja nikwambie kitu mjenga hoja yyt huwa hafanyi mashambulizi binafsi kwa mwingine,Kama unafatilia vizur yanayojadiliwaga humu ukiacha ukosoaji wa kawaida wa kimchezo,watu wanapenda Sana kupelekeana mashambulizi binafsi iwe kumuona mwingine hajui chochote au kutaka tu unachokiamin ewew ndio kiwe hicho hicho kwa kila mtu...

ANWAYS NILICHOTAKA KUMAANISHA NI KUWA KWENYE MPIRA KILA MTU ANA JICHO LAKE NA ANAWEZA KUSEMA ANACHOKIONA YEYE NDIO SAHIHI, LKN AKAWA HAYUPO SAHIHI KTK JICHO LA MTU MWINGINE,MARA NYINGI WATU WANAKUBALIANA KUTOKUKUBALIANA NA MAISHA YANAENDA ILA KAMA UTAONA EWEW TU NDIO MCHAMBUZI UNASEMA UKWELI KUTOKANA NA HOJA ZAKO ILA HOJA ZA MWINGINE SIO SAHIHI NA UKALAZIMISHA TUFATE UNACHOONA EWEW TU,SIDHANI KAMA UNAKUWA UPO SAWASAWA.

Mkuu Kusema PEP ni best Coach ndiyo imeshakiwa ugomvi?

Mtu Ndani ya misimu hii miwili ameshabeba Makombe Matano bado hamutaki kuukubali ukweli?

Ivi kuna ubora gani kuliko kuchukua EPL kwa Zaidi ya points 90 Mara mbili mfululizo?

Au ndiyo munaendelea kutuaminisha kuwa PEP anabahatisha?

Ivi kuna ubora wakocha mwengine usiokuwa Kushinda Makombe?

Hapa hakuna Anayekatazwa kupost, Lakini haimaanishi kuwa Pakipostiwa tusihoji!!!

Kama hatupaswi kuhoji kinachopostiwa basi haina haja ya kuwa ndani ya Social Network.

Muhimu tunachotaka Ni kiwa Jengea Hoja kwa ulichokipost.

Na sio Kweli Kuwa Mtu akipost anashambuliwa humu! Bali Mashambulizi yanakuja kwa Washabiki wa Timu nyengine wanaopost Pumba zao.

Lakini kwasisi tukea tuanze Mjadala wa PEP hakuna aliyeshambuliwa hapa Bali ukipitia Post zote utaona zinajibiwa Hoja kwa Hoja.

Lakini hayo unayo yapropagate hayana uhalisia wowote.

Cha ajabu aliyeaanza kujiita HALISI na kutuita sisi FAKE kwasababu tu tumepishana mawazo sikuwahi kukuona ukimshauri chochote hapa! Au msamiati FAKE hauna tatizo kwako?

Mkuu tuache doublestandard
 
Mkuu Kusema PEP ni best Coach ndiyo imeshakiwa ugomvi?

Mtu Ndani ya misimu hii miwili ameshabeba Makombe Matano bado hamutaki kuukubali ukweli?

Ivi kuna ubora gani kuliko kuchukua EPL kwa Zaidi ya points 90 Mara mbili mfululizo?

Au ndiyo munaendelea kutuaminisha kuwa PEP anabahatisha?

Ivi kuna ubora wakocha mwengine usiokuwa Kushinda Makombe?

Hapa hakuna Anayekatazwa kupost, Lakini haimaanishi kuwa Pakipostiwa tusihoji!!!

Kama hatupaswi kuhoji kinachopostiwa basi haina haja ya kuwa ndani ya Social Network.

Muhimu tunachotaka Ni kiwa Jengea Hoja kwa ulichokipost.

Na sio Kweli Kuwa Mtu akipost anashambuliwa humu! Bali Mashambulizi yanakuja kwa Washabiki wa Timu nyengine wanaopost Pumba zao.

Lakini kwasisi tukea tuanze Mjadala wa PEP hakuna aliyeshambuliwa hapa Bali ukipitia Post zote utaona zinajibiwa Hoja kwa Hoja.

Lakini hayo unayo yapropagate hayana uhalisia wowote.

Cha ajabu aliyeaanza kujiita HALISI na kutuita sisi FAKE kwasababu tu tumepishana mawazo sikuwahi kukuona ukimshauri chochote hapa! Au msamiati FAKE hauna tatizo kwako?

Mkuu tuache doublestandard
Wala huo mjadala wa pep kwangu mm sio tatizo sababu nilishawahi mjibu member mmoja kuwa kwangu mm pep na klopp ndio makocha Bora ktk Dunia ya Sasa lkn namkubali zaidi klopp sababu ya falsafa yake kisoka inavyoweza kuibadili timu pamoja na mchezaji mmoja mmoja...

Double standard (ndimi mbili) sio kweli na Kama unaweza kuvuta kumbukumbu most of the time nilikuwa najaribu ku side na ewew niliyeona unaweza kutetea hoja kuliko malafyale ambaye kimsingi Sina shaka na hoja zake ila Ni vile anavyokera wengine kwa kuona hawataki mazuri ya timu wanapoongea ukweli...na kufikia hatua na kuitana majina ya ajabu NDIO MOJA WAPO YA HAYO MASHAMBULIZI BINAFSI.
 
Habari za ndani ndani ni kuwa hakutakuwa na usajili mkubwa zaidi ya mbadala wa FIRMINHO NA MSAIDIZI WA ROBERTSON
du hilo ni janga aisee....Chamberlin, Keita n Hendo wote pancha ilihitajika usajili mmoja hapo au tumrudishe Grujic japo ningependa abaki msimu mmoja alipo azidi kukomaa kua tayari kwa EPL...

Gomez, Matip, Lovren nao pancha kiana hivyo nyuma nako tungesajili angalau mmoja ambae ni flexible kama Gomez au Fabi yaani anacheza LB,RB nk bila shinda...

so endapo Milner, Lallan, Daniel, Moreno wakiodoka tutakua na pengo aisee..na pia front three kama Klopp anahitaji tupambane makombe yote msimu ujao anahitaji kikosi kipana aisee na sio hiki kilochopo...
 
What can we expect from Jurgen Klopp this summer?

Timo Werner

Marco Asensio

Julian Brandt

Gedson Fernandes

Maxi Gomez

De Ligit
De ligt

Timo werner

Nicolas pepe

Neres

Depay

Kwenye back up za fullback watakuja vijana hata hatuwafahamu hayo majina hapo juu kati yao (sio wote) utayaona anfield next season

Brandit tumesha achana nae tangu summer msimu uliopita
 
liva msimu ujao waanglie namna nzur y ku deal n pengo la firmino endapo akiumia ama suspension..
Nicolas pepe na Timo werner kati yao hawa wawili mmoja atakuja kumsaidia bobby
 
hao wot ni wide players uliowatja apo while boby anachza zaid ktkat..
I trust in klopp akisimamisha mtu pale mbele hawezi kosea by the way kuna Depay pia kwenye list both can play as ST
 
Tusajili Backup ya Robbo
Tusajili Namba 8, na Namba 10 au 9

Hapo kwa upande wangu nitakuwa nimesharidhika na nitakuwa najiamini Kwa lolote lile.

NASISITIZA: Namba 8, 10 au 9 hawa wawe ni Wa Kuanza na si Backup.

Tusiposajili 8, 10/9 kama talented Regular starters basi tujiandae tena Kuwa best runner kwenye EPL.

Origi, Xhaqiri, na Brewster wanatosha Kuwa Backup players kwenye ushambuliaji SALAH -(New No 9)/Bobby -Mane

Grujic, Gini and Hendo wataongeza Depth kwenye Midfield ya FABI - (New No 8)-(New No 10)/Bobby.

OX na Keita ni Spana Mkononi I'm not consider them as regular starters
 
Kama tunachukua ucl everything will change

Hapo Mimi nimethibitisha Kuwa Klopp kasema kweli!

Lakini hakuna anayejuwa juu ya nia Yake ya Kusema hivyo..

Inawezekana anaficha Targets zake tu halafu akatufanyia Surprise kama alivyofanya kwa Fabinho.

All in all! Ni Matajiri (FSG) ndiyo wanaotoa Hela na Kutufanya Kuwa tusajili au tusisajili na sio Klopp baye kazi Yake ni Ku-identify targets zake tu.
 
Tusajili Backup ya Robbo
Tusajili Namba 8, na Namba 10 au 9

Hapo kwa upande wangu nitakuwa nimesharidhika na nitakuwa najiamini Kwa lolote line.

NASISITIZA: Namba 8, 10 au 9 hawa wawe ni Wa Kuanza na si Backup.

Tusiposajili 8, 10/9 kama talented Regular starters basi tujiandae tena Kuwa best runner kwenye EPL.

Origi, Xhaqiri, na Brewster wanatosha Kuwa Backup players kwenye ushambuliaji SALAH -(New No 9)/Bobby -Mane

Grujic, Gini and Hendo wataongeza Depth kwenye Midfield ya FABI - (New No 8)-(New No 10)/Bobby.

OX na Keita ni Spana Mkononi I'm not consider them as regular starters
Klop na Mgt ya Liverpool pitia hapa JF!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom