Dah! Kwahiyo mshampa mamlaka yote pep
Ndio maana kuna halisi na sisi chipolopolo

Uwepo wa Pep unasababisha timu ziwe na ushindani wa hali ya juu, na lazima level ya perfectionism iwe kubwa. Pata nafasi 3 funga goli moja au mawili.

Kama Pep anaendelea kuwepo hakuna namna, ni lazima tuwe na kikosi hicho, tuwe na benchi la ukweli pia, kitu kinachohitaji investment sahihi.

Otherwise, tutakuwa tunamsindikiza.
 
IMG_5279.JPG
 
Embu suggest wewe ni njia ipi alafu tu discuss
Kabla sijakujibu swali lako (kusuggest hizo njia nyingine za kuingiza mapato tofauti na kuitumia fan base)
Wewe unaamini Man City inaendeshwa kwa hasara..?

Jibu la swali hili litatoa muongozo kama nikujibu swali lako la kwanza au nikupuuzie..!
 
Yah kua proffessional player inahitaji maandalizi ya mapema sana kuanzia damu ikiwa changa, kitu ambach wenzetu wanakiona miaka ya awali sana ya mtoto so anaanza kupikwa....wenzetu wale sera ya michezo ni major priority kweny platform ya national development, sis huku tukiwa na ndege 6 tayar tumeendelea (siyo kwamba ndege zicwepo)

Players wa tz wengi wana limited vision au ni visionless kabsa kuhus career aliyonayo na ndy mana wao kujitafsir ni kua ni bora kati ya wengi, basi awe anacheza yanga, simba na aki-loose sana basi azam na baada ya hapo aachane na soka akalime...unlimited vision kwa player yyt ndy itakayomfanya afikie malengo makubwa...

Tz kuendelea kisoka na ije itoe wachezaji makin kama Mane au Sala au Auba, itachukua miaka sana.

Nb: Ishu ya channel ni muhimu pia mana wapo wachezaji ambao regardless of how potential they are; wakikosa channel, hawawez toka
definetly bila kua na wakala makini hizi big league utazisikia hukoo hivyo channel ni muhimu sana...

hawa waswahili sijui ni waoga wa kwenda mbele au wanaridhika kitu gani...

bila kua na academy za soka au academy za club zetu ziboleshwe na zitazamwe kwa jicho la ziada kuwekeza vijana tangu wakiwa 9yrs plus itakua ngumu sana kuwapata real professional ambao watacheza ligi za kueleweka...

wengi hapa ukiwaangalia ni kama wapita njia hawapo serious kabisa...nakumbuka Maximo alivyo ajiliwa Manager TS alipata sana shinda nao..wengine hata kufika muda mwafaka mazoezini ilkua ishu na akasema mpira bila nidhamu hauedi kamwe...

matatizo ya soka letu ni kutaka kujenga huku juu kwa seniors bila kujipanga huku chini ndio maana miaka yote tupo pale pale tumeganda...

Ukisoma historia ya Yaya Toure ndio utajua sio kazi rahisi kuingia hizi big teams na kupewa sio mkataba hata wiki ya majaribio, Toure alihangaika sana na agent wake Dmitry Selyuk alimwambia one day utatoka keep working hard na kama shukrani za ushauri sahihi akampa mtoto wake wa kwanza jina la agent wake Dmitry maana anasema dhahiri bila huyo agent angelishaacha soka na pengine Barca au Manciti asingefika...hivyo kua na kipaji pekee hakutoshi bila kua kwenye mikono salama...
 
PEP promised £200m oil money this transfer window
Ingawa Kikosi chake kikovyema kuliko kikosi chochote kile cha EPL lakini still anaingia sokoni kama anaanza sasa.
Na sajili zake nyingi huwa hakosei...
Sioni tukitoboa katika kipindi chote PEP atakachokuwa England.
Guys want to UCL trophy ndio maana hataki utani..he has identified almost all his target sasa ni negotiation zinaedelea kwa baadhi huku wengine akisubiri ligi ziishe...

Pep il b burning hoooot new season...tujipange haya maneno ya Klopp kwamba haoni haja ya kutumia pesa nyingi dirisha hili yawe ni ya kuzuga huku usajili negotiation kimya kimya...
 
Baada ya kuona press ya Pep akisema "We will come more strong than this next season".

Nilipost hii kitu hapa:-

View attachment 1102001

Pep Guardiola huwa yuko very straight, hazungushi maneno.

Anachokisema ana maanisha, itokee kishindwe lakini ni moja ya watu nakubali press zao.
Pep bana is s football wizard maana he always set his bar very high n th players who fail to impress wanasugua benchi case study Sane, Mahrez n.k..

huyu jamaa hua hakumbali kushindwa kirahisi na ndio maana mpaka sasa kutolewa na Spurs kulimvuruga vimbaya ilihitajika jitahada za Arteta kumtuliza maana alikua hawaelewi wachezaji wake..ishu kuu pia ana temper za hatari esp anavyouona ushindi aafu anaambulia kipigo..kwa kocha kama huyo usitegemee kuona akiwa nafasi zaidi ya 1 au 2...he is very demanding..

msimu ujao utakua msimu wenye ushindani kuliko huu cz Spurs will buy, Ganaz, Manu, Reds, Blus lol mpaka rufaa yao isikilizwe hivyo ligi ijayo itakua bora zaidi...
 
Uwepo wa PEP England ni kukatisha tamaa Timu nyengine! Kweli Sheikh Mansoor ana oil money, Lakini kuwa na Hela sio Hoja! Bali hoja ni PEP mwenyewe! Kwani Mansoor imeanza Kumwaga Pesa Zamani lakini Makocha Wa Kipindi Hicho hawakuwa wazuri kwenye Transfers na Kuboresha Wachezaji! Kwani Hata Sterling kabla ya PEP alikwisha kuwa Garasa. Lakini PEP kambadilisha na Kumboresha.

So, PEP ni kisiki chetu KWA sasa... Kwani Jamaa ana Mentality Moja tu ya Kushinda kila Mchezo wakati sisi Mentality yetu ni Kuwa Mpira una Matokeo matatu! Kushinda, Kudraw na Kupoteza, That is tunahisi si lazima kushinda kila mchezo kwa kikiwekea False Hope ya Kuwa Aliyejuu yetu nayeye atapoteza points. Ridiculous
 
Uwepo wa PEP England ni kukatisha tamaa Timu nyengine! Kweli Sheikh Mansoor ana oil money, Lakini kuwa na Hela sio Hoja! Bali hoja ni PEP mwenyewe! Kwani Mansoor imeanza Kumwaga Pesa Zamani lakini Makocha Wa Kipindi Hicho hawakuwa wazuri kwenye Transfers na Kuboresha Wachezaji! Kwani Hata Sterling kabla ya PEP alikwisha kuwa Garasa. Lakini PEP kambadilisha na Kumboresha.

So, PEP ni kisiki chetu KWA sasa... Kwani Jamaa ana Mentality Moja tu ya Kushinda kila Mchezo wakati sisi Mentality yetu ni Kuwa Mpira una Matokeo matatu! Kushinda, Kudraw na Kupoteza, That is tunahisi si lazima kushinda kila mchezo kwa kikiwekea False Hope ya Kuwa Aliyejuu yetu nayeye atapoteza points. Ridiculous
Yani ww ni shabiki wa Liverpool hapo hapo ni shabiki wa pep
 
Back
Top Bottom