Guys thought tutampata Llyod Kelly naona Bounmoth wametuwai mapema washamsajili...
Klopp akiwa mapumzikoni ya siku kadhaa kabla ya fainali UCLView attachment 1101464
hizi clubs owned by this Arabs ni kama toy zao kabisaaaa si mchezo kwa kweli...Jamaa wana pesa sio mchezo alafu kuuza hawauzi wala club haina fan base kuubwa ya kurudisha pesa lakini hawajali
Dah!! Maisha ni matamu kwa baadhi ya watu huku duniani. Mtu upo final, pesa inaingia ya kutosha kila wiki, una great influence kwa watu, dah bas tuu!!Klopp akiwa mapumzikoni ya siku kadhaa kabla ya fainali UCLView attachment 1101464
hapa sielewi kwa nini tumezembea...huyu ndogo anacheza center half na LB vzuri kabisa angekuja kumpa tafu Robo...kwa 13m ni bei powa sana..Jamaa wamelipa £13m
kwa kweli club ina afya na wanajenga modern training complex si mchezo hawa jamaa...Wametutoa pabaya sana now tupo stable kabisa na pesa tunayo
mpira pesa mkuu...hawa jamaa wanapigika sana kipindi ligi inaedelea hivyo ikiisha wanahitaji kuli chaji kujiweka sawa msimu mpyaaaa.....Dah!! Maisha ni matamu kwa baadhi ya watu huku duniani. Mtu upo final, pesa inaingia ya kutosha kila wiki, una great influence kwa watu, dah bas tuu!!
Kumbe huyu mzee wa kupanchi upepo hadi ndani anavaa kofiaKlopp akiwa mapumzikoni ya siku kadhaa kabla ya fainali UCLView attachment 1101464
Kwa kweli...kitu kinacholipa sana ni mpirampira pesa mkuu...hawa jamaa wanapigika sana kipindi ligi inaedelea hivyo ikiisha wanahitaji kuli chaji kujiweka sawa msimu mpyaaaa.....
Mnaenda kubeba wapi mkuu,Makombe yetu tunayoenda kubeba.
UEFA
SUPER CUP
COMMUNITY SHIELD
CLUB WORLD CUP
noma sanaaa aisee hii mishahara pia ni shindaa wakati mwingine zali pia imagine Bale Real anapewa almost 600,00usd kwa wiki lol na almost muda mwingi yupo majeruhi au Sanchez hapo kwenu kumlipa £500,00 kwa wiki ni sawa?Kwa kweli...kitu kinacholipa sana ni mpira
Na bado hawaridhiki..hela wanayopewa hawa jamaaa inaendesha na kumaliza kero kama cyo kuzipunguza za tz nzima hlf ni kwa wiki.noma sanaaa aisee hii mishahara pia ni shindaa wakati mwingine zali pia imagine Bale Real anapewa almost 600,00usd kwa wiki lol na almost muda mwingi yupo majeruhi au Sanchez hapo kwenu kumlipa £500,00 kwa wiki ni sawa?
mpira umegeuka bigtime business..
mkuu sio channel mbali pia kujituma kisawasawa..kua professional football ni gharama sana esp kwenye misosi lazima kua na diet inayoeleweka na kuifuatilia ipasavyo na gym kama kawaida...Na bado hawaridhiki..hela wanayopewa hawa jamaaa inaendesha na kumaliza kero kama cyo kuzipunguza za tz nzima hlf ni kwa wiki.
Ni basi tu huku kwetu vipaji vinakufa tu, channel hakuna, full kero
miaka ya hivi karibuni uwezekezaji kwenye mpira umeongezeka maradufu hivyo klabu nyingi zina nguvu ya kulipa hii mishahara na bado cheji ikabaki...Na bado hawaridhiki..hela wanayopewa hawa jamaaa inaendesha na kumaliza kero kama cyo kuzipunguza za tz nzima hlf ni kwa wiki.
Ni basi tu huku kwetu vipaji vinakufa tu, channel hakuna, full kero
Yah kua proffessional player inahitaji maandalizi ya mapema sana kuanzia damu ikiwa changa, kitu ambach wenzetu wanakiona miaka ya awali sana ya mtoto so anaanza kupikwa....wenzetu wale sera ya michezo ni major priority kweny platform ya national development, sis huku tukiwa na ndege 6 tayar tumeendelea (siyo kwamba ndege zicwepo)mkuu sio channel mbali pia kujituma kisawasawa..kua professional football ni gharama sana....
hapa unakuta mchezaji anaishi kwa chips kuku wa kisasa ndio mlo wake mkuu asa unategemea akipewa majaribio atatoboa? aafu ana mademu hata idadi haijui ni kwamba akifika kuichezea Yanga au Simba basi anaona amefika kilele cha mafanikio...
Pole Mkuu...du Mansour billions damn spending like cash s going out of fashion..
Hawana namna nyingine ya kurudisha pesa wanazotumia zaidi ya kutumia fan base..?Jamaa wana pesa sio mchezo alafu kuuza hawauzi wala club haina fan base kuubwa ya kurudisha pesa lakini hawajali
Ahahaaaah...Mnaenda kubeba wapi mkuu,
Naona mnaanza kugombania visahani baada ya kukosa vikombe
huu msimu mbaya kweli kwa liverpool