Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hahahahahahahahah tutawaumiza vibaya sana kwa ile Defence yao inavyokatika vile
 
You better do that
 
Mauricio Pochettino ni kocha, we fikiria PEP au Klopp angekuwa na timu kama hii ya spurs angeyapata haya matokeo?
Anachotakiwa tu sasa ni kuhamia kwenye timu yenye bajeti ya kutosha ili aonyeshe uwezo wake
Unaikumbuka timu ya Dortmund aliyokuwa nayo klopp iliyomtoa Barcelona ikaenda fainali vs Bayern!!?au umeanza kumjua klopp akiwa Liverpool!?
 
Kuna uwezekano mkubwa Europa na uefa zote zikaenda London!!

Maan vitu vya kuanzia jana mpka leo havikutarajiwa na wengi ...
Chelsea na Arsenal hawaaminiki,ila ilitakiwa iwe All English Clubs - UEFA CHAMPIONS LEAGUE Final na All English Clubs - UEFA EUROPA LEAGUE Final.
God bless the Queen.
 
wote waliokuwa wanamchukulia poa Klopp sasa wameanza kurudisha fahamu zao, miongoni mwao akiwemo Mourinho.

check anachosema hapa baada ya LFC kuwaangushia kichapo Barca...

 
Mtani mbona kujihami haraka hivyo!! Nipo pembeni yako na leso hahahaha!!!
 
Unaikumbuka timu ya Dortmund aliyokuwa nayo klopp iliyomtoa Barcelona ikaenda fainali vs Bayern!!?au umeanza kumjua klopp akiwa Liverpool!?
Klopp aliwatoa madrid mkuu sio barca..
Barca alitolewa na bayern goli 7 !.
Madrid akafa 4
 
Klopp aliwatoa madrid mkuu sio barca..
Barca alitolewa na bayern goli 7 !.
Madrid akafa 4
Shukrani kwa kunikumbusha mkuu, nilikuwa najaribu kumkumbusha huyo boss kuwa klopp ashawahi kuwa na kikosi Cha kawaida na akawapiga 4-1 timu iliyosheeni wakubwa..so pochettino kajitahid lkn sio level ya klopp.
 
Unaikumbuka timu ya Dortmund aliyokuwa nayo klopp iliyomtoa Barcelona ikaenda fainali vs Bayern!!?au umeanza kumjua klopp akiwa Liverpool!?
Aisee mimi sijaongelea habari za Klopp hapa ila wewe umechomekezea vibaya au umechanganya mada nini?
 
Aisee mimi sijaongelea habari za Klopp hapa ila wewe umechomekezea vibaya au umechanganya mada nini?
Unakataa ulichoandika mwenyewe!!?umeuliza Kama pep au klopp wangepata matokeo Kama aliyopata poch na kikosi Chake...NIMEKUKUMBUSHA KAMA UNAKUMBUKA KIKOSI CHA KLOPP KILICHOCHEZA NA BAYERN FAINALI KILIKUWAJE!!?
 
Shukrani kwa kunikumbusha mkuu, nilikuwa najaribu kumkumbusha huyo boss kuwa klopp ashawahi kuwa na kikosi Cha kawaida na akawapiga 4-1 timu iliyosheeni wakubwa..so pochettino kajitahid lkn sio level ya klopp.
pamoja sana mkuu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…