[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleni sana japo mlijiaminisha ujinga. Gemu vs Huddersfield mkajipa matumaini hewa ya kuifunga Barcelona.
Msipo kuwa makini kwenu mnakufa tena.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Baada ya kuona ile first game muda mwingi wali park bus niliamini Anfield tutawatoa ila niliamini tutawapiga 3-0, kisha tutaenda extra time na kufunga la nne wakati wa extra time. Kila niliyemwambia hizi habari liniona mi KichaaHamna Mtu yoyote duniani aliyeamini kuwa tunaweza kumtoa barca baada ya zile goli 3 sio kocha,shabiki wala mchezaji Wa Liverpool aliye kuwa uwanjani
Mungu kawapiga hao,eti wanamuita messi mungu,katoka sayari nyingine,,wakati mtu katoka kijiji masikini huko,,Argentina.laana hizo.leo wameoneshwa kuna Mungu aliye juu,Muumba wa mbingu na na nchiJamani anayekataa kuwa Mungu hayupo si akili zake bali ni laana ndizo zinamsumbua.
Big up sana Liverpool kwa kudhihirisha duniani Mungu ni wa wote.
Mkuu shangiria barca katolewa sio Liverpool kushinda
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nimewahi kuja kumpa uji mgonjwa maana Mtoa roho kamtembelea kamwambia J4 anakuja kutoa roho rasmi yaani kiufupi mpaka sasa hali ya mgonjwa mbaya nimeamua kumfariji
Pale Anfield siyo ajabu watapigwa 3 kavu tena....na epl wikiend hiii wanaeza fumuliwa
Klopp ni definition ya soccer.... NimemalizaNdugu zangu Liverpool HALISI Mungu yupo upande wetu!
Tuzidi shikamana tu Klopp ni kocha sahihi kuiongoza Liverpool
Tuzidi waombea Robo na Fimo wawe fit kwa final
Vp mkuu hapo mi nilicheka tu kwa emoji. Mana aliyetoa comment siyo mimi bali ni AroonTumewafunga 4 bila na mess wao
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahahaha mkuu AROON misiba kama hii hakunaga kulia maana marehemu alikuwa ni kibibi kilichozeeka sana ..hapa ni mwendo wa kufurahi mpka apo jumanne tutakapo kamilisha mazishi yake na kumpumzisha marehemu kwenye nyumba yake ya milele[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Walikuwa wanasema Barca hiana beki za kuwazuia
Mungu kawapiga hao,eti wanamuita messi mungu,katoka sayari nyingine,,wakati mtu katoka kijiji masikini huko,,Argentina.laana hizo.leo wameoneshwa kuna Mungu aliye juu,Muumba wa mbingu na na nchi
Pole sana mkuu,subiri tena ushuhudie tunabeba Uefa na Epl kwa macho yakoHahahahaha looserfool[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unafukua kaburi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukweli ni kwamba Liver walicheza vizuri. Tofauti ni kwamba kwenye viwango vya washambuliaji wa Liver na Barca. Huwezi kumlinganisha Suarez na Mane au Messi na Salah
Short on target za Liver 5 , Goals =0
Short on target za Barca 4, Goals 3
Hapo ndio tofauti
Think we'll work this nowAtupe kakombe japo kamoja wallah. Kama haka kameshafika mlangoni kabisa...
Coutinho atajuta kuondoka anfield na matako yake. Suarez akafie huko atakakozikwa.
Nyambaaaaaf!
Nilikuwa nakujuza tu,tumemfunga barca 4 pale anfield huku wakiwa wamesimama tu