Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Also Kuna misbehaviour nyingi tu alionyesha uwanjani dhidi ya team yetu, kutaka kumhadaa refa ba baadhi ya faulu, quarrels na wachezaji wetu nk.
Alikuwa anapambana kwaajili ya team anayoipenda zaidi sioni tatizo maana ndiyo style yake
 
hivi hizi bangi zinavutwa na mashabiki wa liver peke yake au


mana mi sielewi



hivi ball possession ya 52 kwa 48 au corner 5 kwa 3 ni za kusema mlimzid sana kiasi cha nyie kupindua matokeo



intermilla na barcelona 2010 barca alimiliki mpira kwa zaid ya asilimia 90 xavi alipiga pasi karibia ya jumla ya pasi zote za inter n still barca alitolewa



tusubiri jumanne
 
Liverpool ni team ya maajabu! Comeback ipo hiyo jumanne, goli 3 ni chache sana na zitarudi kipindi cha kwanza.

Maajabu ya Instanbul yataenda kujirudia.
Ile ban uliyoomba imeisha ?
 
Liverpool ni team ya maajabu! Comeback ipo hiyo jumanne, goli 3 ni chache sana na zitarudi kipindi cha kwanza.

Maajabu ya Instanbul yataenda kujirudia.
Umeanza kuleta bangi za CHADEMA hapa pole sani ukishindwa comeback fainal Europa game ya Sevilla utamuweza Barca?
 
Tokea niwaone Watu ninaowaamini Kwenye Huu Uzi kuanza Kujisifia Stats kuwa Tumemzidi Barcelona na ni Ushindi Kwetu Kumzidi kwa Stats ingawa katupiga TATU MTUNGI!!!! Imenifanya nikose hamu ya kuutembelea huu Uzi.
braza nakufuatilia sana ila nimegundua na wewe una ka ego flani hivi kama klopp
 
Tokea niwaone Watu ninaowaamini Kwenye Huu Uzi kuanza Kujisifia Stats kuwa Tumemzidi Barcelona na ni Ushindi Kwetu Kumzidi kwa Stats ingawa katupiga TATU MTUNGI!!!! Imenifanya nikose hamu ya kuutembelea huu Uzi.
Pole mkuu wavuta bangi hao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…