Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Upo sahihi kabisa ,msimu huu nyota imemuwakia tenaWapendwa fuatilieni statistics za Messi, mwaka huu yuko kwenye top form ya Maisha yake ya mpira
Kama Liverpool wanataka wacomeback, aidha wamuombee augue jumanne ya wiki ijayo au waweke plan ya kumkatia mawasiliano
Jamaa yuko kwenye top form ya taaluma yake ya mpira mwaka huu
Laliga 34 goals and 13 assists
UEFA 12 goals
Copa Delaray 2 goals
Anaweza kuwa kashafikisha magoli 50 na bado anaendelea kufunga
Tatizo ni kwamba Messi is too good for LiverpoolView attachment 1085949
Ni ngumu sana kuja muambia my son miaka ijayo kwa stats hizi tulipoteza game hii!
Hakika team nzuri uwanjani imepoteza mchezo na ndiyo soka tunarudi Anfield kwa mechi ijayo!
Mbona una conclude mkuu.Good bye 2018/19
Welcome 2019/20
Congratulation Man City kwa EPL
Congratulation Barca/Ajax kwa UCL
Hakuunawa, aliubeba kabisa kwa mkono ili Messi asiende kufunga, ukweli ndio huo na clips zipo YoutubeWamebebwa kiaje?
Matip ule mpira hakuunawa ndani ya box?
That's all.Tatizo ni kwamba Messi is too good for Liverpool
Ni kweli mkuu.Tulia ww hakuna jipya apo fainal Ajax vs Barca ndoo anabeba Barca wale watoto kitakacho wauwa uzoefu hawana dakika za mwisho wataachia messi atawauwa nyingi sana
Man city ndyo bigwa epl hakuna wa kumzuia na ballon d'or anachukua king Messi over
ukifungwa bwana hadi mashabiki wenye timu mbovu - wanaona ndo wakati wa kupunguza machungu
#arsenal fans
#real madrid fans
#chelsea fans
#red devil fans
Hallelujah, everybody say yeeeeeeehhGood bye 2018/19
Welcome 2019/20
Congratulation Man City kwa EPL
Congratulation Barca/Ajax kwa UCL
Kasalimu amriHallelujah, everybody say yeeeeeeehh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siyo huyo alisema wanachukua ubingwa na mechi 3 mkononi ? Sina uhakika lakini.Kasalimu amri
Huyu jamaa muda sana aliyaona haya walikuwa wanampinga
Cheka tu ndio muda wako mamaHallelujah, everybody say yeeeeeeehh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani imekuwaje Jana ? Hadi mkafungwa tatu mkuu?Cheka tu ndio muda wako mama