Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Kabisa barça hadi wakawa kama wanapaki basi kimtindo mimi naona kikosi pamoja na Subs aliyumba Firmino alitakiwa sub yake aingie mapema
Ile nou camp jaman, kwanza mashabik WA liver waliwekwa kule juu kabisa halafu walikuwa wachache, halafu marefa wanatoa advantage sana kwa barca akiwa nou camp,

Liver Leo alikuwa afe tu
 
Yani hadi nimekumbuka ile mechi ya Intermillan Vs Barca walipotolewa kwa matokeo ya 1-0 nakati Barca ilitawala kila kitu, sometimes mpira hauko fair kabisa kimatokeo
Kabisa barça hadi wakawa kama wanapaki basi kimtindo mimi naona kikosi pamoja na Subs aliyumba Firmino alitakiwa sub yake aingie mapema
 
Kiufupi tu ni kuwa Barca ilicheza kama Liverpool na Liverpool ilijifanya kucheza kama barca
 
Barca wa kawaida sana,anfield pale tunawakalisha hawa.anfield pale dak10 za mwanzo tuki pata goli tunawatoa hao.tutabrow zeiya maindi without magic.
 
Kabisa yani leo Refa hakuwa fair kabisa, yani Barca hakuna alichocheza kabisa zaidi ya kupaki basi tu golini, Liverpool hakustahili kupoteza hii mechi hata kdg
Ile nou camp jaman, kwanza mashabik WA liver waliwekwa kule juu kabisa halafu walikuwa wachache, halafu marefa wanatoa advantage sana kwa barca akiwa nou camp,

Liver Leo alikuwa afe tu
 
Barca wa kawaida sana,anfield pale tunawakalisha hawa.anfield pale dak10 za mwanzo tuki pata goli tunawatoa hao.tutabrow zeiya maindi without magic.
Bangi mbaya sana ubaya wa Liverfool mnakujaga na matokeo yenu mkononi anflied mkikaza Kwa nguvu ya bange mnatoa draw
 
Messi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo: [emoji238] Mechi: 801
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 199
::
Lionel Messi:
[emoji238] Mechi: 683
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 233
::
[emoji431]Tufunge mjadala au tuendelee?
 
Kabisa yani leo Refa hakuwa fair kabisa, yani Barca hakuna alichocheza kabisa zaidi ya kupaki basi tu golini, Liverpool hakustahili kupoteza hii mechi hata kdg
Barca kukaa nyuma refa inamuhusu nini?

Liverpool sio type ya barc liver ni ya kucheza na Burnley tu
 
Messi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo: [emoji238] Mechi: 801
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 199
::
Lionel Messi:
[emoji238] Mechi: 683
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 233
::
[emoji431]Tufunge mjadala au tuendelee?
Tufunge tu mkuu KING LEO
 
Tuendelee na ktk timu ya Taifa kwanza
Messi vs Ronaldo ngazi za vilabu
::
Cristiano Ronaldo: [emoji238] Mechi: 801
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 199
::
Lionel Messi:
[emoji238] Mechi: 683
[emoji460] Magoli: 600
[emoji457] Assists 233
::
[emoji431]Tufunge mjadala au tuendelee?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleni sana japo mlijiaminisha ujinga. Gemu vs Huddersfield mkajipa matumaini hewa ya kuifunga Barcelona.
Msipo kuwa makini kwenu mnakufa tena.

Kawadanganye wasio angalia mpira
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…