Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,723
Matokeo yake mwaka wa 10 huu bila taji loloteWanazarau hivyo vikombe vya futuhi, tofauti na PEP anakomba yote, kombe la mfalme, Karabao, na sasa FA na EPL yote PEP atazibeba hana mazarau, ila Livber wana mazarau sana na hivi vikombe vidogo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]HAHAHA KUMAMAE NAONA MATABAKA MMEANZA KUTENGANA KAMA CUF
Walikuwa wanasema Barca hiana beki za kuwazuiaUkweli ni kwamba Liver walicheza vizuri. Tofauti ni kwamba kwenye viwango vya washambuliaji wa Liver na Barca. Huwezi kumlinganisha Suarez na Mane au Messi na Salah
Short on target za Liver 5 , Goals =0
Short on target za Barca 4, Goals 3
Hapo ndio tofauti
Mkuu msimu huu hubebi chochote ,nilikwambia acha ujuaji tulia ,kazi kunisumbua kwenye Uzi wetu
Nyambaf
3-0 , EPL man city hapotez kitu
Labda comeblackKwahy tutegemeee comeback?
Uwiiiiiiiiiiiii[emoji23][emoji23]Ulimaanisha Queen of UEFA?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
inauma sana watu wamekomaa mpaka mei kisha vikombe vyote vinapukutika mei.
Naunga mkono hoja yakoNiliandika na naandika tena
Liverpool habebi ata kijiko msimu huu
Hata Suarez , angekuwa makin ,zile pas anazopewa na mess anatakiwa azirudishe tena kwa mess, ilikuwa mess atoke na hat trickdembele na semedo wangetulia leo mtu angelula sita.
hawa wamekosa magoli mzee wangu anafunga.
Labda mess afe kabla ya jumanneKwahy tutegemeee comeback?
Pale Anfield siyo ajabu watapigwa 3 kavu tena....na epl wikiend hiii wanaeza fumuliwahivi unaanzaje kufunga nne alafu wao wamesimama tu?
kibaya zaidi anfield liver atakuwa anafukuza mchezo, watalazimika kusonga sana mbele na magepu ya nyuma ndio zile kaunta walizokosa kina dembele sasa sidhani oama messi na suarez watakuacha.
beki kisiki ama beki kitobo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Van djik beki kisiki mkuu
Yan hata Vidal angefunga leo bas tu alichemka kdg had mess akamkazia machoHata Suarez , angekuwa makin ,zile pas anazopewa na mess anatakiwa azirudishe tena kwa mess, ilikuwa mess atoke na hat trick
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]Labda mess afe kabla ya jumanne