Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Safari hii hakuna namna lazima aondoke tu,pre season iliyopita alipambana iliasiuzwe,Baada ya kuaminiwa akazingua.

Sasa huyu ni wakuuzwa tu na wenzie wakina origi na lovren.magalasa hayo

Believe me for what I know Sturridge even next season he will play like Messi at preseason in order to stay at Liverpool

My List:
Lallana out
Lovren out
Moreno out
Sturridge out

Think Origi can stay next season coz he is still useful
 
official. the colossus has grabbed his first personal accolade...and counting of course.

kudos my boy!!
1082442
 
Hapo hupo sahihi! Pep tunhekutana naye kipondi hichi nayeye pia asingelitufunga! Kumbuka Kuwa Kipindi tulichokutana na City katika Game zote 2 hatukuwa vizuri.

Kipindi alichotufunga (January) ndiyo kipindi tulichotoa Draw 4 kwa timu ambazo kiuwezo zilikuwa dhaifu (Leicester, West Ham, Man United na Everton). Hii inaonesha hatukuwa katika hali nzuri.

Lakini angelitukuta katika kipindi kama hichi basi tungelimfunga kama tulivyomfunga Bayern, Chelsea na Spurs.
maana yangu kubwa pep ni mwl anayejifunza sana namna alivyo approach gemu za Liverpool tofauti na last year, hata wanaombeza kuhusu champions league, mwakani anaweza kuduwaza, nakubali uwezo wa Liverpool no daughter
 
Believe me for what I know Sturridge even next season he will play like Messi at preseason in order to stay at Liverpool

My List:
Lallana out
Lovren out
Moreno out
Sturridge out

Think Origi can stay next season coz he is still useful
Kuna huyo moreno ukimuona kwenye pre season unaeza ukabadili mawazo mara mbili mbili(anakua superb sana)

But as far as i know the guy loves liverpool football club but hana mpira wa ku prove tena
 
Hivi una akili au unaongea kushabiki, unasemaje mbinu za Pep msimu huu zimefeli wakt anapoint 88 na bado mechi tatu, ningekuelewa ungesema nyie liver pool ndo mko kwenye form nzr mwaka huu hadi mnachallange Pep.
Hivi kati ya Liver na Man city nani anamchallange mwenzie?
Msimu uliopita Liverpool kamfunga Man City back to back .
Kwa hiyo ni timu ambazo zinafukuzana. Anayewahi humpiga mwenziye
 
Don anamchukia sana Mo Salah ndo maana anamuona mbinafsi ,ila Mo Salah ana goli 21 na Assist 8 wakati Mane goli 20 assist 1 msimu huu, hapo nani mbinafsi? Mwenye assist 1 au assist 8?
As long we keep winning n winnng that means thier greediness is best for th team...na sio Liverpool pekee wenye kua na ma front wenye tamaa ya kufunga n again ndio kazi yao..

am positive Klopp will have a word akiona its getting on his nerves...

in th mean tym, we hope vs Barca they il put thier personal accolades pembeni n bring t on for th team.
 
Nina uhakika Leicester city ana gemu tatu ngumu dhid ya Chelsea, Man city na Arsenal ..hivyo ni kwamba Man city na Chelsea watamkalisha na iyo nyingine dhid ya arsenal atakaza..

Kama mnamtegemea yeye eti kwa sababu kocha wa zamani a Liverpool ndo yuko pale basi mumekwama tayari. Kwanza Rodgers mlimtimua tena bila yeye kupenda, hivyo lazima atalipa tu ...pili kama mlimuacha Man city kwa gepu la point saba halafu kocha wenu Klopp akafeli kung'ang'ania ilo gap leo mnatgemea Leicester amzuie Man city hahahahahichi ni kichekesho kingine. Uwezo wa kubeba ubingwa mlikuwa nao ila kwa uzembe wa Klopp mtangoja tena msimu ujao...

Man city sidhani kama atakubali kudrop point kwenye gemu zilizobaki..
 
Nina uhakika Leicester city ana gemu tatu ngumu dhid ya Chelsea, Man city na Arsenal ..hivyo ni kwamba Man city na Chelsea watamkalisha na iyo nyingine dhid ya arsenal atakaza..

Kama mnamtegemea yeye eti kwa sababu kocha wa zamani a Liverpool ndo yuko pale basi mumekwama tayari. Kwanza Rodgers mlimtimua tena bila yeye kupenda, hivyo lazima atalipa tu ...pili kama mlimuacha Man city kwa gepu la point saba halafu kocha wenu Klopp akafeli kung'ang'ania ilo gap leo mnatgemea Leicester amzuie Man city hahahahahichi ni kichekesho kingine. Uwezo wa kubeba ubingwa mlikuwa nao ila kwa uzembe wa Klopp mtangoja tena msimu ujao...

Man city sidhani kama atakubali kudrop point kwenye gemu zilizobaki..
Kwenye football,lolote linaweza kutokea.
MC anaweza kupoteza dkk za mwisho ( mechi ya mwisho).
Kumbuka Msimu ule Man U anajiaminisha Ubingwa,Aguero akabadilisha score board at dying minutes!
Football is undesribed game.
 
It seems as if Dortmund have handled the title to Munchen today, with all efforts they had throughout the season, nothing they see now. Let me fantasize for liverpool for the coming matches. City will not entertain any kind of fecklessness
 
It seems as if Dortmund have handled the title to Munchen today, with all efforts they had throughout the season, nothing they see now. Let me fantasize for liverpool for the coming matches. City will not entertain any kind of fecklessness

Hope I'll not hear Honestty banned himself from visiting this thread at the end of this season
 
Nina uhakika Leicester city ana gemu tatu ngumu dhid ya Chelsea, Man city na Arsenal ..hivyo ni kwamba Man city na Chelsea watamkalisha na iyo nyingine dhid ya arsenal atakaza..

Kama mnamtegemea yeye eti kwa sababu kocha wa zamani a Liverpool ndo yuko pale basi mumekwama tayari. Kwanza Rodgers mlimtimua tena bila yeye kupenda, hivyo lazima atalipa tu ...pili kama mlimuacha Man city kwa gepu la point saba halafu kocha wenu Klopp akafeli kung'ang'ania ilo gap leo mnatgemea Leicester amzuie Man city hahahahahichi ni kichekesho kingine. Uwezo wa kubeba ubingwa mlikuwa nao ila kwa uzembe wa Klopp mtangoja tena msimu ujao...

Man city sidhani kama atakubali kudrop point kwenye gemu zilizobaki..
Mkuu Chugga usimwazie sana Liverpool unajisumbua aisee, Liverpool hii tunaelekea kuzuri sana tu tangua aingie Klopp nyie mshapata makocha watatu Murinyo, Conte na Sarri na hali tete darajani kwanza usajili ndio mshafungiwa na Futuhi bado inawanga'ang'ania sipati picha akiodoka Hazard mtakua na hali gani...
Ya Liverpool tuachie wenyewe.

Mpira hua na matokeo usiotegemea,Barca huyu na ukali wake alipigwa na Roma UCL msimu uliopita hivyo anafungika na sisi kuingia fainali na kuchukua kombe, tupo positive...

Manciti na Liver ubingwa lolote linaweza kutokea na usiamini kabisa..

hivyo kua na maneno ya akiba..

je ikitokea Liverpool akapata UCL na EPL utajipga BAN kama kawaida yako...
 
Humu kwenye huu uzi unaona kuna washabiki wa Man United?

Hata wanaokuja wanakuja kuzungumza game kiheshima, kwa sababu Man United wa kweli (anayeelewa maana ya kuwa Man United) hawezi kufanya trash talks kwa timu iliyomzidi 20+ points.
Ha ha ha ha ha ha Mimi ni shabiki wa Man U kindakindaki tena yule ambaye yupo tayari Man U isiingie top 4 ila Liver asichukue ubingwa. Na huyu ndiye shabiki kweli wa Man U anayeelewa maana ya kuwa Man United unayemzungumzia.

N way sisi ni maadui na watani pia kwenye soka la uingereza so usijali bro,it's a part of jokes. Ila kumbuka watani huwa mnatembelea kule kwetu na kututania pia tena mnatuita Manyuwa, Mara Manyumbu
 
Kwenye football,lolote linaweza kutokea.
MC anaweza kupoteza dkk za mwisho ( mechi ya mwisho).
Kumbuka Msimu ule Man U anajiaminisha Ubingwa,Aguero akabadilisha score board at dying minutes!
Football is undesribed game.
Una Wolves mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom