Nina uhakika Leicester city ana gemu tatu ngumu dhid ya Chelsea, Man city na Arsenal ..hivyo ni kwamba Man city na Chelsea watamkalisha na iyo nyingine dhid ya arsenal atakaza..
Kama mnamtegemea yeye eti kwa sababu kocha wa zamani a Liverpool ndo yuko pale basi mumekwama tayari. Kwanza Rodgers mlimtimua tena bila yeye kupenda, hivyo lazima atalipa tu ...pili kama mlimuacha Man city kwa gepu la point saba halafu kocha wenu Klopp akafeli kung'ang'ania ilo gap leo mnatgemea Leicester amzuie Man city hahahaha




hichi ni kichekesho kingine. Uwezo wa kubeba ubingwa mlikuwa nao ila kwa uzembe wa Klopp mtangoja tena msimu ujao...
Man city sidhani kama atakubali kudrop point kwenye gemu zilizobaki..