kwa vile hatuna natural straika t just natural kua a bit hungry to score for this boys na ubao unasoma wanafukuzana kiatu cha dha, na sio kwamba hawatoi assist ila ni pale wanavyoona kuna a chance to shot n score wanafanya hivyo...Kuwa mbinafsi sio tatizo sana,inshu Ni pale unapokuwa mchoyo halafu unaicost timu kwa kutofunga unapofanya uchoyo..Sina tatizo Kama ukiwa mchoyo halafu unafunga.
WinningWhat plan do we have for 1may vs barca?
Don anamchukia sana Mo Salah ndo maana anamuona mbinafsi ,ila Mo Salah ana goli 21 na Assist 8 wakati Mane goli 20 assist 1 msimu huu, hapo nani mbinafsi? Mwenye assist 1 au assist 8?kwa vile hatuna natural straika t just natural kua a bit hungry to score for this boys na ubao unasoma wanafukuzana kiatu cha dha, na sio kwamba hawatoi assist ila ni pale wanavyoona kuna a chance to shot n score wanafanya hivyo...
na Klopp kwa kujua hilo hua anamuweka Bobby Firmino as false nine ili kuweka balance na to bring out th best in this two boys maaana Bobby sio mchoyo n he meks them tick at thier best..
Mwaka jana pep aliifunga Liverpool mara moja katika gemu nne na sababu ilikuwa Red card, lakini mwaka huu hata Liverpool angecheza na city gemu tano asinge weza kushinda hata mmoja pep alimzidi mbinu klop, je hata hili dogo hatuwezi kumpa credit pepNakubali 100% mbinu za Pep EPL zilifanya kazi mwaka jana lkn mwaka huu zimeshindwa,kama anachukua tena EPL ni Liverpool kujilaumu sisi wenyewe!
Sare mfululizo zilizo irudisha sana nyuma Liverpool za WHU,LC,Man U na baadae Everton zilisababishwa na mbinu za Pep?
Nonsense at all!
Aisee sijawahi mchukia salah ila kipind anazingua huwa siwezi kuwa mnafiki an nadhani hata anapofanya vizur huwa nampongeza vilevile...an Kama hukuwa unaona anavyozingua salah hapo juz Kati basi mm siwezi kukuaminisha nachoamin mm...SIMCHUKII MCHEZAJI YYT WA LFC NI VILE NATAKA MAZUR YA TIMU SO MCHEZAJI AKIWA CHINI YA KIWANGO/HARI NI WAJIBU KUMKUMBUSHA.Don anamchukia sana Mo Salah ndo maana anamuona mbinafsi ,ila Mo Salah ana goli 21 na Assist 8 wakati Mane goli 20 assist 1 msimu huu, hapo nani mbinafsi? Mwenye assist 1 au assist 8?
Mwaka jana pep aliifunga Liverpool mara moja katika gemu nne na sababu ilikuwa Red card, lakini mwaka huu hata Liverpool angecheza na city gemu tano asinge weza kushinda hata mmoja pep alimzidi mbinu klop, je hata hili dogo hatuwezi kumpa credit pep
Maestro you are a great na huwa unanipa uelewa through burudani kubwa kupitia uchambuzi wako
yule waziri wa habari wa iraq wakati wa utawala wa saddam alikuwa kiboko kwa kuwapa wananchi na jeshi la iraq matumaini ya kushinda vita yani jeshi la marekani tayari lipo baghdad lakini yeye anasema majeshi ya mvamizi tumeyateka na tunayapa matesho ya kutosha huko jangwani,jamaa yangu malafyale ndio yupo vile kwani kila mechi ngumu ambaye tulidhani mancity ata drop point city bado anashida lakini jamaa yetu bado hakati tamaa ya city kudrop pointAu yule Msemaji wa enzi za Muamar Gaddaff,
We've to Win CL at any cost
Then next season we've to build a Much stronger team than ever
Liver big problems ni kuja kumalizana na worlves
Huwa natamani nione uchambuzi wakeHalafu kuna Mtu hapo anaita uchambuzi uchwara wakati yeye tokea ajiunge JF hajawahi kuchambua hata Mchele Bali kupost upuuzi tu.
Mwaka jana pep aliifunga Liverpool mara moja katika gemu nne na sababu ilikuwa Red card, lakini mwaka huu hata Liverpool angecheza na city gemu tano asinge weza kushinda hata mmoja pep alimzidi mbinu klop, je hata hili dogo hatuwezi kumpa credit pep
Mwaka jana pep aliifunga Liverpool mara moja katika gemu nne na sababu ilikuwa Red card, lakini mwaka huu hata Liverpool angecheza na city gemu tano asinge weza kushinda hata mmoja pep alimzidi mbinu klop, je hata hili dogo hatuwezi kumpa credit pep