Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ni muda wa kuwapumzisha wachezaji wetu muhimu. Hii game ishaisha. Jumanne tuna game kubwa sana dhidi ya Barcelona.
 
Mungu tuepushie Mkosi huu! 91 Points without title?
Rodgers inabidi atusaidie ili tumsamehe na zile tactical plan zake za 2014 za kumalzia msimu zilizoicost liverpool(I hope leicester will do something for us)
or

dyche(burnley coach) lfc fan

ispotokea hivo bas kwenye last game i dont expect anything anything zaid
God Make it easy for us!!
 
Kuna kipind watu walisema clyne n bora kuliko TAA
Mkuu kuhusu TAA concept haikuwa hivyo.. The boy is good offensively but defensively (sometimes) huwa ana struggle especially at the start of the season amestruggle sana..
TAA kinachomsumbua ni consistency but the good thing he is still very young.. And anaenda kuwa one of the WC fullback!!

Hakua under rated kama unavodhania
 
incredible records for this Klopp team...

1082097
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom