Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,956
Is he a football analyst?
Ndiyo
Is he a football analyst?
Hatuandai kikosi cha kupambana na hao wahuni bali barca wao ndio watapambana na sisi.
Sijaona team ya kuizuia Liverpool.
Huyo Shaffi Dauda nae anajiita soccer pundit?
Ama kweli Tanzania kuna vituko
Wewe na yeye yupi analyst?
kuna *post* moja ya muda mrefu kidogo (1-2 weeks ago), nimeisoma na nikaishia kucheka sana.
actually, kuna watu wanaichukulia hii platform serious sana, and its sad, becsuse 99% ya watu wa kwenye hii platform hawafahamiani in the real world, but unakuta mtu anakuwa na personal issues na wewe wakati hata hamjuani, i mean its just JF, Nobody is getting paid on here kwa kushare mawazo yake, its just a football platform, hauwezi kuaibika au kufa au kukosa chakula kama mtu aki-challenge your posts or opinions. its not a matter of life and death, its just football.
now, this is an open forum, ndiyo maana Threads zote kwenye hii platform zipo open kwa kila mtu kuchangia, pia kila mtu anauwezo wa kuanzisha thread yake na kushare his ideas, and since its an open forum, kila member ana-uwezo wa ku-quote au kuchangia mawazo yake kwa kile anachoona sawa, but the sad part ni kuwa kuna watu wanaaumia na hivi vitu, its just laughable.
Hii thread ya LFC ndiyo inaongoza kuwa na watu wa namna hii, kuna watu wanapenda kuonekana so *smart* and wanachukia sana kuwa challenged, because their *ego* wont allow that, kuwa na mentality ya ku-appear so smart and force to be respected kwenye platform yenye members (99%) wanaotumia fake IDs ni *ujinga* wa hali ya juu sana, i mean you cant demand that respect kwenye platforms za namna hii, nobody knows you, nobody gives a f* kwa unachokifanya in real life, watu wanakuja humu ku-share yale yanayowasumbua katika mioyo yao, life experiences, sharing their researches na mambo mengine mengi yanayoendelea duniani hence kuna a lot of threads on here and its so lovely.
Personally, i've been a LFC supporter my whole life, mpaka nilipokuja kutambua kuwa kuna Thread kama hii hapa JF, Nilikuwa nimeshatembele na kuwepo kwenye LFC platforms nyingi sana, so it was so nice kuona kuwa kuna platform kama hii ambayo unaweza ku-discuss mambo mawili matatu kuhusu hii club na fans wenzako wa Ki-Tanzania, but apparently ukijaribu ku-share your sensitive opinions hapa, unaonekana *much-know*, na hii inakuja baada ya mhusika kushindwa ku-support his/her opinions pale anapokuwa challenged.
I love football, and i love LFC, i remember wakati wa Roy Hodgson, nilifanikiwa kupata a good *link* ya kufanya kazi na scouting department ya club, na kazi yenyewe ilikuwa ni kukusanya details/stats/development etc za youngsters duniani na kuzituma kwenye scouting department, i did this job for free, and kuna a lot of people kama mimi ambao wanafanya kazi kama hii for free, kuna wengine ambao wapo europe wamepewa badges kabisa za utambulisho ambazo zinawapa ruhusa ya kuingia kwenye viwanja tofauti (kwa maelekezo ya club), na kufanya profiling ya mchezaji husika, i've been doing this profiling for years (Bobby Adekanye and Cos), but i've never claimed to know better and to act so smart kuliko wengine on here, because football is all about passion, but sharing my knowledge about footie and largely about LFC naonekana *much know*, sababu tu kuna watu wanataka kuonekana wao ndio wapo *smart* zaidi kwenye platform yenye full of fake IDs.
When Klopp got the job back in 2015, 4 months later kuna jamaa akawa ana-question uwezo wa Klopp na akawa ana-demand trophies (with no shame), i got into bitter argument with this dude, i mean how can you question the manager ambaye hana zaidi hata ya miezi mitano? tena akiwa na kikosi kama kile? but after 4 years (baada ya kufanya a lot of big signings and quality addition kwenye team), the same dude is out here trying to call out people wanao-question in-game management ya Klopp (the act of trying to be so smart).
i remember the same dude was so against na price tag ya VVD (£75m), and he really wanted the Club to look elsewhere (imagine), at the time wakati ana-question hii signing fee, tulikuwa na kina Lovren ambao walikuwa wana-ship in goals for fun, but now the same dude is out here trying to throw shades at people who wanted this club to act like a big club..
you can go and check my old posts (tangu Klopp aje), and angalia kama nilishawahi kuwa proved wrong kwa kukosoa in-game management ya Klopp. He came at LFC na ile mentality ya underdog kama kule Dortmund, tulikuja humu na kwenye platforms zingine na kuongea sana kuhusu hili, then he bought Mane, Gini etc, but it wasnt enough we demanded more and more, tukapata akina Alisson, VVD, Fabinho, Keita, Salah etc, (before that Klopp paid 4m for Karius 0m for Matip, 8m for Grujic and bought Gini na kumbadilisha kuwa 2nd holder ili Hendo acheze as a 6, and Klopp really wanted to play Hendo as a 6 for a long long time (hence he played him there for 4 straight years), but we were the ones who went into war with the Top reds, local jornos, LFC employees etc for crticising Klopp's decision on playing talentless player like Henderson as a 6, (actually i'm blocked on twitter by Pearce/Doyle and Bascombe), and banned from Echo comments page section, and it took me four months to get my renewed membership card (wont go into details kwenye hili), but now the whole world is witnessing mapinduzi aliyoyaleta Fabinho kwenye eneo la kiungo, actually only few stupid people ndiyo wanaoweza kuamini kuwa LFC ingekuwa inakimbizana na City kwenye ubingwa kama Hendo angekuwa anacheza number 6 mpaka leo.
a smart dude, calling other people *much know* for wanting the manager to play good players kwenye their position, how can you call your fellow fans names kwa kuitakia mema club? how can you get personal kwa your fellow fans kwa kutaka club ichezeshe talented players kwenye their position? some people are so weird.
huwezi kuona nikiita watu *much know* na kuwa wanajua *better kuliko Klopp* kwa ku-question his credibility after 4 months in the job, kwa kusema 75m is too much for VVD, kwa kusema Keita is shit and clueless at defending (because yote haya yanaonesha kuwa you know more than Klopp because unaona hafanyi kitu cha msingi na alikuwa mjinga kutoa 75m and 50m for VVD and Keita), but kwa kuwa si wengine tuna-practice katika eneo la opinions katika mpira huwa tunaona sawa na kuheshimu mawazo yao without calling them names or trying to act so smart kuliko wao, because at the end of the day its just football and siyo kitu kinachofanya family yako ipate mahitaji yake ya kila siku, its just football man.
its like, tunahitaji kuwapa watu wachache sana *free pass* ya kukosoa our players and managers, maana sisi wengine tunaonekana *much know and agricultural*, which is just so stupid Aisee.
I'll continue to share my footie knowledge on here with my fellow Tanzania reds supporters, na nitaendelea kuwa *much know* as long as kile ninacho-share kipo right na ninakiamini, and pia i'll continue to challenge stupid opinions on here, haijalishi kama you're older than me or younger than me, this is an open forum, so if you dont want to be challenged na unapenda kuonekana smart with big *ego* just log out and find your fellow ignorant and ego driven football fans to argue/discuss football with.
I just hate people ambao wanakuwa bothered na mambo ya kwenye mitandao, especially katika soccer, mchezo ambao ni lazima uwe na mkanganyiko wa kimawazo na mtazamo, opinions are bound to be challenged (hii ni katika kila nyanja).
kuna jamaa, nime-mblock, not because of his opinions, because i understand Top reds walivyo (my father is a Top red too), but i've put him in my ignored list because of his disrespectfull gestures/personal attacks towards other reds ambao wana mtazamo tofauti nae, but good thing about this dude he has never claimed to be so *smart* than other reds on here.
its just football, why cant you just enjoy it?
Bro achana na wapiga majungu hawakuna *post* moja ya muda mrefu kidogo (1-2 weeks ago), nimeisoma na nikaishia kucheka sana.
actually, kuna watu wanaichukulia hii platform serious sana, and its sad, becsuse 99% ya watu wa kwenye hii platform hawafahamiani in the real world, but unakuta mtu anakuwa na personal issues na wewe wakati hata hamjuani, i mean its just JF, Nobody is getting paid on here kwa kushare mawazo yake, its just a football platform, hauwezi kuaibika au kufa au kukosa chakula kama mtu aki-challenge your posts or opinions. its not a matter of life and death, its just football.
now, this is an open forum, ndiyo maana Threads zote kwenye hii platform zipo open kwa kila mtu kuchangia, pia kila mtu anauwezo wa kuanzisha thread yake na kushare his ideas, and since its an open forum, kila member ana-uwezo wa ku-quote au kuchangia mawazo yake kwa kile anachoona sawa, but the sad part ni kuwa kuna watu wanaaumia na hivi vitu, its just laughable.
Hii thread ya LFC ndiyo inaongoza kuwa na watu wa namna hii, kuna watu wanapenda kuonekana so *smart* and wanachukia sana kuwa challenged, because their *ego* wont allow that, kuwa na mentality ya ku-appear so smart and force to be respected kwenye platform yenye members (99%) wanaotumia fake IDs ni *ujinga* wa hali ya juu sana, i mean you cant demand that respect kwenye platforms za namna hii, nobody knows you, nobody gives a f* kwa unachokifanya in real life, watu wanakuja humu ku-share yale yanayowasumbua katika mioyo yao, life experiences, sharing their researches na mambo mengine mengi yanayoendelea duniani hence kuna a lot of threads on here and its so lovely.
Personally, i've been a LFC supporter my whole life, mpaka nilipokuja kutambua kuwa kuna Thread kama hii hapa JF, Nilikuwa nimeshatembele na kuwepo kwenye LFC platforms nyingi sana, so it was so nice kuona kuwa kuna platform kama hii ambayo unaweza ku-discuss mambo mawili matatu kuhusu hii club na fans wenzako wa Ki-Tanzania, but apparently ukijaribu ku-share your sensitive opinions hapa, unaonekana *much-know*, na hii inakuja baada ya mhusika kushindwa ku-support his/her opinions pale anapokuwa challenged.
I love football, and i love LFC, i remember wakati wa Roy Hodgson, nilifanikiwa kupata a good *link* ya kufanya kazi na scouting department ya club, na kazi yenyewe ilikuwa ni kukusanya details/stats/development etc za youngsters duniani na kuzituma kwenye scouting department, i did this job for free, and kuna a lot of people kama mimi ambao wanafanya kazi kama hii for free, kuna wengine ambao wapo europe wamepewa badges kabisa za utambulisho ambazo zinawapa ruhusa ya kuingia kwenye viwanja tofauti (kwa maelekezo ya club), na kufanya profiling ya mchezaji husika, i've been doing this profiling for years (Bobby Adekanye and Cos), but i've never claimed to know better and to act so smart kuliko wengine on here, because football is all about passion, but sharing my knowledge about footie and largely about LFC naonekana *much know*, sababu tu kuna watu wanataka kuonekana wao ndio wapo *smart* zaidi kwenye platform yenye full of fake IDs.
When Klopp got the job back in 2015, 4 months later kuna jamaa akawa ana-question uwezo wa Klopp na akawa ana-demand trophies (with no shame), i got into bitter argument with this dude, i mean how can you question the manager ambaye hana zaidi hata ya miezi mitano? tena akiwa na kikosi kama kile? but after 4 years (baada ya kufanya a lot of big signings and quality addition kwenye team), the same dude is out here trying to call out people wanao-question in-game management ya Klopp (the act of trying to be so smart).
i remember the same dude was so against na price tag ya VVD (£75m), and he really wanted the Club to look elsewhere (imagine), at the time wakati ana-question hii signing fee, tulikuwa na kina Lovren ambao walikuwa wana-ship in goals for fun, but now the same dude is out here trying to throw shades at people who wanted this club to act like a big club..
you can go and check my old posts (tangu Klopp aje), and angalia kama nilishawahi kuwa proved wrong kwa kukosoa in-game management ya Klopp. He came at LFC na ile mentality ya underdog kama kule Dortmund, tulikuja humu na kwenye platforms zingine na kuongea sana kuhusu hili, then he bought Mane, Gini etc, but it wasnt enough we demanded more and more, tukapata akina Alisson, VVD, Fabinho, Keita, Salah etc, (before that Klopp paid 4m for Karius 0m for Matip, 8m for Grujic and bought Gini na kumbadilisha kuwa 2nd holder ili Hendo acheze as a 6, and Klopp really wanted to play Hendo as a 6 for a long long time (hence he played him there for 4 straight years), but we were the ones who went into war with the Top reds, local jornos, LFC employees etc for crticising Klopp's decision on playing talentless player like Henderson as a 6, (actually i'm blocked on twitter by Pearce/Doyle and Bascombe), and banned from Echo comments page section, and it took me four months to get my renewed membership card (wont go into details kwenye hili), but now the whole world is witnessing mapinduzi aliyoyaleta Fabinho kwenye eneo la kiungo, actually only few stupid people ndiyo wanaoweza kuamini kuwa LFC ingekuwa inakimbizana na City kwenye ubingwa kama Hendo angekuwa anacheza number 6 mpaka leo.
a smart dude, calling other people *much know* for wanting the manager to play good players kwenye their position, how can you call your fellow fans names kwa kuitakia mema club? how can you get personal kwa your fellow fans kwa kutaka club ichezeshe talented players kwenye their position? some people are so weird.
huwezi kuona nikiita watu *much know* na kuwa wanajua *better kuliko Klopp* kwa ku-question his credibility after 4 months in the job, kwa kusema 75m is too much for VVD, kwa kusema Keita is shit and clueless at defending (because yote haya yanaonesha kuwa you know more than Klopp because unaona hafanyi kitu cha msingi na alikuwa mjinga kutoa 75m and 50m for VVD and Keita), but kwa kuwa si wengine tuna-practice katika eneo la opinions katika mpira huwa tunaona sawa na kuheshimu mawazo yao without calling them names or trying to act so smart kuliko wao, because at the end of the day its just football and siyo kitu kinachofanya family yako ipate mahitaji yake ya kila siku, its just football man.
its like, tunahitaji kuwapa watu wachache sana *free pass* ya kukosoa our players and managers, maana sisi wengine tunaonekana *much know and agricultural*, which is just so stupid Aisee.
I'll continue to share my footie knowledge on here with my fellow Tanzania reds supporters, na nitaendelea kuwa *much know* as long as kile ninacho-share kipo right na ninakiamini, and pia i'll continue to challenge stupid opinions on here, haijalishi kama you're older than me or younger than me, this is an open forum, so if you dont want to be challenged na unapenda kuonekana smart with big *ego* just log out and find your fellow ignorant and ego driven football fans to argue/discuss football with.
I just hate people ambao wanakuwa bothered na mambo ya kwenye mitandao, especially katika soccer, mchezo ambao ni lazima uwe na mkanganyiko wa kimawazo na mtazamo, opinions are bound to be challenged (hii ni katika kila nyanja).
kuna jamaa, nime-mblock, not because of his opinions, because i understand Top reds walivyo (my father is a Top red too), but i've put him in my ignored list because of his disrespectfull gestures/personal attacks towards other reds ambao wana mtazamo tofauti nae, but good thing about this dude he has never claimed to be so *smart* than other reds on here.
its just football, why cant you just enjoy it?
Mimi ni mshabiki tu na bado sijaona a true soccer pundit in Tanzania
At least katika thread hii kuna the likes of Mos Def ambao ukisoma the way they see and analyze the game, they are way miles ahead kuliko hao pundits uchwara wa kibongo
bonge la brazameni....Alikuwa handsome jamaa
Kila mmoja na maono yake, kwako hawafai kwangu wanafaa.
kuna *post* moja ya muda mrefu kidogo (1-2 weeks ago), nimeisoma na nikaishia kucheka sana.
actually, kuna watu wanaichukulia hii platform serious sana, and its sad, becsuse 99% ya watu wa kwenye hii platform hawafahamiani in the real world, but unakuta mtu anakuwa na personal issues na wewe wakati hata hamjuani, i mean its just JF, Nobody is getting paid on here kwa kushare mawazo yake, its just a football platform, hauwezi kuaibika au kufa au kukosa chakula kama mtu aki-challenge your posts or opinions. its not a matter of life and death, its just football.
now, this is an open forum, ndiyo maana Threads zote kwenye hii platform zipo open kwa kila mtu kuchangia, pia kila mtu anauwezo wa kuanzisha thread yake na kushare his ideas, and since its an open forum, kila member ana-uwezo wa ku-quote au kuchangia mawazo yake kwa kile anachoona sawa, but the sad part ni kuwa kuna watu wanaaumia na hivi vitu, its just laughable.
Hii thread ya LFC ndiyo inaongoza kuwa na watu wa namna hii, kuna watu wanapenda kuonekana so *smart* and wanachukia sana kuwa challenged, because their *ego* wont allow that, kuwa na mentality ya ku-appear so smart and force to be respected kwenye platform yenye members (99%) wanaotumia fake IDs ni *ujinga* wa hali ya juu sana, i mean you cant demand that respect kwenye platforms za namna hii, nobody knows you, nobody gives a f* kwa unachokifanya in real life, watu wanakuja humu ku-share yale yanayowasumbua katika mioyo yao, life experiences, sharing their researches na mambo mengine mengi yanayoendelea duniani hence kuna a lot of threads on here and its so lovely.
Personally, i've been a LFC supporter my whole life, mpaka nilipokuja kutambua kuwa kuna Thread kama hii hapa JF, Nilikuwa nimeshatembele na kuwepo kwenye LFC platforms nyingi sana, so it was so nice kuona kuwa kuna platform kama hii ambayo unaweza ku-discuss mambo mawili matatu kuhusu hii club na fans wenzako wa Ki-Tanzania, but apparently ukijaribu ku-share your sensitive opinions hapa, unaonekana *much-know*, na hii inakuja baada ya mhusika kushindwa ku-support his/her opinions pale anapokuwa challenged.
I love football, and i love LFC, i remember wakati wa Roy Hodgson, nilifanikiwa kupata a good *link* ya kufanya kazi na scouting department ya club, na kazi yenyewe ilikuwa ni kukusanya details/stats/development etc za youngsters duniani na kuzituma kwenye scouting department, i did this job for free, and kuna a lot of people kama mimi ambao wanafanya kazi kama hii for free, kuna wengine ambao wapo europe wamepewa badges kabisa za utambulisho ambazo zinawapa ruhusa ya kuingia kwenye viwanja tofauti (kwa maelekezo ya club), na kufanya profiling ya mchezaji husika, i've been doing this profiling for years (Bobby Adekanye and Cos), but i've never claimed to know better and to act so smart kuliko wengine on here, because football is all about passion, but sharing my knowledge about footie and largely about LFC naonekana *much know*, sababu tu kuna watu wanataka kuonekana wao ndio wapo *smart* zaidi kwenye platform yenye full of fake IDs.
When Klopp got the job back in 2015, 4 months later kuna jamaa akawa ana-question uwezo wa Klopp na akawa ana-demand trophies (with no shame), i got into bitter argument with this dude, i mean how can you question the manager ambaye hana zaidi hata ya miezi mitano? tena akiwa na kikosi kama kile? but after 4 years (baada ya kufanya a lot of big signings and quality addition kwenye team), the same dude is out here trying to call out people wanao-question in-game management ya Klopp (the act of trying to be so smart).
i remember the same dude was so against na price tag ya VVD (£75m), and he really wanted the Club to look elsewhere (imagine), at the time wakati ana-question hii signing fee, tulikuwa na kina Lovren ambao walikuwa wana-ship in goals for fun, but now the same dude is out here trying to throw shades at people who wanted this club to act like a big club..
you can go and check my old posts (tangu Klopp aje), and angalia kama nilishawahi kuwa proved wrong kwa kukosoa in-game management ya Klopp. He came at LFC na ile mentality ya underdog kama kule Dortmund, tulikuja humu na kwenye platforms zingine na kuongea sana kuhusu hili, then he bought Mane, Gini etc, but it wasnt enough we demanded more and more, tukapata akina Alisson, VVD, Fabinho, Keita, Salah etc, (before that Klopp paid 4m for Karius 0m for Matip, 8m for Grujic and bought Gini na kumbadilisha kuwa 2nd holder ili Hendo acheze as a 6, and Klopp really wanted to play Hendo as a 6 for a long long time (hence he played him there for 4 straight years), but we were the ones who went into war with the Top reds, local jornos, LFC employees etc for crticising Klopp's decision on playing talentless player like Henderson as a 6, (actually i'm blocked on twitter by Pearce/Doyle and Bascombe), and banned from Echo comments page section, and it took me four months to get my renewed membership card (wont go into details kwenye hili), but now the whole world is witnessing mapinduzi aliyoyaleta Fabinho kwenye eneo la kiungo, actually only few stupid people ndiyo wanaoweza kuamini kuwa LFC ingekuwa inakimbizana na City kwenye ubingwa kama Hendo angekuwa anacheza number 6 mpaka leo.
a smart dude, calling other people *much know* for wanting the manager to play good players kwenye their position, how can you call your fellow fans names kwa kuitakia mema club? how can you get personal kwa your fellow fans kwa kutaka club ichezeshe talented players kwenye their position? some people are so weird.
huwezi kuona nikiita watu *much know* na kuwa wanajua *better kuliko Klopp* kwa ku-question his credibility after 4 months in the job, kwa kusema 75m is too much for VVD, kwa kusema Keita is shit and clueless at defending (because yote haya yanaonesha kuwa you know more than Klopp because unaona hafanyi kitu cha msingi na alikuwa mjinga kutoa 75m and 50m for VVD and Keita), but kwa kuwa si wengine tuna-practice katika eneo la opinions katika mpira huwa tunaona sawa na kuheshimu mawazo yao without calling them names or trying to act so smart kuliko wao, because at the end of the day its just football and siyo kitu kinachofanya family yako ipate mahitaji yake ya kila siku, its just football man.
its like, tunahitaji kuwapa watu wachache sana *free pass* ya kukosoa our players and managers, maana sisi wengine tunaonekana *much know and agricultural*, which is just so stupid Aisee.
I'll continue to share my footie knowledge on here with my fellow Tanzania reds supporters, na nitaendelea kuwa *much know* as long as kile ninacho-share kipo right na ninakiamini, and pia i'll continue to challenge stupid opinions on here, haijalishi kama you're older than me or younger than me, this is an open forum, so if you dont want to be challenged na unapenda kuonekana smart with big *ego* just log out and find your fellow ignorant and ego driven football fans to argue/discuss football with.
I just hate people ambao wanakuwa bothered na mambo ya kwenye mitandao, especially katika soccer, mchezo ambao ni lazima uwe na mkanganyiko wa kimawazo na mtazamo, opinions are bound to be challenged (hii ni katika kila nyanja).
kuna jamaa, nime-mblock, not because of his opinions, because i understand Top reds walivyo (my father is a Top red too), but i've put him in my ignored list because of his disrespectfull gestures/personal attacks towards other reds ambao wana mtazamo tofauti nae, but good thing about this dude he has never claimed to be so *smart* than other reds on here.
its just football, why cant you just enjoy it?
Then you are not fucking serious
IdiotThen you are not fucking serious
ata kwa Manure walisema..Did FC Roma managed to stop Messi? Hell no!
But in the end, the final result made even Messi himself to cringe
Man, people should know kuwa you cant be perfect kwenye kila kitu, tunaishi kwa kujifunza kila siku, we're just human beings and not saints.Different backgrounds, upbringings, culture and experiences shape us.
Some people grew in environments where they were being accredited as the only ones, no one knows better than them, everyone should listen to them, and if you don't you are shitty.
When they get into new areas where there are knowledgeable personnels than them, people who can substantiate their arguments with undisputed supports, they turn into haters, name callers and so, feeling like their self acclaimed status has been snatched from them.
I have been into a culture where knowledge is appreciated, where people are free to learn from the gurus, and the gurus share their knowledge to anyone, they also listen and tend to keep learning anything they can from the less knowledgeable.
Man, to me, you are one person I can't dispute his knowledge about the game, sometimes I read things you write and wonder to what length one needs to get to know those things, you are a bit of pro when it comes to footie analysis.
I know someone called Shija, he lives in Mbezi, he is so detailed, I mean detailed. I usually find time to watch LFCs games with him just to hear him talking about this team. I one day showed him one of your posts on how Hendo costed us a goal vs Leicester I think, the one Allison went one on one vs Iheanacho. His response was, you are a pro.
We should learn how to adjust, accepting that you can't know it all. And learn from knowledgeable people. We differ on how we invest our resources in knowledge accumulation.
We are Liverpool, YNWA.
*smart* dudes will tell you kina Gary/Neville bros/Dwight and Cos hawatakiwi kutoa mawazo yao about footie because some of them failed as managers, as kazi ya *football manager* ni kufundisha mpira tu..Then you need to carefully watch and listen to the likes of Gary Linecker, Neville brothers, Lee Dixon, Dwight York, Allan Shearer, Ian Wright etc for you to make a comparison and realize how stupid TZ soccer pundits are in terms of the way they see and analyze the games. Unless you are handicapped to the language, then I can understand
Man, every other day, naona dudes wana-throw a lot of shades kwako, but you're still here sharing what you believe kuhusu Club yako, and sijawahi kuona siku uliyokuwa proved wrong on here..When you see someone posted his idea here then ended up by saying 'IN KLOPP WE TRUST' know that he is either stupid or ignorant.
Coz he wanna show us kwamba ni yeye pekee ndiye mwenye Imani na Klopp, others don't trust Klopp! This is because can't differentiate between kumkosoa na kukamkataa.
And didn't know that we trusted him (Klopp) from the beginning that is why you'll never see 'KLOPP OUT' in this thread regardless our anger against him kwa baadhi ya game.
Lakini Kichekesho ni kwamba He and his follower(s) think they are only to have legal right to be a Liverpool Fan as If this Liverpool belongs to their families.
ata kwa Manure walisema..