Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Aliyovaa Allison nimeielewa.
Alisson Becker will wear the No.1 shirt for Liverpool for the 2019-20 season.

Revealed as part of the launch of the Reds’ New Balance home kit for the next campaign on Thursday morning, the goalkeeper is set to switch from his current No.13 to No.1 at the beginning of 2019-20.

IMG_20190418_113830_709.jpeg
 
Cc: KING NGWABA,MOSDEF,CAPT & CO.. mmeanza kuniudhi huku kuandika kwenu post kwa kiswahili matokeo Yake watoto wa mtogole wasiojua mpira Zaid ya vigodoro mnawajaza humu,rudin kwenye lugha tu malkia muone tunavyokuwa shwari na wachache..

NASEMA HIVI KWA HII BARCELONA ILIYOBONDWA ZAIDI YA MARA MBILI TATU KWENYE LIGI YAO,ASUBUH NA MAPEMA WANALIVERPOOL TUNAWEKA MPIRA KATI..UWEZO WA SUAREZ(MWANETU),COUTHINO SIO WA KUPAMBANA NA DAMU ZA MOTO VVD&CO,!!!MESSI HAKUNA ANAEBISHA BADO MPIRA UMO ILA SIDHANI KAMA ATACHEZA PEKE YAKE MECHI ZOTE MBILI..MAN NI DHAIFU TENA DHAIFU KWELI KWELI..HUWEZI MUEKEA MESS BEKI SMALLING,JONES SIJUI FRED HALAFU UTEGEMEE MATOKEO...INAWEZEKANA SUAREZ ATASAAFU SOKA MAANA NAONA KABISA ATANG'ATA MTU SIKU HIYO..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaaaaaa
 
Tatizo kubwa ulilonalo Ni kutumia techno

Barca tunapiga mpaka anachakaa

Our biggest threats walikua manure, man city na totts

Hawa wengine jiandae kutusifia
will be a very tough game man.

kama tukiruhusu goli zaidi ya *mbili* bila ya away goal at Camp Nou, then "tie" inaweza kuishia kule kule.

we have VVD, but huwa tuna-concede a lot of chances kila tunapokutana na teams zenye good attacking players..

and kwa "tie" kuanzia kule, inakuwa ngumu zaidi kwasababu Klopp will want to play for a draw ili kuja kumalizia "tie" at Anfield, hence ata-field his negative oriented Mid, (kama ile iliyoanza jana (Faby/Gini/Milner au *Brexit* Midfield)

Messi anaweza hata asiwe kwenye ubora wake, but you've got Coutinho and Suarez ambao watataka ku-prove something against us.

Hii "tie" ukiingalia kwa jicho la tatu, ina vitu vingi sana ambavyo vinaleta ugumu mkubwa sana.
 
will be a very tough game man.

kama tukiruhusu goli zaidi ya *mbili* bila ya away goal at Camp Nou, then "tie" inaweza kuishia kule kule.

we have VVD, but huwa tuna-concede a lot of chances kila tunapokutana na teams zenye good attacking players..

and kwa "tie" kuanzia kule, inakuwa ngumu zaidi kwasababu Klopp will want to play for a draw ili kuja kumalizia "tie" at Anfield, hence ata-field his negative oriented Mid, (kama ile iliyoanza jana (Faby/Gini/Milner au *Brexit* Midfield)

Messi anaweza hata asiwe kwenye ubora wake, but you've got Coutinho and Suarez ambao watataka ku-prove something against us.

Hii "tie" ukiingalia kwa jicho la tatu, ina vitu vingi sana ambavyo vinaleta ugumu mkubwa sana.
mido la faby, gini na hendo will be used on away game.... tukikata umeme mchezo umekwisha... barca is messi, suffocate Messi you are done (unless dembele aanze)

Their defense is slow, and one thing for sure, despite beating manure, barca we not convincing

suarez is slower and cou cant survive physical game, viatu viwili chap-chap anakaa
 
Ilikuwa ugomvi wao wakapigana na fimbo ya golf
he was celebrating his goal at Camp Nou, ilikuwa ni game ya mtoano (round of 16), tulishinda goli mbili ile game (2009)

ile bust-up ya Craig na Riise ilitokea kwenye camp ya mazoezi, hahahaha

but, funny enough wote wawili ndiyo walifunga yale magoli at Camp Nou
 
he was celebrating his goal at Camp Nou, ilikuwa ni game ya mtoano (round of 16), tulishinda goli mbili ile game (2009)

ile bust-up ya Craig na Riise ilitokea kwenye camp ya mazoezi, hahahaha

but, funny enough wote wawili ndiyo walifunga yale magoli at Camp Nou
Sidhani kama ilikuwa mwaka huo ulioandika
 
will be a very tough game man.

kama tukiruhusu goli zaidi ya *mbili* bila ya away goal at Camp Nou, then "tie" inaweza kuishia kule kule.

we have VVD, but huwa tuna-concede a lot of chances kila tunapokutana na teams zenye good attacking players..

and kwa "tie" kuanzia kule, inakuwa ngumu zaidi kwasababu Klopp will want to play for a draw ili kuja kumalizia "tie" at Anfield, hence ata-field his negative oriented Mid, (kama ile iliyoanza jana (Faby/Gini/Milner au *Brexit* Midfield)

Messi anaweza hata asiwe kwenye ubora wake, but you've got Coutinho and Suarez ambao watataka ku-prove something against us.

Hii "tie" ukiingalia kwa jicho la tatu, ina vitu vingi sana ambavyo vinaleta ugumu mkubwa sana.
Natamani ningeongelea hii game ila i think right now tunge focus kwa Cardiff na Huddersfield.

Every game is a final for us now. A maximum of 6+1 (possible) games and we'll be talking languages in here.

One at a time.

YNWA
 
mido la faby, gini na hendo will be used on away game.... tukikata umeme mchezo umekwisha... barca is messi, suffocate Messi you are done (unless dembele aanze)

Their defense is slow, and one thing for sure, despite beating manure, barca we not convincing

suarez is slower and cou cant survive physical game, viatu viwili chap-chap anakaa

Duh, yaani sijui mimi nawaza nini, ila Keita kumweka benchi ni kujitafutia makuu.

Tuna backline nzuri, Fabinho ni best DM, kwa nini tuongeze mizigo ya kukaba tena?

Hii game ni ya kutafuta magoli kule kule kwao, so Keita ni muhimu acheze.

Hata uweke DM 5, Barca huwezi kuwakaba, muhimu ni kuwa outscore.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom