Ilikuwa ugomvi wao wakapigana na fimbo ya golfY'all remember this?View attachment 1074823
Ilikuwa ugomvi wao wakapigana na fimbo ya golfY'all remember this?View attachment 1074823
Aliyovaa Allison nimeielewa.
Alisson Becker will wear the No.1 shirt for Liverpool for the 2019-20 season.Aliyovaa Allison nimeielewa.
Yap stripes zimeharibu kimtindo.nami pia unajua hiyo mistari imeharibu radha ya uzi
HahahahaaaaaaCc: KING NGWABA,MOSDEF,CAPT & CO.. mmeanza kuniudhi huku kuandika kwenu post kwa kiswahili matokeo Yake watoto wa mtogole wasiojua mpira Zaid ya vigodoro mnawajaza humu,rudin kwenye lugha tu malkia muone tunavyokuwa shwari na wachache..
NASEMA HIVI KWA HII BARCELONA ILIYOBONDWA ZAIDI YA MARA MBILI TATU KWENYE LIGI YAO,ASUBUH NA MAPEMA WANALIVERPOOL TUNAWEKA MPIRA KATI..UWEZO WA SUAREZ(MWANETU),COUTHINO SIO WA KUPAMBANA NA DAMU ZA MOTO VVD&CO,!!!MESSI HAKUNA ANAEBISHA BADO MPIRA UMO ILA SIDHANI KAMA ATACHEZA PEKE YAKE MECHI ZOTE MBILI..MAN NI DHAIFU TENA DHAIFU KWELI KWELI..HUWEZI MUEKEA MESS BEKI SMALLING,JONES SIJUI FRED HALAFU UTEGEMEE MATOKEO...INAWEZEKANA SUAREZ ATASAAFU SOKA MAANA NAONA KABISA ATANG'ATA MTU SIKU HIYO..
Sent using Jamii Forums mobile app
will be a very tough game man.Tatizo kubwa ulilonalo Ni kutumia techno
Barca tunapiga mpaka anachakaa
Our biggest threats walikua manure, man city na totts
Hawa wengine jiandae kutusifia
Yap stripes zimeharibu kimtindo.
Tatizo lake ni nini? 😂😂😂Tatizo kubwa ulilonalo Ni kutumia techno
Barca tunapiga mpaka anachakaa
Our biggest threats walikua manure, man city na totts
Hawa wengine jiandae kutusifia
Ngoja tuone za away na third kit zitakuaje.Kuna v-shape pia pale shingoni kwa ile aliyoivaa Allison iko cool.
mido la faby, gini na hendo will be used on away game.... tukikata umeme mchezo umekwisha... barca is messi, suffocate Messi you are done (unless dembele aanze)will be a very tough game man.
kama tukiruhusu goli zaidi ya *mbili* bila ya away goal at Camp Nou, then "tie" inaweza kuishia kule kule.
we have VVD, but huwa tuna-concede a lot of chances kila tunapokutana na teams zenye good attacking players..
and kwa "tie" kuanzia kule, inakuwa ngumu zaidi kwasababu Klopp will want to play for a draw ili kuja kumalizia "tie" at Anfield, hence ata-field his negative oriented Mid, (kama ile iliyoanza jana (Faby/Gini/Milner au *Brexit* Midfield)
Messi anaweza hata asiwe kwenye ubora wake, but you've got Coutinho and Suarez ambao watataka ku-prove something against us.
Hii "tie" ukiingalia kwa jicho la tatu, ina vitu vingi sana ambavyo vinaleta ugumu mkubwa sana.
hahahaaaHuenda ikiwa ulichoandika ni kweli...ila umeandika ki-Man U zaidi yani full dharau
he was celebrating his goal at Camp Nou, ilikuwa ni game ya mtoano (round of 16), tulishinda goli mbili ile game (2009)Ilikuwa ugomvi wao wakapigana na fimbo ya golf
Sidhani kama ilikuwa mwaka huo ulioandikahe was celebrating his goal at Camp Nou, ilikuwa ni game ya mtoano (round of 16), tulishinda goli mbili ile game (2009)
ile bust-up ya Craig na Riise ilitokea kwenye camp ya mazoezi, hahahaha
but, funny enough wote wawili ndiyo walifunga yale magoli at Camp Nou
Natamani ningeongelea hii game ila i think right now tunge focus kwa Cardiff na Huddersfield.will be a very tough game man.
kama tukiruhusu goli zaidi ya *mbili* bila ya away goal at Camp Nou, then "tie" inaweza kuishia kule kule.
we have VVD, but huwa tuna-concede a lot of chances kila tunapokutana na teams zenye good attacking players..
and kwa "tie" kuanzia kule, inakuwa ngumu zaidi kwasababu Klopp will want to play for a draw ili kuja kumalizia "tie" at Anfield, hence ata-field his negative oriented Mid, (kama ile iliyoanza jana (Faby/Gini/Milner au *Brexit* Midfield)
Messi anaweza hata asiwe kwenye ubora wake, but you've got Coutinho and Suarez ambao watataka ku-prove something against us.
Hii "tie" ukiingalia kwa jicho la tatu, ina vitu vingi sana ambavyo vinaleta ugumu mkubwa sana.
mido la faby, gini na hendo will be used on away game.... tukikata umeme mchezo umekwisha... barca is messi, suffocate Messi you are done (unless dembele aanze)
Their defense is slow, and one thing for sure, despite beating manure, barca we not convincing
suarez is slower and cou cant survive physical game, viatu viwili chap-chap anakaa
Probably a typo. It was 2007. Tulifika final na Milan wakatufungaSidhani kama ilikuwa mwaka huo ulioandika