Kidowle
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 1,484
- 3,260
Sadio Mane player of the month MARCH
Klopp manager of the month MARCH
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Sadio Mane player of the month MARCH
Klopp manager of the month MARCH
Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo kumtoa mtu ni kazi ila kwa kila kundi moja wao ni zaidi kuliko wenzake.MTOE MMOJA KWENYE HII LIST.
A. Messi, Pele, Maradona, C.Ronaldo
B. Iniesta, Xavi, Modric, Pirlo
C. Gerrard, Scholes, Lampard, Zidane
Hapo kumtoa mtu ni kazi ila kwa kila kundi moja wao ni zaidi kuliko wenzake.
A.kinara wa kundi ni Messi
B.kundi b kinara ni pirlo
C.kundi c kinara ni zidane
Liverpool HALISI huwezi kumpiga Chelsea, sisi tunaitaji ushindi hatujali nani atabeba ubingwaKeita sasa kaiva
Keita.Fabihno.Captain
Liverpool HALISI tuzidi kuwa watulivu,tulianza na Mungu tunamaliza na Mungu!
Tukimpiga Chelsea tuanze kushona suti
Upande wa pili wenzetu wamechoka mno
Hahahahaapo kesho Anfield tunakuja kukichafua. Kesho bendera ya Liverpool itapepea nusu mlingoti.
"ubingwa sio kwa ajili yenu, ni kwa ajili yetu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tunafocus na top four msimu ujao, hatutaki kujua nan atabeba ubingwa ..mechi utakuwa ngumu hakuna ushindi wa kupatikana kirahisi. Hivyo mjipange kwa lolote lile.bwana wee sijui watapaki train kama Murinyo wasubiri tufunguke watapige kaunta ila wakijifanya kushambulia wamekwishaaa tutawapiga nyingi...
kwanza yule Jorginho ndio weak link na tutapita mazimaaa pale pale....
Kwa Liverpool hii ondoa shaka tutalala nao mbele pointi zitabaki nyumbani...
hahahaha events kama hizi huwa zinajirudiaga hahaha
hahaha hii tushazoea ndugu, kesho kutwa atatafuna maneno yake mwenyewe huyu.
Kama siyo jana ni juzi nilikua unamwambia shabiki wa Liverpool Chelsea atakufunga. Naona sa ivi umekuja kutafuta wapambe.Liver piga umbwa hao chelsick
Yohana 3:16



Lazima niwaombee njaa mkuu, au unataka niwaombee mshinde?Kama siyo jana ni juzi nilikua unamwambia shabiki wa Liverpool Chelsea atakufunga. Naona sa ivi umekuja kutafuta wapambe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Let us push for tomorrow hope Klopp i will change his plan wellLinapokuja Suala la Timu za Manchester Kutaka Ubingwa, Everton na Chelsea hutoa Free Three points kwa timu hizo na Wanapocheza na Liverpool huwa Kinyume chake"
Jimmy Carragher
Kesho Chelsea watakuja kuwakazia lkn naamini mtawabomoaLinapokuja Suala la Timu za Manchester Kutaka Ubingwa, Everton na Chelsea hutoa Free Three points kwa timu hizo na Wanapocheza na Liverpool huwa Kinyume chake"
Jimmy Carragher
Kesho Chelsea watakuja kuwakazia lkn naamini mtawabomoa
Yohana 3:16