What about Fekir bro?Thorgan Hazard is currently rejecting us, wants Dortmund over us.
Lets wait and see.
I’d try for Brandt or Depay.
Would like to see de Ligt but it looks like all the big mules are in for him. Balague even claimed that it's a deal done with Barca.I think Matip ame-cement his place kwenye kikosi now, hatakiwi kuuzwa.
Just sell Lovren and get a good young CB.
VVD/Gomez/Matip/New CB, should be enough.
What about Fekir bro?
Millie all the way. Moreno ametuuza mara kibao on the big stage. Off with him.Moreno or Milner?Who do you like to start as number three tomorrow....?
Would like to see de Ligt but it looks like all the big mules are in for him. Balague even claimed that it's a deal done with Barca.
Moreno or Milner?Who do you like to start as number three tomorrow....?
hivi hawa ma Scourser hawatakaa wabadilike believing in Wales, Scotland, England players ambao wengi ni hyped by thier media n pundits...I stand to be correct when I say NO to Gerrard.....
Mkuu kumbuka Gerrard ni Scourser akipewa timu basi tujiandae na Kina Henderson na Milner wakijaa katika timu kama kipindi cha kina Charlie Adam na Downing.
Huyu bora Apewe cheo chochote katika timu lakini sio Bench la ufundi.
Binafsi Sina tatizo na Hilo na naomba liwe kweli an Kama Kuna uwezekano wampe mpaka 2030...ukiacha mapungufu mengine yanayovumilika klopp katufanya angalau na sisi tunaongelewa Kama tishio tofauti na miaka mingi iliyopita...Habari za chini chini, zinasema Klopp amesign mkataba mwingine wa miaka mitatu..
Mkataba wake wa awali ulikuwa unaisha 2022, so kama kaongeza mkataba itakuwa ni mpaka 2025.
Bado haijawa confirmed, na sina uhakika nayo kwa 100%, but lets wait and see kitakachotokea huko mbele.
His agent spoke the other day. Akaelezea sababu ya deal ku collapse in the final minutes. Claims he passed the medical, took photos e.t.c but then the knee problem was resurfaced, said LFC used it as a smokescreen but hakusema what was the real reason behind the collapse.Dont think we’ll go back for him bro..
Think, he’ll either sign an extension or go to spain.
But, you never know bro.
Sijasikia ishu yeyote kuhusu Fekir for a while.
Habari za chini chini, zinasema Klopp amesign mkataba mwingine wa miaka mitatu..
Mkataba wake wa awali ulikuwa unaisha 2022, so kama kaongeza mkataba itakuwa ni mpaka 2025.
Bado haijawa confirmed, na sina uhakika nayo kwa 100%, but lets wait and see kitakachotokea huko mbele.
Aquilani, Borin,Carrol lol kweli tumetoka mbali nowsdays we get real talents sio mediocre players..Hahahaha mkuu.. Aquilani was miles better than Gareth Barry(on my view) sema naona tatizo la Aquilan alikua prone injury na hakupewa muda kuprove... Ila Gareth Barry angeiganda Liverpool mpaka sasa hivi maana waingereza wakishafikaga hiz big clubs hawaez kuondoka hata mpira ukiwakataa
Maddison if well nurtured is next big thing..thought th club shown interest before Foxes got th boy.Been saying this for a while, Kwa upande wa Kibiashara, Lallana ni signing mbovu kuwahi kufanywa na Club.
The signing fee na mshahara wake haviendani kabisa na kile anacho-offer uwanjani (hasa katika upande wa fitness na playing time)
We need to bin him.
Offer him and money kwa Rodgers for Maddison.
Will be a good and direct replacement.
Jurgen Klopp insists while Van Dijk has grown in confidence since moving to Merseyside, he has actually not improved as a player since his time at Southampton.
"He had really good games with us, we qualified for the Champions League so that all helps. As confident as you are, you are still a little bit, not insecure, but you don’t know 100 per cent.
"But now it is clarified, the level he is at. He was the same level at Southampton, but the whole world was not watching."
Do you agree?
His agent spoke the other day. Akaelezea sababu ya deal ku collapse in the final minutes. Claims he passed the medical, took photos e.t.c but then the knee problem was resurfaced, said LFC used it as a smokescreen but hakusema what was the real reason behind the collapse.
Depay almost came to us before we opted for Firmino...he has grown solid n matured sio yule jacko like guy at ManuThorgan Hazard is currently rejecting us, wants Dortmund over us.
Lets wait and see.
I’d try for Brandt or Depay.
Cant imagine next season again wt this brexit trio..either they all go n Klopp accept they cant be starters...Hahaha, and he just finished to praise Hendo saying he has filled Gerrard's shoes.
To me he is just telling us to not expect VVD as a captain next season.
He is purely preparing us for that shit.