Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Wana Liverpool HALISI leo vijana wanaenda kucheza mechi muhimu sana ugenini
Tuzidi shikamana,mambo mazuri yanakuja
Najua WAVIMBA MACHO wanaiombea team vibaya ili wamseme kocha!
Lkn wameisha shindwa,sisi tuna Mungu wao wana shetani
In Klopp we trust!
 
Wana Liverpool HALISI leo vijana wanaenda kucheza mechi muhimu sana ugenini
Tuzidi shikamana,mambo mazuri yanakuja
Najua WAVIMBA MACHO wanaiombea team vibaya ili wamseme kocha!
Lkn wameisha shindwa,sisi tuna Mungu wao wana shetani
In Klopp we trust!
Tutolee pumba zako ww

Hakuna mtu anataka liverpool ifungwe ili tumkosoe klopp

Ila tukifungwa na lile puuzi lako lipo ndan lazima alaumiwe

13SEPTEMBER
 
Wana Liverpool HALISI leo vijana wanaenda kucheza mechi muhimu sana ugenini
Tuzidi shikamana,mambo mazuri yanakuja
Najua WAVIMBA MACHO wanaiombea team vibaya ili wamseme kocha!
Lkn wameisha shindwa,sisi tuna Mungu wao wana shetani
In Klopp we trust!

Ushindi wetu mkuu. #YNWA
 
Ushindi ushindi tu, hata kama ni 1-0 ilimradi tukamate 3 points, hicho ndo cha muhimu kwa sasa.
ikiwezekana wapigwe nyingi tu kupunguza goal difference ambayo Citi wametuzidi japo hii gemu ngumu sana...

tangu huyu kocho mwenye bwebwe kama Klopp ajiunge st marys jamaa wanacheza vzuri mno..

itakua super game.
 
EPL tamu sana, kila mtu ashinde mech zake, liver alivyo na njaa, hahaaa Chelsea anapigwa , then Chelsea anaenda kutoana damu na manyumbu,

Kitakachotokea Chelsea na manyumbu wote wanaenda futuhi.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kuna hali naiona ya livarpool kuchukua ubingwa wa ligi kuu katika mechi za mwisho kabisa za msimu, kama alivyofanya man city kipindi kile wanachuana na babu Fergi mpaka washabiki kuingia uwanjani. Nafkiri ukame waliokuwa nao ni sawa na wakwetu naona washabiki walivapool watavamia uwanja kwa hamu. #YouWillNeverWalkAlone

Sent using Jamii Forums mobile app
Na iwe hivyooooo
 
EPL tamu sana, kila mtu ashinde mech zake, liver alivyo na njaa, hahaaa Chelsea anapigwa , then Chelsea anaenda kutoana damu na manyumbu,

Kitakachotokea Chelsea na manyumbu wote wanaenda futuhi.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
msimu ujao Chelsi na Manu watakua Futuhi dalili zipo wazi kabisa..kule kuna wafaa sana
 
Man city haitegemei kupoteza mech kwakuwa INA mechi nyingi ,man city atapoteza mchezo iwapo atabanwa,

Pep ametengeneza mfumo ambao wachezaji wake wanaingia moja kwa moja , haijalish Leo flan hayupo au yupo, ndio maana mpaka sasa yupo kwenye mashindano yote,

Hii mambo sijui ya kikos kipana , timu nying zina vikos vipana,


'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
Pep ana quality over quantity hapo tu jamaa yupi vzuri...
tazama hawana beki wa kushoto wa uhakika bt rarely wanakua exploited maana wancheza kitimu zaidi...

hata baada ya Dinyo kuumia sasa nafasi anaikaimu Gudgan na anacheza vyema tu...

wachezaji wao ni full vipaji ndio wanakwenda full throttle makombe yote
 
i hope by th tym mkutane na Citi mtakua mmeka sawa, mpambane kushinda ikishidikana hata draw mtakua mmechangia na sisi majogoo kuusogelea ubingwa..
Mech ya juzi iliharibu kila kitu.... mech zinazokuja, confidence hamna tena
 
i hope by th tym mkutane na Citi mtakua mmeka sawa, mpambane kushinda ikishidikana hata draw mtakua mmechangia na sisi majogoo kuusogelea ubingwa..
Sidhan kama inawezekana mana kuna wenge la barca next week hivy man city anakuja kuongezea wenge lingine mana kushinda ni lazima washinde city...labda chelsea ndy wakomae wapate droo hlf zilizobak akomae na droo au apigwe man u
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom