Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ahaaha mkuu mimi nimeweka HT shot on targets ashinde liverpool kwa handcap ya -2 na ina odd 2.35 Najua wapo serius kwa hy watashambulia sana
Kampun gan mkuu

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
"If Liverpool win five and draw one, I think they will win the title"

@GNev2 and @Carra23 look in-depth at the title race

Watch Friday Night Football now on Sky Sports PL https://t.co/nUMkCrxJmL

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Ile kuona Fabinho na Keita wameanza tayari nikaziona point tatu zetu ziiiiileeeeeeeeeee
Leo mnashinda ila mkaze hawa watoto huwa wanawakazaga sometimes

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Leo mnashinda ila mkaze hawa watoto huwa wanawakazaga sometimes

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba


Hawa kazi imeshakwisha mkuu, tuna Keita pale atadrible sana tu kuwapelekea kina Salah wawachinjilie mbali hawa madogo
 
Ahaaha mkuu mimi nimeweka HT shot on targets ashinde liverpool kwa handcap ya -2 na ina odd 2.35 Najua wapo serius kwa hy watashambulia sana
hahaha 1xbet hao??

mambo mengine watajua wenyewe tena ikiwezekana Soton watangulie mguu mmoja ili maafuriko yawakute vizuri.
 
Sidhan kama inawezekana mana kuna wenge la barca next week hivy man city anakuja kuongezea wenge lingine mana kushinda ni lazima washinde city...labda chelsea ndy wakomae wapate droo hlf zilizobak akomae na droo au apigwe man u
true kabisa hii mechi ya Barca haijaja wakati mwafaka kwenu, uzuri soka ni mchezo wa maajabu kama ulivyoona vs PSG pale Paris hivyo yetu macho kupata burudani...

kuanzia sasa anaepoteza gemu kwenye ligi anajitupa nje ya malengo hakuna tena uhakika nani apate hiki au kile ni kupambana mwanzo mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom