Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

ni sawa Pep baada ya kile kipigo gemu ya Newcastle naona jamaa alikimbilia kanisani kutuombea mambaya..
mpira ndivyo ulivyo huwezi sema Citi ashinde zote na sisi tushinde zote aafu tutegemee kua mabingwa..
hapa ni kwanza tushinde mechi zetu zote hope that is damn possible aafu Citi akipoteza tutashukuru zaidi hivyo maombi yetu yatakua yamesikika...

tuwekeze zaidi kushinda gemu zote aafu ndio la Citu kupoteza...hizi gemu za Vs Spurs, Chelsi na Southmpton si salama sana bt am positive we il come on top..
Tuombe mungu mkuu,ila swala la city kuwa na mechi tatu mfululizo na tothnm linanipa nguvu kidogo sidhani Kama atampiga zote ucl na epl..ila muda ndio hakimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee pambaña ushike nafasi ya tatu maana Europa sisi tunachukua..

Japo leo spurs atashinda..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tot kushinda Leo ni ngumu, kaangalie hata muhind kaona isiwe shida kamuweka tot as underdog

Mech ikiwa ngumu sana bas kuna sare,,

Hiyo Europa unaichukulia wapi ikiwa kipa wako ni kepa na beki ni luiz

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
na hio Manu wakicheza na Citi kama walivyocheza jana basi sahau kua Manu atashinda maana watakula kabang ya wiki.
Upo sahihi, man city atapoteza au kudrop point kwa timu hizi za midtable ila sikwahawa top 6 kama man u, Chelsea na arsenal,

Kwa man u niliyoiona Jana , sion akifurukuta kwa man city inayotengeneza nafas kibao za kufunga,.

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hiyo mechi itakuwa bonge la patashika maana Man U anapigania kuingia Top four halafu Cityzens hiyo mechi ni muhimu mno ili kuchukua ubingwa
Kwa man u hii , niliyoiona Jana tena ikiwa full mkoko OT, man city ataipitia kama upepo

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Man u kumgunga city ni ndoto ya Pierre liquid kuwa mkuu wa wilaya
Kabisa ni ndoto, tena man u awe makin sana , yasije kumkuta ya Chelsea, Bora mou alikuwa anazuia sana , ila hii kujifanya na wao wanataka kuchezea mpira , kitawakuta kilichowapata Chelsea ,

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kwa man u hii , niliyoiona Jana tena ikiwa full mkoko OT, man city ataipitia kama upepo

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba

Kweli mkuu? Kwamba watakubali kupigwa nje ndani katika Derby?
 
LIVERPOOL TEAM NEWS

Team to play Tottenham: Alisson, Alexander-Arnold, Van Dijk, Matip, Robertson, Milner, Wijnaldum, Henderson, Mane, Firmino, Salah

Subs: Mignolet, Fabinho, Lovren, Keita, Lallana, Shaqiri, Origi

TOTTENHAM TEAM NEWS

Team to play Liverpool: Lloris, Trippier, Vertonghen, Sanchez, Rose, Alderweireld, Sissoko, Eriksen, Alli, Lucas, Kane

Subs: Gazzaniga, Son, Wanyama, Llorente, Foyth, Davies, Skipp
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom