BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,911
- 11,729
Let us wait and seeHello Kops kwa wale Liverpool feki na halisi pia.
Leo ni siku yetu ya kubaki on top permanent, siku muhimu inayoenda kupalilia mbegu ya furaha yetu ya 13 may mwaka huu.
Fulham anaenda kumuuwa City, iwe isiwe either kwa draw au kipigo cha mbwa koko, Man city anaenda kupunguzwa na kuwa nyuma yetu.
Tukutane badae kufurahia. #YNWA
90' talk
13SEPTEMBER